Umeshawahi kupata kazi kupitia Linkedin?

Umeshawahi kupata kazi kupitia Linkedin?

Sio lazima uwe Premium member kufanya maombi ya kazi Linkedin
wewe ukiona kazi, jaribu kutafuta tovuti ya hiyo kampuni ili ukaoombee kazi hukohuko kwenye tovuti yao
 
Labda profile yako hauikuzi mkuu.
Mm nipo Tangu 2015 ,naona kitu kimenishinda n kuingia kule Premium ,sjui had uwe Premium ndio unapata kazi ,nkaachana na hyo akaunti yangu yenye qualifications za Geologist,nikafungua ya Udereva ,ila still hola hakuna msaada.
 
Hiyo ya ku dm wahusika mm nshafanya had kwa mawaziri,sospeter muhongo,Angel kairuki na wengine waliokuwa wizara ya nishati na madini,sikuwahi jibiwa hata [emoji1787]
Mimi pia nishawahi DM watu kadhaa nilioamini wanaweza kunipa connection, wakaishia kunijibu kuwa nafasi ikipatikana kwenye cycle yao wataniunganisha.

Mmojawao aliniunga kwenye group lake la WhatsApp ambalo halijawahi kutoa msaada.

Wengine tangu wanijibu kwa mara ya kwanza hawajawahi kunipa mrejesho tena.

Pia niliwahi ku DM CEO mmoja wa shirika la Umma kule Twitter, huyu hakuwahi kunijibu DM yangu, baadae alikuja kutumbuliwa na Mwendazake hadi akafikishwa kortini.

Hustle huwa inatufanya kufanya maamuzi ambayo baadae ukija kuyafikiria hadi unajishangaa kabisa
 
Naweza pata mwongozo kwa hapo nimetumiwa huo ujumbe
Screenshot_20250223-175748.png
LinkedIn
 
LinkedIn labda ilikuwa zamani lkn si sasahiv... Sasahiv ni upupu tu hakuna cha maana.. Kuna high profiles tu lkn hazitakusaidia chochote
 
Ni app nzuri sana hakikusha profile Yako Iko vyema.

Mimi Huwa nafanya majaribio hata kama kazi siitaku pia jitahidi kuwa na connection kubwa uwezavyo.
Tofauti na kutuma maombi huwa nafuatwa inbox na recruiters kibao. Kwa February pekee nilifuatwa na kampuni 4 inbox na zote nilifanya interview.

Mwezi huu pia nilituma application 2 na zote zikakubalika wakaniita interview nikawaambia niko nje ya nchi labda tufanye phone interview; Moja nilifanya na kazi nikawa nimepewa na walikuwa tayari nifanyie huku nilipo mpaka nitakapo Rudi ; nyingine wanahangaika kufanya appointment na GM wao ili tufanye hiyo interview Huku niliko.

Kwa ufupi ubora wa profile Yako pamoja na connection uliyonayo utakurahisishia kazi.

Jitahidini kujenga mazoea yakufanya interview hata huhitaji kazi hii itakijengea experience moja kubwa sans.

Niliwahi kwenda kwenye interview ya kuitwa bila kuomba kazi nikakutana na mhindi empty kichwani alafu ana nyodo na maswali yake ya google mbona alikoma😂😂😂😂 nilimchana na nikakataa hiyo kazi kitaalamu

Naweka na viushahidi msije kusema ni mbwembwe za JFView attachment 2563565View attachment 2563566View attachment 2563568View attachment 2563569
Hongera sana, binafsi sijawahi kuwaza kutafuta kazi kupitia linkedin wala sina nayo muda sana.
 
LinkedIn labda ilikuwa zamani lkn si sasahiv... Sasahiv ni upupu tu hakuna cha maana.. Kuna high profiles tu lkn hazitakusaidia chochote
Mbona Mimi juzi nimeipata ofa nyingime nikafanya interview nikatuniwa na ma fomu nijaze ila baada ya kufanya uchunguzi binafsi wadau wakanishauri nisiende japo mshiko wake ulikuwa mtamu ikabidi nipotezee
 
Mbona Mimi juzi nimeipata ofa nyingime nikafanya interview nikatuniwa na ma fomu nijaze ila baada ya kufanya uchunguzi binafsi wadau wakanishauri nisiende japo mshiko wake ulikuwa mtamu ikabidi nipotezee
Mkuu una bahati sana... LinkedIn kwa sasa ni ubahatishe sana labda
 
Back
Top Bottom