Umeshawahi kumla shemeji yako?

Kwa hiyo dogo unajiona mjaaanja wakati nilishatega cctv kitambo huoni nilianza kukata mirija ya kukupa pesa ukaishia kupauka ww ni boya sana au niweke humu clip zako unaongea ongea tuu ukijua mimi sio member humu?

[emoji23][emoji23]


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Ulifanya kitu cha maana sana kwenda kulala toilet na kumuacha shemeji chumbani kwako mkuu
 
Utata unaazia hapa ulipokwenda kulala toilet...yeye chumbani ukamge
 
Haswa .....tena mna walaza na watoto wenu wa kiume wanawaita uncle

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Duuuh, life is not fair...

Hivi kumbe jamii zingine kumla demu wa kaka yako ni dhambi (mwiko)!? Wakati mi huwa namkuta bro ndani halaf ananiachia nyumba...!? Au akitoka safarini akikuta mkuki nje (mlangoni) anajua tu nipo ndani halaf yeye anakwenda kwingine kutafuta MALAZI.
 
Hainaga ushemeji

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jiandae na wako kuliwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Maana halisi ya Shemaji inanipa utata, Ila naamini inahusiana moja kwa moja na haya

Niliwahi mla mchumba wa Mshkaji wangu wakaribu.
Alijipundua yule dada na alikua na bonge la Tako, kiukweli hakuachika.

Nilishwahi kula ndugu wa 4 kwenye familia na wa 5 akiwa ndugu ya mama yao.
Ila hawa wote watano niliwala kwa mda tofauti mana tulikulia mtaani pamoja, na hakuna yoyote niliyekuwa nae kwenye serious relation wote nilikula tunda kimasihara.

Nilashawahi pia kuwala ndugu wa 3 kwa upande mwengine.
Hawa nilikua na mahusiano na dada mkubwa wadogo wakaona wivu wote nikawala.

Na nilishawahi kula ndugu (mapacha) kwenye threesome moja safi sana kimasihara tu.
Hii inabaki katika moja ya my all time classic

kwa haraka haraka zimekuja hizo kichwani.
 
Acha swaga za kihaya wewe MamaDebola, nasikia huko kwenu mnatabia ya kusema "kizuri kula na nduguyo".

5/5
 
Kiswahili cha kawaida tu hicho. Amefupisha.Kwamba Baada ya kutoka Toilet akarudi akalala au ulitaka aandike kwa kirefu?jamani Sio kila kitu unaleta kujua kama Hapa wewe ndo hujaelewa but mwandishi yupo sawa
"Nikaenda toilet nikalala"kwa hiyo mkubwa hadi chooni mmeweka kitanda

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…