Umeshawahi kumla shemeji yako?

Hakuna alipokosea Mimi Nina laptop inalaa Masaa kumi non stop pia hiyo chooni hajakosea Ni kafupisha Ni sawa Na kusema nikanawa nikala badala ya Baada ya kunawa nikaanza kula.The sana alipotoka toilet akarudi kulala Na inategemea story content yake Ni IPI.Wana Jf wengi huwa tunaacha point tunaanza kuchambua mstari Basi tupatie hakuna.Ni ufundi tu wa kiswahili INA amna nyie kwenye mashairi hamuwezi elewa kitu Mana mashahiri hufupisha sana iwe ya Kizungu au swahili
Mmeelewa lakini story 2003, mwana alikua na laptop inayoweza kukaa na chaji toka saa nne mpaka saa 6, lakini pia alienda kulala chooni

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapa Jf nimeamini baadhi ya watu kwa kuwa wao hawajawai kuwa navyo Basi haviwezekani.Mfano Mimi Nina Laptop sumsumg nikichaji Ni masaa kumi.Sasa wanaoshangaa masaa 6,si Eti 2003,hakuna laptop...simply coz hawakuwa navyo.Sio.sawa.Pia mtu akisema nilienda chooni nikalala.Kuna ubaya gani.Si kafupisha tu.Ni sawa niseme nilienda Shule nikawa Doctor. Kwa maana Hapa kati nilifanya a lot kufika but nilienda Shule.Mpaka mtu aandike nilienda chooni nikatoka nikabawa mikono nikaja kulala Na nikajifunika shuka.Watu hata lugha za kishairi hawazijui.
wala hajakudanganya, mimi nina laptop toshiba satellite A20 ya mwaka 2000 inakaa na charge 2 hours na ikiwa on standby mode inakaa na charge 6 days, kwanini yeye awe amedanganya ?


Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakati naanza chuo, mwaka 2004, Kuna wanafunzi wenzangu wa familia Bora walikuja na Laptop, na tulikuwa tunashangaa sana, maana Mimi nimenunua Laptop baada ya kumaliza chuo, miaka miwili. Kwa hiyo 2003 familia Bora ilikuwa kawaida kuwa na Laptop.

Ila kula shemeji, siungi mkono hoja, tabia za akina Ryan Giggs hizo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hi kali kuliko kali p
 
Wala tu point kubwa ni huo mwaka 2003, ndio point ya laptop ikaja nikweli laptop inaweza kukaa hadi masaa 4. Najua sasa hivi unaona 2013, ila ni baada ya editing, kabla ya hapo aliandika 2003...nadhani hapo utakua umeona asili ya ukakasi wa story yake
 
Mama Debora soma hiyooo, safi sana mkuu na hongera kwa kujiepusha na mitego, hivi inakuaje mtu unawatega ndugu zake mumeo?, dah

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwahiyo wewe nikikutomba baba debora hatakuwa na noma eh nipe basi
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Si kila swala alie mbele yako uumle, wakati mwingine fanya kama umeshiba unamwacha aende, uzuri hakuna utamu unaokaa kichwani milele ndio maana unaweza kulala na mwanamke leo, mkapotezana kisha ukaja kumuona na kumtamani upya, Mambo mengine ni kujiendekeza tu, Huu ni Usela mavi kabisa, unamlalaje mke wa Kaka yako?? Hata kama Shemeji yako ni dhaifu kiasi gani kwanini wewe umlale. Uzuri Karma haijawahi kukosea, Kama si Mkeo, ni mtoto wako na kama sio mtoto wako basi Utalipa mara mbili. Ni suala la Muda tu but Utalipa kabla ya kuondoka. Dunia haibaki Na chenchi ya Mtu, unapewa chako kisha unachapa raba mbele.
 
Kwa s
Sheria zetu wasunni ulitakiwa upeleke jambia kwa uncle wako then uombe msamaha yy ataamua.
 
Nimewahi kusema Mimi kwenye Uz franii wa jamaa
.
.
Sijui inakuaje unakuta Watu Woote wanaflow kwenye iyo Direction
 
Nimewahi kusema Mimi kwenye Uz franii wa jamaa
.
.
Sijui inakuaje unakuta Watu Woote wanaflow kwenye iyo Direction

Jf ipo hivyo mzee sijui kwanini,

Yaani comment za mwanzo ndo zinaamua comment zifuatazo,

Sasa hapo kila mtu anamshambulia mshikaji,

Kiukweli sio kwamba natetea ila pia yeye sio wa kwanza na hatakuwa wa mwisho.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…