Umeshawahi kupata kazi kupitia Linkedin?

Umeshawahi kupata kazi kupitia Linkedin?

NMB ndo inanisumbua Sasa hata ikiwezekana naona inabid nifungue account special kwa ajili ya online transaction apart from NMB
Fanya hivyo; NMB huwa inasumbua.
Alafu ukifanya hivyo unakuwa safe zaidi maana utakuwa unahamisha kiasi TU unachotaka kulipia kitu. Hivyo hata wahuni wakipata details za kadi yako wanakuta ni empty🤣
 
Fanya hivyo; NMB huwa inasumbua.
Alafu ukifanya hivyo unakuwa safe zaidi maana utakuwa unahamisha kiasi TU unachotaka kulipia kitu. Hivyo hata wahuni wakipata details za kadi yako wanakuta ni empty[emoji1787]
Asante sana
 
Tuendelee tulipoishia, uzi mzuri sana huu. Kwa wanaotumia linkedin premium embu watupe faida zake na umuhimu wake?
 
Tuendelee tulipoishia, uzi mzuri sana huu. Kwa wanaotumia linkedin premium embu watupe faida zake na umuhimu wake?
Huwa naomba sana kazi huko LinkedIn ila sijawahi hata kuwa shortlisted wao naona wana sisitiza hiyo premium sasa sijui imekaaje.
 
Huwa naomba sana kazi huko LinkedIn ila sijawahi hata kuwa shortlisted wao naona wana sisitiza hiyo premium sasa sijui imekaaje.
Kweli, natamani kufahamu kuhusu hili. Maana nikiingia linkedin naona one person viewed your profile, kumuona nahitaji kuwa na premium. Pia, kuna baadhi ya connections zangu siwezi kuwatumia message wanadai mpaka niwe na premium. Hivyo, ni vyema kufahamu faida zingine za kujiunga nayo kwa kupata ushuhuda kutoka kwa wadau.
 
Kweli, natamani kufahamu kuhusu hili. Maana nikiingia linkedin naona one person viewed your profile, kumuona nahitaji kuwa na premium. Pia, kuna baadhi ya connections zangu siwezi kuwatumia message wanadai mpaka niwe na premium. Hivyo, ni vyema kufahamu faida zingine za kujiunga nayo kwa kupata ushuhuda kutoka kwa wadau.
Faida za LinkedIn Premium ni nyingi sana ila nitaeleza chache muhimu sana.

1. Profile yako huwa inapewa kipaumbele pale ikitokea employer anatafuta mtu kwahiyo kulingana na profile yako mwajiri akiweka neno linaloendana na experience yako au kazi unayofanya lazima jina lako litokee.

Kila baada ya siku 7 watakuletea analytical report kukuonesha ume appear mara ngapi kwenye search na makampuni yaliyo search mtu mwenye vigezo kama vyako utaoneshwa [emoji116]
Screenshot_20240309-045847.jpg


2. Kila itakapo postiwa kazi inayoendana na qualification zako watakutumia notification ya recommendation ya hiyo kazi na watakuonesha vitu vifuatavyo (no. III ni muhimu sana)

I. Ni watu wangapi wameomba hiyo kazi

II. Idadi ya wafanyakazi kwenye hiyo kampuni na kama Kuna mtu amesoma chuo ulichosoma watakuambua.


III. Watakuonesha una vigezo vingapi na vipi kati ya vigezo vya mtu anaetafutwa ambavyo unavyo na usivyokuwa navyo ( hii inakusaidia ku edit na kuweka vile vigezo(skills) vinavyohitajika na mwajiri ambavyo hujaweka kwenye profile) [emoji116]

Screenshot_20240309-051315.jpg


IV. Watakuonesha kama unafaa ama haufai kuomba hiyo nafasi [emoji116]
Screenshot_20240309-050505.jpg


V. Last but not least Kwa siku ya Leo watakufanyia ulinganifu Kwa watu wote walioomba hiyo nafasi ili ujipime uone kama unaimba hao upitezee [emoji116]

Screenshot_20240309-051407.jpg


Kwa kutumia mfano huo hapo juu watu waliomba hiyo nafasi kupitia LinkedIn mpaka kufikia Leo ni 654 kati ya hao watu,

A. 5 walikuwa ni manager level na 1 ni Entry Level applicant

B. 67% ya watu waliomba wana elimu sawa na ya kwangu

C. 33% wananizidi elimu.

NB: kama ningeamua kuomba hii kazi ningekuwa kati ya watu 6 ambao wangekuwa na nafasi kubwa kupata hii kazi Kwa kutumia kigezo cha experience.

Na hapa ndio faida namba Moja ya kuwa na LinkedIn Premium. Inakusaidia kuokoa mda kwani utakuwa unaimba kazi pale unapoona una nafasi kubwa ya kushinda.

Kwamfano Jana nimeomba kazi kupitia LinkedIn haikupita hata nusu saa nikaitwa kwenye interview[emoji116]
1709954014262.jpg


Ushauri: jitahidini ku connect na watu wengi as possible. Pia apply kazi na nendeni kwenye interview hata kama huitaki ili kujinoa. Kuna namna ya kukataa kazi kisomi
 

Attachments

  • Screenshot_20240309-050526.jpg
    Screenshot_20240309-050526.jpg
    87 KB · Views: 11
  • Screenshot_20240309-051315.jpg
    Screenshot_20240309-051315.jpg
    40.7 KB · Views: 11
Tuendelee tulipoishia, uzi mzuri sana huu. Kwa wanaotumia linkedin premium embu watupe faida zake na umuhimu wake?
Sioni sababu ya kutumia linkedin premium kama wewe si mwajiri. Linkedin premium inakupa option ya kuwasiliana na mtu hata kama hujamuinvite akaaccept connection na wewe na features nyingine nzuri.
Ila kwangu mimi sizioni kama za maana kivile
Kitu muhinu kuwa na profile nzuru.
Linkedin imenipa madeal kinoma toka nmejiunga nayo 4 years ago..mwaka huu kuanzia feb imenipa deal moja la moto sana linaishia mwezi ujao ila income nliyopata ni karbu malipo ya viti maalum ya miez 3
 
Ongezea na number 5

Kukosa uvumilivu - hiki hata mimi ni muhanga siwezi kuvumilia mtu anaenizingua kazini awe boss awe HR awe Manager awe Supervisor akinizingua siangalii cheo chake lazima tutazinguana tu, na kimeendelea kuni-cost I can't tolerate stupidity
Hili ndio swala ambalo mimi pia sipatani nalo. Kukishakuwa na mduanzi jua hio kazi sitamaliza mwaka ntaiacha.😂😂😂 Kuna watu wanakera kinoma hata CV yangu sehemu nyingi nimefanya mwaka mmoja mmoja tu
 
Hili ndio swala ambalo mimi pia sipatani nalo. Kukishakuwa na mduanzi jua hio kazi sitamaliza mwaka ntaiacha.😂😂😂 Kuna watu wanakera kinoma hata CV yangu sehemu nyingi nimefanya mwaka mmoja mmoja tu
Aisee hatupishani Kuna sehemu nilikuwa yaani kampuni imejaa uchawa wa hali ya juu, nikaona hapa sitoboi na kweli sikutoboa maana uchawa na kujipendekeza siwezi kabisa.
 
Mi nilifanya nikafaulu ila wakaomba video nikawatumia baada ya hapo kimya kikatawala. Sikuhangaika nao tena
 
Sioni sababu ya kutumia linkedin premium kama wewe si mwajiri. Linkedin premium inakupa option ya kuwasiliana na mtu hata kama hujamuinvite akaaccept connection na wewe na features nyingine nzuri.
Ila kwangu mimi sizioni kama za maana kivile
Kitu muhinu kuwa na profile nzuru.
Linkedin imenipa madeal kinoma toka nmejiunga nayo 4 years ago..mwaka huu kuanzia feb imenipa deal moja la moto sana linaishia mwezi ujao ila income nliyopata ni karbu malipo ya viti maalum ya miez 3
Premium ni muhimu sana sema inategemea na field yako; nini unafanya. Kuna watu kazi zetu zinatuhitaji kujua Nini kinaendelea kila siku ulimwenguni katika nyanja zetu na hapo ndipo LinkedIn inakuja kuwa msaada maana Kuna taarifa nyingi tunapata huko ukiachilia mbali training mbali mbali
 
Naomba kuuliza Kwa mfano natafuta kazi nikaamua kuandika LinkedIn na kupost kama post za kawaida Kuna uwezekano wa aajiri kunipa deals [emoji1666]
 
Faida za LinkedIn Premium ni nyingi sana ila nitaeleza chache muhimu sana.

1. Profile yako huwa inapewa kipaumbele pale ikitokea employer anatafuta mtu kwahiyo kulingana na profile yako mwajiri akiweka neno linaloendana na experience yako au kazi unayofanya lazima jina lako litokee.

Kila baada ya siku 7 watakuletea analytical report kukuonesha ume appear mara ngapi kwenye search na makampuni yaliyo search mtu mwenye vigezo kama vyako utaoneshwa [emoji116]
View attachment 2928901

2. Kila itakapo postiwa kazi inayoendana na qualification zako watakutumia notification ya recommendation ya hiyo kazi na watakuonesha vitu vifuatavyo (no. III ni muhimu sana)

I. Ni watu wangapi wameomba hiyo kazi

II. Idadi ya wafanyakazi kwenye hiyo kampuni na kama Kuna mtu amesoma chuo ulichosoma watakuambua.


III. Watakuonesha una vigezo vingapi na vipi kati ya vigezo vya mtu anaetafutwa ambavyo unavyo na usivyokuwa navyo ( hii inakusaidia ku edit na kuweka vile vigezo(skills) vinavyohitajika na mwajiri ambavyo hujaweka kwenye profile) [emoji116]

View attachment 2928926

IV. Watakuonesha kama unafaa ama haufai kuomba hiyo nafasi [emoji116]View attachment 2928936

V. Last but not least Kwa siku ya Leo watakufanyia ulinganifu Kwa watu wote walioomba hiyo nafasi ili ujipime uone kama unaimba hao upitezee [emoji116]

View attachment 2928942

Kwa kutumia mfano huo hapo juu watu waliomba hiyo nafasi kupitia LinkedIn mpaka kufikia Leo ni 654 kati ya hao watu,

A. 5 walikuwa ni manager level na 1 ni Entry Level applicant

B. 67% ya watu waliomba wana elimu sawa na ya kwangu

C. 33% wananizidi elimu.

NB: kama ningeamua kuomba hii kazi ningekuwa kati ya watu 6 ambao wangekuwa na nafasi kubwa kupata hii kazi Kwa kutumia kigezo cha experience.

Na hapa ndio faida namba Moja ya kuwa na LinkedIn Premium. Inakusaidia kuokoa mda kwani utakuwa unaimba kazi pale unapoona una nafasi kubwa ya kushinda.

Kwamfano Jana nimeomba kazi kupitia LinkedIn haikupita hata nusu saa nikaitwa kwenye interview[emoji116]
View attachment 2928948

Ushauri: jitahidini ku connect na watu wengi as possible. Pia apply kazi na nendeni kwenye interview hata kama huitaki ili kujinoa. Kuna namna ya kukataa kazi kisomi
Asante Sana kwa maelezo murua Mkuu, nimepata mwanga na mahali pa kuanzia kuhusu suala hili.
 
Sioni sababu ya kutumia linkedin premium kama wewe si mwajiri. Linkedin premium inakupa option ya kuwasiliana na mtu hata kama hujamuinvite akaaccept connection na wewe na features nyingine nzuri.
Ila kwangu mimi sizioni kama za maana kivile
Kitu muhinu kuwa na profile nzuru.
Linkedin imenipa madeal kinoma toka nmejiunga nayo 4 years ago..mwaka huu kuanzia feb imenipa deal moja la moto sana linaishia mwezi ujao ila income nliyopata ni karbu malipo ya viti maalum ya miez 3
Hizo deals ni wanakutafuta wenyewe au unaziomba Mkuu? Nimepata kitu kutokea kwako, nitajitahidi kuboresha profile ili ikae vizuri.
 
Faida za LinkedIn Premium ni nyingi sana ila nitaeleza chache muhimu sana.

1. Profile yako huwa inapewa kipaumbele pale ikitokea employer anatafuta mtu kwahiyo kulingana na profile yako mwajiri akiweka neno linaloendana na experience yako au kazi unayofanya lazima jina lako litokee.

Kila baada ya siku 7 watakuletea analytical report kukuonesha ume appear mara ngapi kwenye search na makampuni yaliyo search mtu mwenye vigezo kama vyako utaoneshwa [emoji116]
View attachment 2928901

2. Kila itakapo postiwa kazi inayoendana na qualification zako watakutumia notification ya recommendation ya hiyo kazi na watakuonesha vitu vifuatavyo (no. III ni muhimu sana)

I. Ni watu wangapi wameomba hiyo kazi

II. Idadi ya wafanyakazi kwenye hiyo kampuni na kama Kuna mtu amesoma chuo ulichosoma watakuambua.


III. Watakuonesha una vigezo vingapi na vipi kati ya vigezo vya mtu anaetafutwa ambavyo unavyo na usivyokuwa navyo ( hii inakusaidia ku edit na kuweka vile vigezo(skills) vinavyohitajika na mwajiri ambavyo hujaweka kwenye profile) [emoji116]

View attachment 2928926

IV. Watakuonesha kama unafaa ama haufai kuomba hiyo nafasi [emoji116]View attachment 2928936

V. Last but not least Kwa siku ya Leo watakufanyia ulinganifu Kwa watu wote walioomba hiyo nafasi ili ujipime uone kama unaimba hao upitezee [emoji116]

View attachment 2928942

Kwa kutumia mfano huo hapo juu watu waliomba hiyo nafasi kupitia LinkedIn mpaka kufikia Leo ni 654 kati ya hao watu,

A. 5 walikuwa ni manager level na 1 ni Entry Level applicant

B. 67% ya watu waliomba wana elimu sawa na ya kwangu

C. 33% wananizidi elimu.

NB: kama ningeamua kuomba hii kazi ningekuwa kati ya watu 6 ambao wangekuwa na nafasi kubwa kupata hii kazi Kwa kutumia kigezo cha experience.

Na hapa ndio faida namba Moja ya kuwa na LinkedIn Premium. Inakusaidia kuokoa mda kwani utakuwa unaimba kazi pale unapoona una nafasi kubwa ya kushinda.

Kwamfano Jana nimeomba kazi kupitia LinkedIn haikupita hata nusu saa nikaitwa kwenye interview[emoji116]
View attachment 2928948

Ushauri: jitahidini ku connect na watu wengi as possible. Pia apply kazi na nendeni kwenye interview hata kama huitaki ili kujinoa. Kuna namna ya kukataa kazi kisomi
Mkuu naona uko na experience nyingi na LinkedIn, naomba nikutafute huko PM kwa msaada zaidi kama hutojali
 
Back
Top Bottom