Anastasia21
JF-Expert Member
- Jul 27, 2023
- 1,056
- 2,118
- Thread starter
- #61
HongeraNilimpenda mmoja alikuwa mke wa mkubwa mmoja pale. Kwenye lile eneo ila nilipomtokea ikawa fresh
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HongeraNilimpenda mmoja alikuwa mke wa mkubwa mmoja pale. Kwenye lile eneo ila nilipomtokea ikawa fresh
Nitajie basi🤣Kua uyaone mdogo wangu!
Shindiii mambo mabaya bwana!Mambo vip shindi...
Mambo gani tena ?Shindiii mambo mabaya bwana!
Kwani 'mithali thate first' humu wapo?Nitajie basi🤣
Be blessedKuna kijana humu huwaa napenda comment zake.. napenda uchangiaji wake anaonekana ni gentleman haswaa
Mpaka leo sijafanikiwa kujua jinsia yako Coca😂Akati niko primary, niliwahi mpendaga classmate, ila kumuambia naogopa, basi ikafika std 6 tukapangwa kukaa dawati 1.
Kuna ka feelings nlikua nakapata, hasa ile akinisemesha au kupiga story, nili enjoy ule ukaribu, ila kumfungukia sikuweza.
Tukamaliza, yeye akaenda Sec ya kata, mie nikaenda bweni.
Nafurahi kila mtu katimiza ndoto yake, na yeye kafanikiwa pia.
Abarikiwe sana wa kuitwa D.
Hayo uliyouliza.Mambo gani tena ?
Ooooh kumbe ndio huyo!! Nipe hela nikukonekti🤣Kwani 'mithali thate first' humu wapo?
Huyo tokea mwanzo wa raisi kuwepo tanzania na leo alishwai kupenda watuUshawai mpenda mtu afu Ata hujawai muambia unampenda mtoto wa mammkwe unakaa tu kua proud akioa au kuolewa, akifanikiwa yaan inakua sasa Kama secret well wisher(crush).
NB: Sikushauri ka confess izo mafeelings zitakusumbua 👽👽
Mbona ulishamtaja!!Humu humu kuna I'd ya kike naipenda nasitakaa niseme.
Kataa ndoa#
Eti umesema!!!!!Nampenda na yeye anajua🤣🤣🤣 sema huu msitu unaweza kuchapiwa na wataalam wanakung'ong'a tu!!
Hadi wewe?Akati niko primary, niliwahi mpendaga classmate, ila kumuambia naogopa, basi ikafika std 6 tukapangwa kukaa dawati 1.
Kuna ka feelings nlikua nakapata, hasa ile akinisemesha au kupiga story, nili enjoy ule ukaribu, ila kumfungukia sikuweza.
Tukamaliza, yeye akaenda Sec ya kata, mie nikaenda bweni.
Nafurahi kila mtu katimiza ndoto yake, na yeye kafanikiwa pia.
Abarikiwe sana wa kuitwa D.
Bado Mwachiluwi 🤣🤣🤣Tulia basi Ana, ujue humu jf watu wengi wamejifunza kuandika vizuri. Wengi walikuja kama wewe...kuandika viswahili havieleweki. Kaa kwa utulivu uandike vizuri, sisi wazee tuelewe...
Dah thawa thawaBado Mwachiluwi 🤣🤣🤣
Ohooo! Ushanielewa tofauti.....siyo mwenye ID hiyo, namaanisha mwanamke mwenye sifa za mithali 31Ooooh kumbe ndio huyo!! Nipe hela nikukonekti🤣
zulpha mhina popote ulipo still...Ushawai mpenda mtu afu Ata hujawai muambia unampenda mtoto wa mammkwe unakaa tu kua proud akioa au kuolewa, akifanikiwa yaan inakua sasa Kama secret well wisher(crush).
NB: Sikushauri ka confess izo mafeelings zitakusumbua 👽👽
Nani huyo?Mbona ulishamtaja!!