Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 25,425
- 59,309
😂😂 wanaha sana nyieHakunaga kitumbua chenye mchanga ukiwa na upwiru .
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂 wanaha sana nyieHakunaga kitumbua chenye mchanga ukiwa na upwiru .
Hivi kuna kamba kumbe 😀
Baada ya upwiru kuisha ndio unaanza kujiuliza pale nimefanya nini pale!!?Hakunaga kitumbua chenye mchanga ukiwa na upwiru .
Haandikagi kakatika mkono huyu hapo kaandikiwa !Wewe siku zote huwa nakuona tu ku-like posts za watu kumbe huwa unaandika na wewe 😩
So hujawahi penda katika maisha yako ?Mimi ndio maana sihangaiki kupenda mtoto wa mtu, yani wewe uko serious unampenda kumbe mwenzio anakuona fala tu, hakuna vitu sipendi kama kuchukuliwa poa na kufanywa mjinga
sisi wengine tulishazoea uhandsome wetu unatupa shida jamani yaani..!Kwenye maisha kuna muda wanaume tunapendwa na wanawake tusio wapenda kwa mfano kwangu mimi niliwaigi kupendwa na mwanamke nisiye mpenda kiasi kwamba hadi aliniomba namba za simu ili tuwe tunawasiliana.
Mwanamke mwenyewe alikuwa mzuri tu, kwahiyo sikumkatalia nilimkubalia kiubishi bishi lakini kutokana na matendo yangu alijua simpendi lakini hakuniacha, ila mbeleni nilimchana ukweli kama simpendi tukaacha but aliumia sana na mimi sikujali nikapotezea, sasa cha ajabu baada ya muda mrefu kupita ni kaanza kumpenda lakini kwa sasa ameshaolewa ila bado ananipenda nasiwezi kumludia kwasababu kaolewa.
Je, na wewe ushawahi kupendwa na mwanamke usiyempenda? Kama umewahi tueleze ilikuwaje na nini uliamua.
Mkuu ungechukua hao ng'ombe halafu unapoteaHali ilizidi kuwa mbaya zaid pale nilipotambulishwa umasaini ikafika hatua mpka kaka wa binti walipo diriki kutamka watanipa n'gombe 100 .
Sijawahi!!So hujawahi penda katika maisha yako ?
Haandikagi kakatika mkono huyu hapo kaandikiwa !
Hujawahi kuwa na mpenzi katika maisha yako ?Sijawahi!!
Nishawahi tu kuwa na mdada ambae simpendi ila yeye sijui kama alikuwa ananipendaKwenye maisha kuna muda wanaume tunapendwa na wanawake tusio wapenda kwa mfano kwangu mimi niliwaigi kupendwa na mwanamke nisiye mpenda kiasi kwamba hadi aliniomba namba za simu ili tuwe tunawasiliana.
Mwanamke mwenyewe alikuwa mzuri tu, kwahiyo sikumkatalia nilimkubalia kiubishi bishi lakini kutokana na matendo yangu alijua simpendi lakini hakuniacha, ila mbeleni nilimchana ukweli kama simpendi tukaacha but aliumia sana na mimi sikujali nikapotezea, sasa cha ajabu baada ya muda mrefu kupita ni kaanza kumpenda lakini kwa sasa ameshaolewa ila bado ananipenda nasiwezi kumludia kwasababu kaolewa.
Je, na wewe ushawahi kupendwa na mwanamke usiyempenda? Kama umewahi tueleze ilikuwaje na nini uliamua.
Si unaona mlivyo na roho za ajabu, hapo angekuwa mwanamke ndio kamshauri mwanamke mwenzie hivyo ungesema wanawake ni wabinafsi, kwa hali hii ndio mnalia eti wanawake wa siku hizi hawana mapenzi ya dhati kwakweli wasiwe nayo tuMkuu ungechukua hao ng'ombe halafu unapotea
Jadda bwana..!Mimi ndio maana sihangaiki kupenda mtoto wa mtu, yani wewe uko serious unampenda kumbe mwenzio anakuona lofa na fala tu, hakuna vitu sipendi kama kuchukuliwa poa na kufanywa mjinga kwa kutenda wema
Niliwahi kuwa nao wawili katika nyakati tofauti, ila hatukuwahi kufanya ngono kwa sababu sikuwapenda hivyo niliishia kuachana nao, kwahiyo siwezi kusema walikuwa wapenzi hao sijui mnawaitejeHujawahi kuwa na mpenzi katika maisha yako ?