Umeshawahi kumpenda mtu kisirisiri halafu hujawahi kumwambia na unafurahi akifanikiwa?

Umeshawahi kumpenda mtu kisirisiri halafu hujawahi kumwambia na unafurahi akifanikiwa?

Itakua ujampenda ww kuna mtu anasubir mpaka ndoa yake ivunjike Bado anamsubir amoendae ww kisa amekataa unasepa kutana na divorcee tayar kashapata wakumliwaza😹
Binadamu tupo tofauti... binafsi siwezi kumpenda Mtu ambae najua ana mtu na huyo mtu namjua.

Hua nampenda mtu akiwa single ila nikishajua ana mahusiano mengine a mtu wake namjua..

Hua napata kinyaa tu mzuka nae nakua sina tena
 
Kawaida sana! Ukimkuta mdada wa watu ana hustle kwelikweli, unaona anavyopambana, unajisemea kimoyomoyo, ningekuwa sijaoa! Ningeoa huyu! Wapo wanaume hawapendi chezea chezea mwanawake! Unabaki ku mum-wish afanikiwe!
 

Watanionaje 👆🏻 kumbe ulikua unajifanyia canceling
Umepoteza muda sana 😅
 
Akati niko primary, niliwahi mpendaga classmate, ila kumuambia naogopa, basi ikafika std 6 tukapangwa kukaa dawati 1.

Kuna ka feelings nlikua nakapata, hasa ile akinisemesha au kupiga story, nili enjoy ule ukaribu, ila kumfungukia sikuweza.

Tukamaliza, yeye akaenda Sec ya kata, mie nikaenda bweni.
Nafurahi kila mtu katimiza ndoto yake, na yeye kafanikiwa pia.

Abarikiwe sana wa kuitwa D.
 
Ushawai mpenda mtu afu Ata hujawai muambia unampenda mtoto wa mammkwe unakaa tu kua proud akioa au kuolewa, akifanikiwa yaan inakua sasa Kama secret well wisher(crush).

NB: Sikushauri ka confess izo mafeelings zitakusumbua 👽👽
Nilimpenda mmoja alikuwa mke wa mkubwa mmoja pale. Kwenye lile eneo ila nilipomtokea ikawa fresh
 
Back
Top Bottom