[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee wizo una nn lakiniii??Niliwahi kupendwa na lishangazi la Kinyakyusa, lina mitako kama BAMBUCHA..... yaani ni NYAMITAKOO.
Baadae nikakumbuka kumbe bana mimi sinaga HOGO, ati nilisahau kuwa mimi ni demu nikajikuta tu nalitema lishangazi.
Cc: Lamomy min -me Extrovert Poor Brain dronedrake
Ooh asante nimeyapokea π πSi mmoja bali walishatokea na mmoja yupo hadi sasa. Sijui nina shida au vipi yaani nikigundua mwanamke ananipenda sana upendo wangu kwake huanza kupungua. Kinachonikera ni kule kujibebisha na simu nyingi/ sms nyingi hata muda ambao nipo kwenye vikao vya maamuzi, briefings , situation updates demu anataka mchati au anapiga simu haijarishi mara ngapi nishamuelekeza kuwa muda fulani mpaka muda fulani usinitafute anaelewa ila baada ya muda anarudi kulekule sababu kubwa ananiambia "Mi nakupenda sana, nakukumbuka ndiomana nakupigia hata niisikie sauti yako"π¬π¬
Natamani life la Bantu Lady muda wa kazi kazi, kilakitu kina mpangilio wake. Chukua maua yako hapo ulipoπΉ
ππππ ""Wewe mimi sina akili""Niliwahi kupendwa na lishangazi la Kinyakyusa, lina mitako kama BAMBUCHA..... yaani ni NYAMITAKOO.
Baadae nikakumbuka kumbe bana mimi sinaga HOGO, ati nilisahau kuwa mimi ni demu nikajikuta tu nalitema lishangazi.
Cc: Lamomy min -me Extrovert Poor Brain dronedrake
Hana akili kabisa πππ[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee wizo una nn lakiniii??
mbona sijaenda mirembe sasa ππππHana akili kabisa πππ
Abeeee..... πππ[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee wizo una nn lakiniii??
Eeeeh bichwa mapema kabisa...mbona sijaenda mirembe sasa ππππ
Mmmmmmhmn [emoji848] mbona kama muongo muongo wewe?Mimi siwezi kuwa kwenye mahusiano ya Jinsia moja, ila wanaofanya hivyo ni juu yao siwezi kuwaingilia, to each their own [emoji846][emoji846]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee huogopiiii?Hana akili kabisa [emoji23][emoji23][emoji23]
Oa huyo mzeeHii itaenda kunitokea soon, kuna baby mama wangu ni wife material kabisa. Lakn sina feelings nae kabisa. Kwakuwa nmehangaika sana na mapenzi NO FUCKING WAY. acha nimuoe tu.
Na mimi nipo kwenye hali hiyo mzee.utamuoa au?Si mmoja bali walishatokea na mmoja yupo hadi sasa. Sijui nina shida au vipi yaani nikigundua mwanamke ananipenda sana upendo wangu kwake huanza kupungua. Kinachonikera ni kule kujibebisha na simu nyingi/ sms nyingi hata muda ambao nipo kwenye vikao vya maamuzi, briefings , situation updates demu anataka mchati au anapiga simu haijarishi mara ngapi nishamuelekeza kuwa muda fulani mpaka muda fulani usinitafute anaelewa ila baada ya muda anarudi kulekule sababu kubwa ananiambia "Mi nakupenda sana, nakukumbuka ndiomana nakupigia hata niisikie sauti yako"π¬π¬
Natamani life la Bantu Lady muda wa kazi kazi, kilakitu kina mpangilio wake. Chukua maua yako hapo ulipoπΉ
Naogopa sana....[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee huogopiiii?
Hapana nisidanganye umma wala moyo wangu, huyu siwezi kumuoa. Na sijui nianze wapi kumueleza maana kama obstacles vingi nimeshamuonesha lakini ameng'ang'ania tu...Na mimi nipo kwenye hali hiyo mzee.utamuoa au?
Nakazia hapa...haya mambo yapo.Hii itaenda kunitokea soon, kuna baby mama wangu ni wife material kabisa. Lakn sina feelings nae kabisa. Kwakuwa nmehangaika sana na mapenzi NO FUCKING WAY. acha nimuoe tu.
Poleeee [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Naogopa sana....
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ahahahah mnafiki wewePoleeee [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] unafiki wangu ni upii?Ahahahah mnafiki wewe