Anastasia21
JF-Expert Member
- Jul 27, 2023
- 1,056
- 2,118
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
akati❌️Akirudi Tena akati kaamia mazima😏
Tufunge na kusali maana itafika mahali utadata na ID ya kike mwisho wa siku unaiota.....ndotoni unakua unaiona shape sura hamna maana hujawahi muonaTuendelee kukemea hilo pepo 🤣
Nampenda na yeye anajua🤣🤣🤣 sema huu msitu unaweza kuchapiwa na wataalam wanakung'ong'a tu!!Hahaha shindikanaa hajambo lakin?
Ndio 😅😛kuna mtoto wa mtu nampenda halafu yeye hajui
Wewe nae kafanye kazi basataakati❌️
wakati✅️
Lugha tamu ikisomwa vile inavyotakiwa.
😹😹😹😹😹😹😹😹😹😹😹😹😹😹😹😹😹😹😹😹😹😹😹😹😹😹😹😹😹😹😹😹😹😹😹🙌🏾“Watanionaje” neno hili linaweza kukufanya ukaishi maisha magumu sana
Watu wengi hasa wasiokuwa na ajira wameshindwa kutoka ndani na kujaribu kufanya baadhi ya shughuli za kujiingizia kipato kwa kuwaza kuwa “watamuonaje” Ukijaribu kuangalia kuna vitu vingi vya kufanya kwa waliohitimu vyuo mbalimbali huku mkiendelea kusubiri ajira. Vitu hivyo ni kama...www.jamiiforums.com
Watanionaje 👆🏻 kumbe ulikua unajifanyia canceling
Tulia basi Ana, ujue humu jf watu wengi wamejifunza kuandika vizuri. Wengi walikuja kama wewe...kuandika viswahili havieleweki. Kaa kwa utulivu uandike vizuri, sisi wazee tuelewe...Wewe nae kafanye kazi basata
Ngoja niache waichape kwanza wakichoka ndio nitasema 😂😂Nampenda na yeye anajua🤣🤣🤣 sema huu msitu unaweza kuchapiwa na wataalam wanakung'ong'a tu!!
Niache mie na kiswahili changu utajuaje mi msouth😹😹Tulia basi Ana, ujue humu jf watu wengi wamejifunza kuandika vizuri. Wengi walikuja kama wewe...kuandika viswahili havieleweki. Kaa kwa utulivu uandike vizuri, sisi wazee tuelewe...
Eh🙌🏾Ngoja niache waichape kwanza wakichoka ndio nitasema 😂😂
Nataka niwe nakurekebisha msauz! Huwezi jua yajayo🤣🤣Niache mie na kiswahili changu utajuaje mi msouth😹😹
Itakua ujampenda ww kuna mtu anasubir mpaka ndoa yake ivunjike Bado anamsubir amoendae ww kisa amekataa unasepa kutana na divorcee tayar kashapata wakumliwaza😹Labda awe ndugu ila kama mtu baki lazima nimeambie na akikataa ndio mwisho wa kumpenda huo
Sawa BasataNataka niwe nakurekebisha msauz! Huwezi jua yajayo🤣🤣
Na kweli Bado ipo😹😹 Ata ikiozaUtulivu ni jambo kubwa sana bro , uzuri mmoja wanaichapa tu hawaing'oi na kusepa nayo.