Umeshawahi kupiga One katika levo yoyote ya elimu? Tukutane hapa

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ivi umeshamaliza chuo? Nataka nianze mchakato wa kukuchumbia[emoji28][emoji28] maana kwa one ulizopata ukijumlisha na zangu,tutatoa matoto maT.O tu
 
Ivi umeshamaliza chuo? Nataka nianze mchakato wa kukuchumbia[emoji28][emoji28] maana kwa one ulizopata ukijumlisha na zangu,tutatoa matoto maT.O tu
Hahahahah jaman bado napambana na msoto wee.
 
Reactions: hnp
Pumbavuuuuuuuuuuuuuuuuuu kabisa wewe.

Na usinizoweeeeeeeeee


My mbavu Pliz
 
O level nilipiga three iliyochoka A level nikanyoosha na one ,University nikapiga sawa sawa ,kwa Sasa nipo chuo fulani nawapika vijana kwenye project planning and management japo sina mradi hata wa kuku ila maisha ndio hivyo
 
Hayaga ndibuka

Sent from my TECNO KC6 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…