Umeshawahi kupendwa na Mwanamke usiyempenda?

Umeshawahi kupendwa na Mwanamke usiyempenda?

2004 nikiwa kisiwani Lukuba nikiwa mvuvi mashuhuri kijana,nikapendwa kimapenzi na binti wa darasa la 7. Sasa ninachokifahamu mimi nikutokumkatalia mwanamke ombi la mapenzi waziwazi.

Basi,kila akitoka shule ile saa kumi alasiri ananiombe nimsindikize kuelekea kwao.
Sasa siku moja akaniomba nimfikishe nyumbani kwao,hapo sijawahi kumkubalia wala kumkatalia ombi lake.

Ile tunafika nyumbani kwao,akatokea ndugu yake ndani,alikuwa mwenye elamavu wa miguu.
Alikuwa wa kike nadhani alikuwa mkubwa kwa huyu mwanafunzi na alikuwa akitembea kwa kujivuta chini kwa kutumia makalio.

Hili lilichagiza moyo wangu kumsogeza huyu binti mita 5 mbali nami tena na ilinichukua miezi 6 sijamjibu ukiachilia mbali kuzurula naye kitaani mpaka nilipobadili kazi ila alikuwa akinilaumu kuwa kutokueleweka kwangu kuna mtesa sana.
Kwahiyo mkuu ulikaa mbali naye sababu ya ulemavu wa ndugu yake?🤔
 
Ndio hata mimi huwa natamani binadamu wote wangekuwa na uwezo wa kuwarudishia upendo wale wanaowapenda tu, lakini unfortunately wao wenyewe wanadai kuwa upendo haulazimishwi eti mtu anaweza akajitoa na akajitahidi kukupa kila kitu kilicho ndani ya uwezo wake ila bado usimpende, hata hivyo point yangu ni kwamba kama humpendi mtu na unajijua huna mpango wa kumpenda hata akufanyie lipi zuri, basi mkatae mapema usimpe hata hiyo nafasi ya kukuonesha upendo wake, maana siku ukimuacha maumivu yatakuwa makubwa zaidi kwake huku wewe ukichukulia poa tu
Upendo huwa unaota, kuchipua na kustawi sehemu yenye subira, utulivu, ukweli, uaminifu, kusikiliza, kujali, kuthamini, kujitoa, na kujituma.

Ukiona mtu amekufuata na anakuonyesha upendo jaribu kupitia hizi elements kwenye tabia zako. Ukiona hakuna hata moja jua wewe ndie unazingua hapo.

Na kama zitakuwapo then ni swala la muda utashangaa na wewe umeanza kumpenda wakati mwanzo haukuwa hata na wazo.

Given that muhusika ni msafi wa mwili na tabia, ana maisha, anajitambua, na ni raia mwema.
 
Acheni kutesa wenzenu bhn upendo upewe thamani yake endapo kuna mtu atakuonesha huo upendo msijisifie kwa mambo ya kishenzi sisi sote ni wapitaji tu na haya mambo yanapita tu kama kweli wewe ni mjanja basi uishi milele usife umalize hata karne moja na nusu hapo utakuwa ni mjanja sababu wote ulio watesa watakuwa wamekufa ila kama na wewe upo sawa na wao tena huenda utatangulia utawaacha hao unao watesa saizi acheni ujinga wala hao wanao hangaika na nyie sio wapuuzi
Aliekwambia anahis ataish milele n nan?? Moja ya furaha za maisha n kua na umpendae sio kisa kila anaekupenda na ww unaenda jichomeka apo apo kwa kujifanya UNICEF kwa kuonea huruma kila raia um dunian somtme angalia moyo wako wap unapata aman hata kama upendwi uko upatapo aman
 
Ni mara nyingi nimependwa na wanawake ila sijui kwanini sipendeki nachukuliaga tu easy.Siku moja nipo kona bar nimebeba mlupo nahisi ni denti wa ustawi wa jamii bamaga tulikuwa gizani pale nje kwenye eneo la wazi kando ya barabara alikuja tu nilipo akaanza kunisaundisha nikampe vitu kwa malipo tumeenda zetu gesti tumewasha taa demu ananishangaa.akasema hee we kaka m..... wanawake wanakutongozaga?
Hahaha chai
 
Ki ukweli mke ninaye ishi naye sijawahi kumpenda , sababu zinazo fanya niwe naye ni -
  • Anaheshima
  • Ana care
  • Aliwahi kujitoa kumuongezea damu bibi yangu na kumuhudumia mpaka kumuogesha kipindi bibi anaumwa
  • Kuna kipindi alifuma sms nikiwasilana na mwanamke mwingine,ALIKUNYWA SUMU ila tulimuwahi.
  • Wazazi na ndugu huwaambii kitu kuhusu huyu mwanamke.
  • Nimezaa naye mtoto.
*Tatizo kubwa ni Mimi Sina upendo naye .
Jamn pole
 
Ki ukweli mke ninaye ishi naye sijawahi kumpenda , sababu zinazo fanya niwe naye ni -
  • Anaheshima
  • Ana care
  • Aliwahi kujitoa kumuongezea damu bibi yangu na kumuhudumia mpaka kumuogesha kipindi bibi anaumwa
  • Kuna kipindi alifuma sms nikiwasilana na mwanamke mwingine,ALIKUNYWA SUMU ila tulimuwahi.
  • Wazazi na ndugu huwaambii kitu kuhusu huyu mwanamke.
  • Nimezaa naye mtoto.
*Tatizo kubwa ni Mimi Sina upendo naye .
Mpende mkeo mkuu
 
Kwahiyo mkuu ulikaa mbali naye sababu ya ulemavu wa ndugu yake?🤔
Ktk kuishi kwangu sikuwahi kufikiria kujihusisha ktk mapenzi ya zima moto na huwa sipendi kuonja mapenzi maana nikizama nimezama.

Sasa nilivyomuona huyo nduguye,nikafikiria mambo kadha wa kadha ikiwemo;
Vipi akibeba mimba yangu wakati nami sijawa tayari kumuoa siyo kwamba nitaiongezea familia yao mzigo mzito?

Majibu yake ni kutokuthubutu kufunua Yohana 3 yake hata kwa ishara.
 
Ktk kuishi kwangu sikuwahi kufikiria kujihusisha ktk mapenzi ya zima moto na huwa sipendi kuonja mapenzi maana nikizama nimezama.

Sasa nilivyomuona huyo nduguye,nikafikiria mambo kadha wa kadha ikiwemo;
Vipi akibeba mimba yangu wakati nami sijawa tayari kumuoa siyo kwamba nitaiongezea familia yao mzigo mzito?

Majibu yake ni kutokuthubutu kufunua Yohana 3 yake hata kwa ishara.
Ok nimekuelewa mkuu.
But Yohana 3 yake ndiyo mbususu?? Aisee😀😀
 
Kuna katoto cha Dodoma kina nipenda Sana mpaka nakaonea huruma Ila Mimi si mpendi atuendani pia bado mdogo Sana 17 umri, mpaka leo bado ajakata tamaa ananitafuta kwa simu kwa sasa nipo Dar.
 
Ki ukweli mke ninaye ishi naye sijawahi kumpenda , sababu zinazo fanya niwe naye ni -
  • Anaheshima
  • Ana care
  • Aliwahi kujitoa kumuongezea damu bibi yangu na kumuhudumia mpaka kumuogesha kipindi bibi anaumwa
  • Kuna kipindi alifuma sms nikiwasilana na mwanamke mwingine,ALIKUNYWA SUMU ila tulimuwahi.
  • Wazazi na ndugu huwaambii kitu kuhusu huyu mwanamke.
  • Nimezaa naye mtoto.
*Tatizo kubwa ni Mimi Sina upendo naye .
You have to show love to that woman, namaanisha mpende huyo mwanamke, muonyeshe upendo huyo mama acha utani mkuu. Sikupi sababu vile umetaja yote ila mpende huyo mama. Ukikosea ukamuacha na kwenda kwa "love of my life" utashangaa dunia itakavyokunyoosha. Una mke mzee baba!
 
Y

Yaani mtu sijawahi muweka kwenye mipango yangu eti aninase kiboya boya?
Hilo atamaliza rasilimali zake bure na kuishia kuambulia hekima na maneno ya busara kutoka kwangu Mnafiki Wa Kujitegemea.
Huwa wanasema hakuna mkate mgumu mbele ya chai, kumbe kuna mikate ya chuma kama wewe😀😀.
Ila ni vizuri msimamo ni muhimu, but hujajibu kuhusu Yohana 3 mkuu😀
 
Back
Top Bottom