Down To Earth
JF-Expert Member
- Jul 8, 2011
- 21,940
- 16,643
ana post elfu 9 unafikiri kazipata kwa ku like?Wewe siku zote huwa nakuona tu ku-like posts za watu kumbe huwa unaandika na wewe 😩
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ana post elfu 9 unafikiri kazipata kwa ku like?Wewe siku zote huwa nakuona tu ku-like posts za watu kumbe huwa unaandika na wewe 😩
ChaiIlishawahi nitokea , kuna wadada wawili walikua barabarani mmoja ni mkali kinyama ndie nilie mpenda wa pili ni mmasai mmoja mwenye sura yake personal.
Lengo langu niwafuate niombe no ya yule pisi ,ili kutomfanya yule mwingne asijiskie vibaya nikajifanya kuomba no zao wote, mbaya zaidi asiye kwenye lengo ndio akajitia kiherehere cha kunipa no ,yule pisi yeye kimya tu , nikaichukua kishingo upande ,,nikajua kwa sababu ni marafiki naweza pata ukaribu na huyo, ila lengo nisijempoteza yule pisi kupitia mwenzake.
Kufupisha tu ni kwamba yule dada wa kimasai aliniganda hatari zaidi ya mwaka , ili kutomfanya asijisikiie vibaya sikudhubutu kumwambia ukweli , nikawa nawasiliana nae kishingo upande ,alipo kuja kuharibu zaidi alinitambulisha kwa yule pisi kama mimi ni mtu wake, na ile pisi ikawa inaniita shem.
Hali ilizidi kuwa mbaya zaid pale nilipotambulishwa umasaini ikafika hatua mpka kaka wa binti walipo diriki kutamka watanipa n'gombe 100 .
Kilichonifanya nikaingia mitini kabisa ni pale binti alipo fikia hatua ya kutaka kunitunuku zawadi ya bikra yake na akaniambia hiyo kwao ni zawadi kubwa kabisa ya kimila .
MpKa Leo sikuwahi kukutana na pisi kali kama yule rafiki wabinti wa kimasai , nilikuja kupata fununu karudi kwao Rwanda baada ya kumaliza masomo yao pale KCMC .
Tuambie ni nani tumchane akuoeMi nampenda mtu humu ila yeye sasa hanipendi mimi
Acha tu anasauti amazing sanaTuambie ni nani tumchane akuoe
mwanamke unajua hadi kubeti wewe moyo wa kupenda unautoa wapi☺️☺️☺️Mi nampenda mtu humu ila yeye sasa hanipendi mimi
Nampendamwanamke unajua hadi kubeti wewe moyo wa kupenda unautoa wapi☺️☺️☺️
Nampenda
Hapana wako nope sichonganishwagiNi nani huyo? Usikute ni mchumba wangu
Sijamuaminisha ila nampendaa sanaAnajua kuwa unampenda?
Sijamuaminisha ila nampendaa sana
Jf kila mwanaume hapendi kutembea na wake za watu.Kwenye maisha kuna muda wanaume tunapendwa na wanawake tusio wapenda kwa mfano kwangu mimi niliwaigi kupendwa na mwanamke nisiye mpenda kiasi kwamba hadi aliniomba namba za simu ili tuwe tunawasiliana.
Mwanamke mwenyewe alikuwa mzuri tu, kwahiyo sikumkatalia nilimkubalia kiubishi bishi lakini kutokana na matendo yangu alijua simpendi lakini hakuniacha, ila mbeleni nilimchana ukweli kama simpendi tukaacha but aliumia sana na mimi sikujali nikapotezea, sasa cha ajabu baada ya muda mrefu kupita ni kaanza kumpenda lakini kwa sasa ameshaolewa ila bado ananipenda nasiwezi kumludia kwasababu kaolewa.
Je, na wewe ushawahi kupendwa na mwanamke usiyempenda? Kama umewahi tueleze ilikuwaje na nini uliamua.
Kasema ila hamaanishii bwana mie ndio nazimia tuDuuuh subiria hadi akwambie sasa
☺️🙌Kuna wimbo mmoja unaimba
Cause you only need the light when it's burning low
Only miss the sun when it starts to snow
Only know you love her when you let her go
Only know you've been high when you're feeling low
Only hate the road when you're missing home
Only know you love her when you let her go
And you let her go
Sijui kaimba Nani....
ephen_ nisaidie Kama unaujua
Kaimba zuchu
Kwanini unampenda sana Zuchu?Kaimba zuchu
Napenda mapaja yakeKwanini unampenda sana Zuchu?
MmmmmmhNikishampata ndo huwa nagundua hata siyo mzuri wala simpendi hata akitembea naona sijui anatembeaje tembeaje vibaya kinoma