Mwaka 2013, tarehe 8 mwezi wa pili ndio siku niliyomla mke wa kaka yangu kabisa. Sitakuja kuisahau.
Kaka yangu ni mtu wa safari sana, muda mwingi alikuwa hashindi nyumbani. Kipindi hicho nimemaliza chuo nipo natafuta kazi hivyo muda mwingi nilikuwa nashinda nyumbani mimi na shemeji tu. Kipindi hawana mtoto wala house girl
Shemeji alikuwa anapenda sana kuangalia movie, namimi ni mpenzi pia hivyo tulikuwa tunaangalia movie mpaka saa nane usiku.
Siku niliyomla, umeme ulikuwa umekatika mida ya saa nne usiku kwahyo nikawa naangalia zangu movie chumbani kwa Laptop yangu. Akasema kiutani shem acha uchoyo bana mbona unaangalia movie peke yako (mlango ulikuwa umerudishiwa tu, kwahyo sauti na mwanga), nikacheka nikamwambia karibu tuangalie.
Kweli shem akaja, movie naangalizia kitandani na muda chumbani hamna kiti wala meza. Tumeangalia weee, kufika saa sita tu hivi usingizi ukamchukua akalala hapo hapo. Namimi nikafunga laptop mana ilikuwa inaishia charge nikaenda toilet nikalala, japo shetani alikuwa ameshaanza kuniingia.
Usiku sikumbuki kilitokea nini tukajikuta tupo kwenye game mpaka asubuhi. Huo mchezo ulidumu kwa miezi mitatu ikabidi niombe kuondoka pale nirudi tu nyumbani, nilijua ipo siku nitafumwa na undugu utaisha.
Mpaka leo hatujawahi kurudia tena na tunaheshimiana sana, japo huwa najutia sana dhambi ile. Wewe ulishawahi kumla shemeji yako? Ilikuaje?
Aidha hii ni moja katika ya zile hadithi za kitoto na fantasy zao wanazoleta hapa au kama ni kweli ilitokea wewe ni mtu wa ajabu sana.
Nasema wewe ni mtu wa ajabu sana kwa sababu ya kutompenda kaka yako na kumvunjia heshima kupita kiasi. Ingelikuwa imetokea mara moja tu angalau tungelisema kuwa mashetani yaliwashinda, lakini kuendelea kwa miezi mitatu huo ni ukatili wa hali ya juu. Tena hata ulipoondoka hukuondoka kwa sababu ulikuwa unahisi vibaya unayomfanyia kaka yako bali umeondoka kwa sababu ulihisi utakuja fumaniwa tu. Huo uni ushenzi wa hali ya juu.
Halafu unakuja kuleta mada hii hapa, kuonyesha kuwa you dont feel guilty at all, anfact you are so proud of yourself. I hope and pray kuwa kaka yako nae pia ni member hapa na asome na kujua uliyomfanyia. Inawezekana kuwa umekwenda chuo kikuu lakini hukuelimika hata kidogo maana umeweka clues tele hapa za kaka yako kujua kuwa ni wewe ndie uliekuwa ukimla mke wake.
clue ni kama zifuatazo
1. mwanzoi mwa mwaka 2013 ulikuwa unaishi na kaka yako
2. Kipindi hicho ulikuwa ndio umemaliza masomo na huna kazi,unatafuta kazi
3. Kaka yako alikuwa safarini tarehe 8/02/2013.
4 Kaka yako kipindi hicho alikuwa hana house girl.
5 Mkewe ni mtu wa kupenda films
6 hafla tu bila kupata kazi mwezi wa May (umesema mlifanya uchafu huu kwa miezi mitatu) uliamua kurudi nyumbani.
Now ladies and gentleman ni Kaka wangapi wanaweza kuangali point hizo 6 za haraka haraka na kutojua kuwa ni yeye aliyeendelewa kinyume na mdogo wake?
Kama mwanzoni mwanzoni mwa mwaka wa 2013 ulikuwa ukiishi na ndugu yako (alokuwa ndio kwanza kamaliza chuo na anatafuta kazi) pamoja na mke wako katika mji fulani na ulikuwa ukisafiri sana na kumuacha mkeo na mdogo wako nyumbani, lakini hafla katika mwezi wa May aliamua kuondoka na kurudi nyumbani basi jua sababu ya yeye kuondoka ni kwa sababu alikuwa akimla mkeo. Mkeo ni anapenda kuangalia films na kipindi cha mwaka 2013 ulikuwa huna house girl basi jua tu huna ndugu wa kweli.