pokrei
JF-Expert Member
- Jul 5, 2018
- 510
- 454
Hakuna alipokosea Mimi Nina laptop inalaa Masaa kumi non stop pia hiyo chooni hajakosea Ni kafupisha Ni sawa Na kusema nikanawa nikala badala ya Baada ya kunawa nikaanza kula.The sana alipotoka toilet akarudi kulala Na inategemea story content yake Ni IPI.Wana Jf wengi huwa tunaacha point tunaanza kuchambua mstari Basi tupatie hakuna.Ni ufundi tu wa kiswahili INA amna nyie kwenye mashairi hamuwezi elewa kitu Mana mashahiri hufupisha sana iwe ya Kizungu au swahili
Sent using Jamii Forums mobile app
Mmeelewa lakini story 2003, mwana alikua na laptop inayoweza kukaa na chaji toka saa nne mpaka saa 6, lakini pia alienda kulala chooni
Sent using Jamii Forums mobile app