Umeshawahi kupendwa na Mwanamke usiyempenda?

Umeshawahi kupendwa na Mwanamke usiyempenda?

Y

Yaani mtu sijawahi muweka kwenye mipango yangu eti aninase kiboya boya?
Hilo atamaliza rasilimali zake bure na kuishia kuambulia hekima na maneno ya busara kutoka kwangu Mnafiki Wa Kujitegemea.
Hahhah mimi kama nampenda na Mungu ashuhudia nina nia njema kwake na yeye anasema hanielewi wala hajaniweka mipangoni mwake hahahha ngoja nicheke kwanza.

Sio maa moja amah mbili watu kama hao walijapigika kimapenzi na maisha nikajakutana nao bas anakuwa kama mfungwa wangu. Utakuwa mpole, mdogo na utaanya na mie mapenzi kwa Umahiri ukiogopa kunikosa kwa ajili hiyo.
 
Tatizo wanaume wengi wanapendwa na wanawake wasiovutiwa nao
Tatzo wanaume wanavutiwa na wanawake wa story za vijiweni sio wale watakaosimama nao kuendeleza maisha na kuwa Wasaidizi wema.
Mtu tangu anakua akikaa na washkaji ( sijui wanashka nn) anaskia Mara dem kiuno bla bla mara chuchu bla blaa nk. Hakuna Group au wenzie wanaoongea kwamba wanawake heshima busara adabu sasa atampendaje mwenye adabu asiye na muonekano kamili ule ambao amekuwa akisikia kwa wenzie?

Mwishowe anaoa character ya washkaji wanaishia kuachana.
 
Tatzo wanaume wanavutiwa na wanawake wa story za vijiweni sio wale watakaosimama nao kuendeleza maisha na kuwa Wasaidizi wema.
Mtu tangu anakua akikaa na washkaji ( sijui wanashka nn) anaskia Mara dem kiuno bla bla mara chuchu bla blaa nk. Hakuna Group au wenzie wanaoongea kwamba wanawake heshima busara adabu sasa atampendaje mwenye adabu asiye na muonekano kamili ule ambao amekuwa akisikia kwa wenzie?

Mwishowe anaoa character ya washkaji wanaishia kuachana.
Lazima uoe mwanamke anayekuvutia
 
Lazima uoe mwanamke anayekuvutia

Hata sijakataa. Lakin faida ya kuvutiwa haiwezi ku compromise na hile ya kuheshimiwa na Kutiiwa kama Kichwa cha mke. Yaan najua we bado kijana. Labda tufungue uzi wa wale walioshushwa na kudharauliwa na waliiona ni Pisi na waliwavutia.
Ila pia wanaume wanaochepuka ni wale wameoa waliowapenda na wakaona wanatabia njema. Kazi ikabaki ku compliment na wale waliwahitaji zaidi. Hii ni suala pana sana.
Bt mnaotia huruma ni nyie mnaooa pis kisha nyumba zinageuka central.😃👣
 

Hata sijakataa. Lakin faida ya kuvutiwa haiwezi ku compromise na hile ya kuheshimiwa na Kutiiwa kama Kichwa cha mke. Yaan najua we bado kijana. Labda tufungue uzi wa wale walioshushwa na kudharauliwa na waliiona ni Pisi na waliwavutia.
Ila pia wanaume wanaochepuka ni wale wameoa waliowapenda na wakaona wanatabia njema. Kazi ikabaki ku compliment na wale waliwahitaji zaidi. Hii ni suala pana sana.
Bt mnaotia huruma ni nyie mnaooa pis kisha nyumba zinageuka central.😃👣
Hauwezi kuvumilia kuishi na kumpenda mwanamke ambaye hauvutiwi naye
 
Aaarrrgaaaaah jaaah!! [emoji2222]
Sisi ndo sisi wengine mafisi [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hatupoi hatuboi tuko nginja nginja.!
Kidume S kidume ninaye na natamba naye kuwaachia kina nyamkomwe mpk nipende au mganga wa kwetu afe [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Udugu leo nna hamu ya kuchachua hebu wanikwae watu kidogo jamani.!!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee huogopiiiiii.
 
Hii nadhani inatokea karibu kwa watu wote tu.... ni vile tu wanawake hawana utamaduni wa kutongoza
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Leo nimeamka na vibe nishapona, nasubiri nifunge hesabu nikapate kamnyweso
Em fanya kunipasia hesabu kidg, na mie nikapate kamnywesooo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Em fanya kunipasia hesabu kidg, na mie nikapate kamnywesooo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
😂😂😂😂 Mauzo hatunywei, subiri shem wako aingize pesa.!!
 
Sitasahau enzi zile Nesi Mmama mtu mzima kanizidi miaka zaidi ya kumi...Akiniita lodge kule jeshini kibangu ndani ndani analipia yeye kuanzia lodge , misosi, Pombe enzi zile nilikuwa mnywaj wa nyagi na Nauli ya boda ya kunirudisha Hosteli Mabibo. Nilikuwa simpendi hata kidogo ili isimame mpaka nilewe😀😀

Ujana ni nyokoo
 
Back
Top Bottom