Umeshawahi kumla shemeji yako?

Umeshawahi kumla shemeji yako?

Hakuna alipokosea Mimi Nina laptop inalaa Masaa kumi non stop pia hiyo chooni hajakosea Ni kafupisha Ni sawa Na kusema nikanawa nikala badala ya Baada ya kunawa nikaanza kula.The sana alipotoka toilet akarudi kulala Na inategemea story content yake Ni IPI.Wana Jf wengi huwa tunaacha point tunaanza kuchambua mstari Basi tupatie hakuna.Ni ufundi tu wa kiswahili INA amna nyie kwenye mashairi hamuwezi elewa kitu Mana mashahiri hufupisha sana iwe ya Kizungu au swahili
Mmeelewa lakini story 2003, mwana alikua na laptop inayoweza kukaa na chaji toka saa nne mpaka saa 6, lakini pia alienda kulala chooni

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapa Jf nimeamini baadhi ya watu kwa kuwa wao hawajawai kuwa navyo Basi haviwezekani.Mfano Mimi Nina Laptop sumsumg nikichaji Ni masaa kumi.Sasa wanaoshangaa masaa 6,si Eti 2003,hakuna laptop...simply coz hawakuwa navyo.Sio.sawa.Pia mtu akisema nilienda chooni nikalala.Kuna ubaya gani.Si kafupisha tu.Ni sawa niseme nilienda Shule nikawa Doctor. Kwa maana Hapa kati nilifanya a lot kufika but nilienda Shule.Mpaka mtu aandike nilienda chooni nikatoka nikabawa mikono nikaja kulala Na nikajifunika shuka.Watu hata lugha za kishairi hawazijui.
wala hajakudanganya, mimi nina laptop toshiba satellite A20 ya mwaka 2000 inakaa na charge 2 hours na ikiwa on standby mode inakaa na charge 6 days, kwanini yeye awe amedanganya ?


Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakati naanza chuo, mwaka 2004, Kuna wanafunzi wenzangu wa familia Bora walikuja na Laptop, na tulikuwa tunashangaa sana, maana Mimi nimenunua Laptop baada ya kumaliza chuo, miaka miwili. Kwa hiyo 2003 familia Bora ilikuwa kawaida kuwa na Laptop.

Ila kula shemeji, siungi mkono hoja, tabia za akina Ryan Giggs hizo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aisee, hebu acheni ushamba basi.
Hivi mfano wewe Khantwe au wewe financial services ukito*mbwa na shemej yako ama rafik yako ama mwanaume yeyote tofauti na mumeo....
Je anaondoka na Mbunye yako?
Je mumeo akirudi toka safari utamwambia baba Mwajuma mdogo wako amenito*mba?
Yaani kipi hasa kitapungua kwako?

Nyie wote wawili, maisha yenu tangu utotoni mnatembea na makamasi mpaka hivi sasa mmeshawahi kuto*mbwa na mwanaume wangapi?

#Acheni Ushamba
Hi kali kuliko kali p
 
Hakuna alipokosea Mimi Nina laptop inalaa Masaa kumi non stop pia hiyo chooni hajakosea Ni kafupisha Ni sawa Na kusema nikanawa nikala badala ya Baada ya kunawa nikaanza kula.The sana alipotoka toilet akarudi kulala Na inategemea story content yake Ni IPI.Wana Jf wengi huwa tunaacha point tunaanza kuchambua mstari Basi tupatie hakuna.Ni ufundi tu wa kiswahili INA amna nyie kwenye mashairi hamuwezi elewa kitu Mana mashahiri hufupisha sana iwe ya Kizungu au swahili

Sent using Jamii Forums mobile app
Wala tu point kubwa ni huo mwaka 2003, ndio point ya laptop ikaja nikweli laptop inaweza kukaa hadi masaa 4. Najua sasa hivi unaona 2013, ila ni baada ya editing, kabla ya hapo aliandika 2003...nadhani hapo utakua umeona asili ya ukakasi wa story yake
 
Shemelaa wangu ni mzuri, halafu ana nyama sasa. Nilipomaliza chuo nilikaa kwa bro wakati ninasaka kazi. Alinitega nikategua yote (kwa neema ya Mungu). Kiukweli ninamheshimu sana bro wangu hata sasa. Nisingeweza kumfanyia unyama huo. Kuna kipindi mpaka bro akitoka Shem anakaa uchi sebuleni, eti nikiingia anajifanya kama alijisahau.. aisee siyo kabisa. Baada ya kunisoma kwamba simwelewi kilichofuatia kila bro akirudi anapewa jalada la kesi, yaani kesi juu yangu haziishi. Bro alikuwa hakubali mwanzoni, but kesi zilivyozidi akaanza kuamini. Nilifanikiwa kupata kazi nakuchomoka pale, but mpaka leo hatuivanagi kiviiile na Shemela, japo bro niko naye vyema sana

Nilichojifunza, ukiona mke au mumeo ameivana sana na ndugu yako,hata kama unamuamini vipi, wachunguze vizuri, huenda ukatuletea thread humu.
-Mkaskaz Damu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mama Debora soma hiyooo, safi sana mkuu na hongera kwa kujiepusha na mitego, hivi inakuaje mtu unawatega ndugu zake mumeo?, dah

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwahiyo wewe nikikutomba baba debora hatakuwa na noma eh nipe basi
Aisee, hebu acheni ushamba basi.
Hivi mfano wewe Khantwe au wewe financial services ukito*mbwa na shemej yako ama rafik yako ama mwanaume yeyote tofauti na mumeo....
Je anaondoka na Mbunye yako?
Je mumeo akirudi toka safari utamwambia baba Mwajuma mdogo wako amenito*mba?
Yaani kipi hasa kitapungua kwako?

Nyie wote wawili, maisha yenu tangu utotoni mnatembea na makamasi mpaka hivi sasa mmeshawahi kuto*mbwa na mwanaume wangapi?

#Acheni Ushamba

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwaka 2013, tarehe 8 mwezi wa pili ndio siku niliyomla mke wa kaka yangu kabisa. Sitakuja kuisahau.

Kaka yangu ni mtu wa safari sana, muda mwingi alikuwa hashindi nyumbani. Kipindi hicho nimemaliza chuo nipo natafuta kazi hivyo muda mwingi nilikuwa nashinda nyumbani mimi na shemeji tu. Kipindi hawana mtoto wala house girl

Shemeji alikuwa anapenda sana kuangalia movie, namimi ni mpenzi pia hivyo tulikuwa tunaangalia movie mpaka saa nane usiku.

Siku niliyomla, umeme ulikuwa umekatika mida ya saa nne usiku kwahyo nikawa naangalia zangu movie chumbani kwa Laptop yangu. Akasema kiutani shem acha uchoyo bana mbona unaangalia movie peke yako (mlango ulikuwa umerudishiwa tu, kwahyo sauti na mwanga), nikacheka nikamwambia karibu tuangalie.

Kweli shem akaja, movie naangalizia kitandani na muda chumbani hamna kiti wala meza. Tumeangalia weee, kufika saa sita tu hivi usingizi ukamchukua akalala hapo hapo. Namimi nikafunga laptop mana ilikuwa inaishia charge nikaenda toilet nikalala, japo shetani alikuwa ameshaanza kuniingia.

Usiku sikumbuki kilitokea nini tukajikuta tupo kwenye game mpaka asubuhi. Huo mchezo ulidumu kwa miezi mitatu ikabidi niombe kuondoka pale nirudi tu nyumbani, nilijua ipo siku nitafumwa na undugu utaisha.

Mpaka leo hatujawahi kurudia tena na tunaheshimiana sana, japo huwa najutia sana dhambi ile. Wewe ulishawahi kumla shemeji yako? Ilikuaje?
Si kila swala alie mbele yako uumle, wakati mwingine fanya kama umeshiba unamwacha aende, uzuri hakuna utamu unaokaa kichwani milele ndio maana unaweza kulala na mwanamke leo, mkapotezana kisha ukaja kumuona na kumtamani upya, Mambo mengine ni kujiendekeza tu, Huu ni Usela mavi kabisa, unamlalaje mke wa Kaka yako?? Hata kama Shemeji yako ni dhaifu kiasi gani kwanini wewe umlale. Uzuri Karma haijawahi kukosea, Kama si Mkeo, ni mtoto wako na kama sio mtoto wako basi Utalipa mara mbili. Ni suala la Muda tu but Utalipa kabla ya kuondoka. Dunia haibaki Na chenchi ya Mtu, unapewa chako kisha unachapa raba mbele.
 
Kwa s
Mwaka 2013, tarehe 8 mwezi wa pili ndio siku niliyomla mke wa kaka yangu kabisa. Sitakuja kuisahau.

Kaka yangu ni mtu wa safari sana, muda mwingi alikuwa hashindi nyumbani. Kipindi hicho nimemaliza chuo nipo natafuta kazi hivyo muda mwingi nilikuwa nashinda nyumbani mimi na shemeji tu. Kipindi hawana mtoto wala house girl

Shemeji alikuwa anapenda sana kuangalia movie, namimi ni mpenzi pia hivyo tulikuwa tunaangalia movie mpaka saa nane usiku.

Siku niliyomla, umeme ulikuwa umekatika mida ya saa nne usiku kwahyo nikawa naangalia zangu movie chumbani kwa Laptop yangu. Akasema kiutani shem acha uchoyo bana mbona unaangalia movie peke yako (mlango ulikuwa umerudishiwa tu, kwahyo sauti na mwanga), nikacheka nikamwambia karibu tuangalie.

Kweli shem akaja, movie naangalizia kitandani na muda chumbani hamna kiti wala meza. Tumeangalia weee, kufika saa sita tu hivi usingizi ukamchukua akalala hapo hapo. Namimi nikafunga laptop mana ilikuwa inaishia charge nikaenda toilet nikalala, japo shetani alikuwa ameshaanza kuniingia.

Usiku sikumbuki kilitokea nini tukajikuta tupo kwenye game mpaka asubuhi. Huo mchezo ulidumu kwa miezi mitatu ikabidi niombe kuondoka pale nirudi tu nyumbani, nilijua ipo siku nitafumwa na undugu utaisha.

Mpaka leo hatujawahi kurudia tena na tunaheshimiana sana, japo huwa najutia sana dhambi ile. Wewe ulishawahi kumla shemeji yako? Ilikuaje?
Sheria zetu wasunni ulitakiwa upeleke jambia kwa uncle wako then uombe msamaha yy ataamua.
 
Shida ya JF moja tu

Zile comment tatu za mwanzo ndo huwa zina-reflect comment za uzi mzima

Basi now kila mtu ni kama hajawahi kufanya hivyo

Yaani kila mtu anaona ni boonge la kosa

Kuna fala huenda ana comment akiwa kalala na shemeji yake

Mwamba anajua alichokifanya ni kosa na anajutia kabisa na alimua kuondoka pale alipokuwa.

Hata kama utalaumu na kulaani vipi haitasaidia
Nimewahi kusema Mimi kwenye Uz franii wa jamaa
.
.
Sijui inakuaje unakuta Watu Woote wanaflow kwenye iyo Direction
 
Nimewahi kusema Mimi kwenye Uz franii wa jamaa
.
.
Sijui inakuaje unakuta Watu Woote wanaflow kwenye iyo Direction

Jf ipo hivyo mzee sijui kwanini,

Yaani comment za mwanzo ndo zinaamua comment zifuatazo,

Sasa hapo kila mtu anamshambulia mshikaji,

Kiukweli sio kwamba natetea ila pia yeye sio wa kwanza na hatakuwa wa mwisho.
 
Back
Top Bottom