Aaarrrgaaaaah jaaah!! 🤸♀️Kelele 1 kwa udugu ake, weuwee
Kelele 2 kwa udugu ake, weuwee, weuweee
Kelele 3 kwa udugu ake, weuwee, weuwee, Weuweeeeeeeeee.
Watu na Mangi wao mjinii, afu sio shida zao, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Storyteller weweIlishawahi nitokea , kuna wadada wawili walikua barabarani mmoja ni mkali kinyama ndie nilie mpenda wa pili ni mmasai mmoja mwenye sura yake personal...
Roho mbaya iyo mwana jfNikiwa form three, kuna jamaa aliniomba nimbembelezee mdada fulani anaempenda,
Wakati twarudi shule nikafata nikambembeleza, nadhan kwa vurugu za watu, hakua ananiskia vizuri...
Namfahamu huyo pisi alikuwa anasoma bachelor of science in nursingIlishawahi nitokea , kuna wadada wawili walikua barabarani mmoja ni mkali kinyama ndie nilie mpenda wa pili ni mmasai mmoja mwenye sura yake personal...
Tutakoma sisi joblessWimbi la vijana majobless limejazana sana JF siku hizi
Umepatia kabisa ila nahisi umebahatisha mkuu😀Namfahamu huyo pisi alikuwa anasoma bachelor of science in nursing
Namfahamu nilikuwa naishi nae floor moja kule kwenye lile jengo la watumishi lililoangaliana Na school of nursingUmepatia kabisa ila nahisi umebahatisha mkuu😀
Inawezekana ni kweli ila mkuu potezea tu😁😁😁Namfahamu nilikuwa naishi nae floor moja kule kwenye lile jengo la watumishi lililoangaliana Na school of nursing
Hao ni ndugu washirikiNiliwahi kuwa nao wawili katika nyakati tofauti, ila hatukuwahi kufanya ngono kwa sababu sikuwapenda hivyo niliishia kuachana nao, kwahiyo siwezi kusema walikuwa wapenzi hao sijui mnawaiteje
Ni jambo ambalo hata mi sikutegemeaRoho mbaya iyo mwana jf
Wanarudi mkuu labda sio wa kimasai [emoji16]Mkuu ungechukua hao ng'ombe halafu unapotea
Payback huwa kali sana mkuu. Kuliko kula nauli yake, mwambie ukweli na akituma pesa mrudishie. Itamsaidia kurecover. Utakuja kutana na karma, siku usiyoitegemea, na hapo ni ile siku atakapoacha kuwa na hisia juu yako, utatamani umpate mwenye mapenzi ya kweli kama huyu lakini hautampataMwaka 2002 niliwahi pendwa na binti ambaye niliamua kutuliza kiu yake.
Baada ya hapo siaonana naye mpaka leo lkn vurugu alizonazo kunisaka utadhani nilimpa mimba.
Ni piga block,hata baada ya miaka 6 ikitokea nikabadili simu akinitafuta lazima anipate na malalamiko mengi.
Miaka ya 2016 nikiwa Tanga kumbe yeye alikuwa Arusha,acha atume nauli kila baada ya miezi miwili,zikaliwa na kuliwa.
Nikapiga block,mwaka jana kanisaka tena, nilivyomtambua tu nika block.
Huyu huwa ni kweli anaiona kuwa mimi ni mme ila huwa anaruka na wanaume huko akitendwa ndio anawekeza jitihada kwenye kunisaka.Payback huwa kali sana mkuu. Kuliko kula nauli yake, mwambie ukweli na akituma pesa mrudishie. Itamsaidia kurecover. Utakuja kutana na karma, siku usiyoitegemea, na hapo ni ile siku atakapoacha kuwa na hisia juu yako, utatamani umpate mwenye mapenzi ya kweli kama huyu lakini hautampata
To be continued..Daah yani umegusa jambo linalotesa maisha yangu.
Nilitaka kuoa kipindi fulani nilipotangaza uchumba ndo kama nilikua nimetangaza vita kwa wadada, wadada walinichukia wallah, wengine wakanifanyia vitimbi maneno yakawafikia wazaz wake uchumba ukavunjwa pasina kua na kosa, dah.
nishawahi kufukuzwa kazi kisa kumkataa mke wa mtu tena mi ndo nilikua juu yake pale offin, alining’ang’ania nikaona uyu ananizoea sana, nikamchana waziwazi kua asinizoee kumbe ye akaenda kuchange story kwa mme wake et mi ndo namsumbua kila siku kazini namtishia kumtoa pale, wakanifanyia game kwa boss yani nilishtukizwa tu nasimamishwa kazi et nina dalili za corona kumbe ndo ilikua mazima barua zikanifata.
Yan tatizo nakua na moyo wa huruma kwa wengi wao, wao hujua labda ndo upendo,
kama uyu mmoja single mama nilitikea kumpenda mtoto wake wakike sana, sikumoja nikamchukua mwanae nikaenda nae shopping nikamnunulia vinguo na midoli sababu nilikua nampenda mno uyo mtoto, kasheshe ikaja kwa mama mtu, ushikaji wetu ye akauchukulia kua nampenda nashidwa kusema, siku moja akanisogelea sana nikashangaa mtu analeta lips nikaona nikipindisha uso hapa atajisikia vibaya, nikamsupport tuu ili aone kua naweza, yani akalegea kabisa masikini, ikabidi nijifanye namimi nimedata NIKAJIFANYA NIMESIMAMISHA ASIJUE HISIA NILIZIVUTA KWA CRUSH WANGU…! Bas akanianglia akawa ananionea huruma, nikamdanganya kua nawish nilale ila kuna mtoto sio sawa tufanye twende kwangu kumbe nilikua namkwepa najua hawez kutoka kwa ule mda, akanipromise kesho atakuja asijue ata sihitaji aje.
Nimetoka pale njiani najilaani tu, full kuatema mate kama mwehu, nimefika home anapiga simu kama ananidai nikawa namkwepa kiaina, inshort wengi hua naishia kuwatafutia makosa ili niwaache wakiwa hawaoni kua nilikua siwapendi, waone ni walinikosea ndo maana nikawaacha.