Umeshawahi kupendwa na Mwanamke usiyempenda?

Umeshawahi kupendwa na Mwanamke usiyempenda?

Kelele 1 kwa udugu ake, weuwee
Kelele 2 kwa udugu ake, weuwee, weuweee
Kelele 3 kwa udugu ake, weuwee, weuwee, Weuweeeeeeeeee.

Watu na Mangi wao mjinii, afu sio shida zao, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Aaarrrgaaaaah jaaah!! 🤸‍♀️
Sisi ndo sisi wengine mafisi 🤣🤣🤣
Hatupoi hatuboi tuko nginja nginja.!
Kidume S kidume ninaye na natamba naye kuwaachia kina nyamkomwe mpk nipende au mganga wa kwetu afe 🤣🤣🤣

Udugu leo nna hamu ya kuchachua hebu wanikwae watu kidogo jamani.!!!
 
Mwaka 2002 niliwahi pendwa na binti ambaye niliamua kutuliza kiu yake.
Baada ya hapo siaonana naye mpaka leo lkn vurugu alizonazo kunisaka utadhani nilimpa mimba.
Ni piga block,hata baada ya miaka 6 ikitokea nikabadili simu akinitafuta lazima anipate na malalamiko mengi.

Miaka ya 2016 nikiwa Tanga kumbe yeye alikuwa Arusha,acha atume nauli kila baada ya miezi miwili,zikaliwa na kuliwa.

Nikapiga block,mwaka jana kanisaka tena, nilivyomtambua tu nika block.
Payback huwa kali sana mkuu. Kuliko kula nauli yake, mwambie ukweli na akituma pesa mrudishie. Itamsaidia kurecover. Utakuja kutana na karma, siku usiyoitegemea, na hapo ni ile siku atakapoacha kuwa na hisia juu yako, utatamani umpate mwenye mapenzi ya kweli kama huyu lakini hautampata
 
Payback huwa kali sana mkuu. Kuliko kula nauli yake, mwambie ukweli na akituma pesa mrudishie. Itamsaidia kurecover. Utakuja kutana na karma, siku usiyoitegemea, na hapo ni ile siku atakapoacha kuwa na hisia juu yako, utatamani umpate mwenye mapenzi ya kweli kama huyu lakini hautampata
Huyu huwa ni kweli anaiona kuwa mimi ni mme ila huwa anaruka na wanaume huko akitendwa ndio anawekeza jitihada kwenye kunisaka.
Nina mke na watoto,mimi ni shaabiki mkubwa na wa uhakika timu iitwayo familia yangu
Mimi ni muumini mkuwa wa dini iitwayo familia yangu.
Mimi ni mwachama muaminifu wa chama kiitwacho familia yangu.
Mimi ni mrahibu niliyeshindikana wa kilevi kiitwacho familia yangu.

NB;
HUYO ALISHAPITA VICHOCHOLO VINGI MNO kumzidi YUDA ESIKALIOTI asije akanipiga bei,ni bora kuwa mbali naye kabisa.
 
Daah yani umegusa jambo linalotesa maisha yangu.

Nilitaka kuoa kipindi fulani nilipotangaza uchumba ndo kama nilikua nimetangaza vita kwa wadada, wadada walinichukia wallah, wengine wakanifanyia vitimbi maneno yakawafikia wazaz wake uchumba ukavunjwa pasina kua na kosa, dah.

nishawahi kufukuzwa kazi kisa kumkataa mke wa mtu tena mi ndo nilikua juu yake pale offin, alining’ang’ania nikaona uyu ananizoea sana, nikamchana waziwazi kua asinizoee kumbe ye akaenda kuchange story kwa mme wake et mi ndo namsumbua kila siku kazini namtishia kumtoa pale, wakanifanyia game kwa boss yani nilishtukizwa tu nasimamishwa kazi et nina dalili za corona kumbe ndo ilikua mazima barua zikanifata.

Yan tatizo nakua na moyo wa huruma kwa wengi wao, wao hujua labda ndo upendo,

kama uyu mmoja single mama nilitikea kumpenda mtoto wake wakike sana, sikumoja nikamchukua mwanae nikaenda nae shopping nikamnunulia vinguo na midoli sababu nilikua nampenda mno uyo mtoto, kasheshe ikaja kwa mama mtu, ushikaji wetu ye akauchukulia kua nampenda nashidwa kusema, siku moja akanisogelea sana nikashangaa mtu analeta lips nikaona nikipindisha uso hapa atajisikia vibaya, nikamsupport tuu ili aone kua naweza, yani akalegea kabisa masikini, ikabidi nijifanye namimi nimedata NIKAJIFANYA NIMESIMAMISHA ASIJUE HISIA NILIZIVUTA KWA CRUSH WANGU…! Bas akanianglia akawa ananionea huruma, nikamdanganya kua nawish nilale ila kuna mtoto sio sawa tufanye twende kwangu kumbe nilikua namkwepa najua hawez kutoka kwa ule mda, akanipromise kesho atakuja asijue ata sihitaji aje.

Nimetoka pale njiani najilaani tu, full kuatema mate kama mwehu, nimefika home anapiga simu kama ananidai nikawa namkwepa kiaina, inshort wengi hua naishia kuwatafutia makosa ili niwaache wakiwa hawaoni kua nilikua siwapendi, waone ni walinikosea ndo maana nikawaacha.
To be continued..
 
Back
Top Bottom