Dah...usijidanganye...hakuna hatua inayorukwa maishani....aidha utakuja kuvifanya uzeeni au utakosa uzoefu fulani wa uhalisia wa maisha.....[emoji2960]Vitu nilipishana navyo ndo km ivyo sjui kumla binamu; demu wa rafiki yangu; beki 3;shemeji... sjui kuvuta bange....daaah nashukuru kwa hayo japo hayanifanyi kua mtakatifu sana ila kwenye ustaarabu nimeimarika[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu hyo yako CHA MTOTO...Mimi nilishamla MAMA MKWE WNGU....ni mtamu hatari...
Aah wapi hakuna mwanamke mwendawazimu hivyoMsimkane ni mwanamke mwenzenu huyo
Au unaamini wenye akili za kijinga siku zote ni wanaume ?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ananichekesha ujue, mwanzo nilikasirika nilidhani ni mtu wenye akili timamu kumbe hazimtoshi bana[emoji3][emoji3]
Sent using Jamii Forums mobile app
maisha yamekuwa magumu mpaka tunahimizana kula shemeji zetuMwaka 2013, tarehe 8 mwezi wa pili ndio siku niliyomla mke wa kaka yangu kabisa. Sitakuja kuisahau.
Kaka yangu ni mtu wa safari sana, muda mwingi alikuwa hashindi nyumbani. Kipindi hicho nimemaliza chuo nipo natafuta kazi hivyo muda mwingi nilikuwa nashinda nyumbani mimi na shemeji tu. Kipindi hawana mtoto wala house girl
Shemeji alikuwa anapenda sana kuangalia movie, namimi ni mpenzi pia hivyo tulikuwa tunaangalia movie mpaka saa nane usiku.
Siku niliyomla, umeme ulikuwa umekatika mida ya saa nne usiku kwahyo nikawa naangalia zangu movie chumbani kwa Laptop yangu. Akasema kiutani shem acha uchoyo bana mbona unaangalia movie peke yako (mlango ulikuwa umerudishiwa tu, kwahyo sauti na mwanga), nikacheka nikamwambia karibu tuangalie.
Kweli shem akaja, movie naangalizia kitandani na muda chumbani hamna kiti wala meza. Tumeangalia weee, kufika saa sita tu hivi usingizi ukamchukua akalala hapo hapo. Namimi nikafunga laptop mana ilikuwa inaishia charge nikaenda toilet nikalala, japo shetani alikuwa ameshaanza kuniingia.
Usiku sikumbuki kilitokea nini tukajikuta tupo kwenye game mpaka asubuhi. Huo mchezo ulidumu kwa miezi mitatu ikabidi niombe kuondoka pale nirudi tu nyumbani, nilijua ipo siku nitafumwa na undugu utaisha.
Mpaka leo hatujawahi kurudia tena na tunaheshimiana sana, japo huwa najutia sana dhambi ile. Wewe ulishawahi kumla shemeji yako? Ilikuaje?
Umeandika ujinga ila imebidi nicheke sana!Aisee, hebu acheni ushamba basi.
Hivi mfano wewe Khantwe au wewe financial services ukito*mbwa na shemej yako ama rafik yako ama mwanaume yeyote tofauti na mumeo....
Je anaondoka na Mbunye yako?
Je mumeo akirudi toka safari utamwambia baba Mwajuma mdogo wako amenito*mba?
Yaani kipi hasa kitapungua kwako?
Nyie wote wawili, maisha yenu tangu utotoni mnatembea na makamasi mpaka hivi sasa mmeshawahi kuto*mbwa na mwanaume wangapi?
#Acheni Ushamba
Si kosa lake mkuu, msamehe tuu[emoji3]mi mwenyewe nilikasirika sana..kidogo nimfate PM nikamtandike makofi...sema moyo ulisita kutokana na issue ya corona
pole kwa msiga wa jirani yako Dr.makongoro mahanga
aiseee,kwahiyo ikawaje??Mkuu hyo yako CHA MTOTO...Mimi nilishamla MAMA MKWE WNGU....ni mtamu hatari...
Kwa hiyo dogo unajiona mjaaanja wakati nilishatega cctv kitambo huoni nilianza kukata mirija ya kukupa pesa ukaishia kupauka ww ni boya sana au niweke humu clip zako unaongea ongea tuu ukijua mimi sio member humu?
Shemeji yako ni malaya na hapo fala ni wewe siyo kaka yako. Tambua fika huyo shemeji yako ni chakula cha masela hapo mtaani.Mwaka 2013, tarehe 8 mwezi wa pili ndio siku niliyomla mke wa kaka yangu kabisa. Sitakuja kuisahau.
Kaka yangu ni mtu wa safari sana, muda mwingi alikuwa hashindi nyumbani. Kipindi hicho nimemaliza chuo nipo natafuta kazi hivyo muda mwingi nilikuwa nashinda nyumbani mimi na shemeji tu. Kipindi hawana mtoto wala house girl
Shemeji alikuwa anapenda sana kuangalia movie, namimi ni mpenzi pia hivyo tulikuwa tunaangalia movie mpaka saa nane usiku.
Siku niliyomla, umeme ulikuwa umekatika mida ya saa nne usiku kwahyo nikawa naangalia zangu movie chumbani kwa Laptop yangu. Akasema kiutani shem acha uchoyo bana mbona unaangalia movie peke yako (mlango ulikuwa umerudishiwa tu, kwahyo sauti na mwanga), nikacheka nikamwambia karibu tuangalie.
Kweli shem akaja, movie naangalizia kitandani na muda chumbani hamna kiti wala meza. Tumeangalia weee, kufika saa sita tu hivi usingizi ukamchukua akalala hapo hapo. Namimi nikafunga laptop mana ilikuwa inaishia charge nikaenda toilet nikalala, japo shetani alikuwa ameshaanza kuniingia.
Usiku sikumbuki kilitokea nini tukajikuta tupo kwenye game mpaka asubuhi. Huo mchezo ulidumu kwa miezi mitatu ikabidi niombe kuondoka pale nirudi tu nyumbani, nilijua ipo siku nitafumwa na undugu utaisha.
Mpaka leo hatujawahi kurudia tena na tunaheshimiana sana, japo huwa najutia sana dhambi ile. Wewe ulishawahi kumla shemeji yako? Ilikuaje?
Aisee, hebu acheni ushamba basi.
Hivi mfano wewe Khantwe au wewe financial services ukito*mbwa na shemej yako ama rafik yako ama mwanaume yeyote tofauti na mumeo....
Je anaondoka na Mbunye yako?
Je mumeo akirudi toka safari utamwambia baba Mwajuma mdogo wako amenito*mba?
Yaani kipi hasa kitapungua kwako?
Nyie wote wawili, maisha yenu tangu utotoni mnatembea na makamasi mpaka hivi sasa mmeshawahi kuto*mbwa na mwanaume wangapi?
#Acheni Ushamba
Mkuu bora hata asimwelezee kabsaaa,atamuelezea cku akitaka kufa afanye toba ya mwisho, italeta maafa makubwaaaaaa sanaaaaaaa tena sanaaaaaa.Mkuu hiyo tabia haifai kabisa vizuri umejutia kosa na ikiwezekana mueleze kaka ako kishs umuombe msamaha ubaki na amani
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji3][emoji3][emoji3], nimecheka pia aiseeUmeandika ujinga ila imebidi nicheke sana!