Anastasia21
JF-Expert Member
- Jul 27, 2023
- 1,056
- 2,118
Usipomwambia unakua unafeliUshawai mpenda mtu afu Ata hujawai muambia unampenda mtoto wa mammkwe unakaa tu kua proud akioa au kuolewa, akifanikiwa yaan inakua sasa Kama secret well wisher(crush).
NB: Sikushauri ka confess izo mafeelings zitakusumbua 👽👽
Alafu wewe unabaki mkoani 😂Hii ipo sema akiwa karibu yangu siwezi kunyamazaView attachment 3258322
Ndio 😅😛kuna mtoto wa mtu nampenda halafu yeye hajuiUshawai mpenda mtu afu Ata hujawai muambia unampenda mtoto wa mammkwe unakaa tu kua proud akioa au kuolewa, akifanikiwa yaan inakua sasa Kama secret well wisher(crush).
NB: Sikushauri ka confess izo mafeelings zitakusumbua 👽👽
Dada angu naskia upo kwenye kamati ya kulifanya jua liwake sana hapa dar 🤣
Acha muungue tu, mpunguze mambo ya mapenzi 🤣Dada angu naskia upo kwenye kamati ya kulifanya jua liwake sana hapa dar 🤣
Muwe na huruma Basi
Nipo hapa we niambie tu.Ndio 😅😛kuna mtoto wa mtu nampenda halafu yeye hajui
Mi alienda Canada 😢Hii ipo sema akiwa karibu yangu siwezi kunyamazaView attachment 3258322
Alafu duh et anaeka upo Kwa snow fighting na mtu ake😹😹 iyo feelingMi alienda Canada 😢
Kila akicomment unareact "😍" , Mangi hiyo kawaida sana mi yenyewe nikishaanza kuvutiwa na ID ya kike najua kabisa hii ni wakeup call ya kujua kichupa kinaelekea kujaaaHumu humu kuna I'd ya kike naipenda nasitakaa niseme.
Kataa ndoa#
Kwahiyo mpenzi wako uliyenae anajua kama upo nae ili siku zisonge tu? Ya kwamba ni chaguo la pili kwako😅😅Alafu duh et anaeka upo Kwa snow fighting na mtu ake😹😹 iyo feeling
Afu akirudi anakuona sio type yake 😁Mi alienda Canada 😢
Tuendelee kukemea hilo pepo 🤣Kila akicomment unareact "😍" , Mangi hiyo kawaida sana mi yenyewe nikishaanza kuvutiwa na ID ya kike najua kabisa hii ni wakeup call ya kujua kichupa kinaelekea kujaaa
Akirudi Tena akati kaamia mazima😏Afu akirudi anakuona sio type yake 😁