Umeshawahi kupendwa na Mwanamke usiyempenda?

Umeshawahi kupendwa na Mwanamke usiyempenda?

Si mmoja bali walishatokea na mmoja yupo hadi sasa. Sijui nina shida au vipi yaani nikigundua mwanamke ananipenda sana upendo wangu kwake huanza kupungua. Kinachonikera ni kule kujibebisha na simu nyingi/ sms nyingi hata muda ambao nipo kwenye vikao vya maamuzi, briefings , situation updates demu anataka mchati au anapiga simu haijarishi mara ngapi nishamuelekeza kuwa muda fulani mpaka muda fulani usinitafute anaelewa ila baada ya muda anarudi kulekule sababu kubwa ananiambia "Mi nakupenda sana, nakukumbuka ndiomana nakupigia hata niisikie sauti yako"😬😬
Natamani life la Bantu Lady muda wa kazi kazi, kilakitu kina mpangilio wake. Chukua maua yako hapo ulipo🌹
 
Si mmoja bali walishatokea na mmoja yupo hadi sasa. Sijui nina shida au vipi yaani nikigundua mwanamke ananipenda sana upendo wangu kwake huanza kupungua. Kinachonikera ni kule kujibebisha na simu nyingi/ sms nyingi hata muda ambao nipo kwenye vikao vya maamuzi, briefings , situation updates demu anataka mchati au anapiga simu haijarishi mara ngapi nishamuelekeza kuwa muda fulani mpaka muda fulani usinitafute anaelewa ila baada ya muda anarudi kulekule sababu kubwa ananiambia "Mi nakupenda sana, nakukumbuka ndiomana nakupigia hata niisikie sauti yako"😬😬
Natamani life la Bantu Lady muda wa kazi kazi, kilakitu kina mpangilio wake. Chukua maua yako hapo ulipo🌹
Ooh asante nimeyapokea 💐 😅
 
Mimi siwezi kuwa kwenye mahusiano ya Jinsia moja, ila wanaofanya hivyo ni juu yao siwezi kuwaingilia, to each their own [emoji846][emoji846]
Mmmmmmhmn [emoji848] mbona kama muongo muongo wewe?
IMG_20240120_210632.jpg
 
Si mmoja bali walishatokea na mmoja yupo hadi sasa. Sijui nina shida au vipi yaani nikigundua mwanamke ananipenda sana upendo wangu kwake huanza kupungua. Kinachonikera ni kule kujibebisha na simu nyingi/ sms nyingi hata muda ambao nipo kwenye vikao vya maamuzi, briefings , situation updates demu anataka mchati au anapiga simu haijarishi mara ngapi nishamuelekeza kuwa muda fulani mpaka muda fulani usinitafute anaelewa ila baada ya muda anarudi kulekule sababu kubwa ananiambia "Mi nakupenda sana, nakukumbuka ndiomana nakupigia hata niisikie sauti yako"😬😬
Natamani life la Bantu Lady muda wa kazi kazi, kilakitu kina mpangilio wake. Chukua maua yako hapo ulipo🌹
Na mimi nipo kwenye hali hiyo mzee.utamuoa au?
 
Hii itaenda kunitokea soon, kuna baby mama wangu ni wife material kabisa. Lakn sina feelings nae kabisa. Kwakuwa nmehangaika sana na mapenzi NO FUCKING WAY. acha nimuoe tu.
Nakazia hapa...haya mambo yapo.
 
Back
Top Bottom