Ramon Abbas
JF-Expert Member
- May 4, 2021
- 1,964
- 3,913
Kabla ya hii hoja nchi ilikuwa tajiri?Sasa hoja kama hii ina msaada gani kwa Taifa. Halafu tunalalamika nchi yetu ni masikini
Kama hukuipata one wala usihofu..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabla ya hii hoja nchi ilikuwa tajiri?Sasa hoja kama hii ina msaada gani kwa Taifa. Halafu tunalalamika nchi yetu ni masikini
Hao wanyantuzu unaowasema hapa, usisahau kasema na mambo yao ya kuwatoa kafala na kuuwa ndungu zao piaNa wanyantuzu..masuala ya milion 600 hadu 1b kwao kugusa tu...ukiwaona hawajahi hata kuvaa tai ..[emoji3062]
Kabsa man, wanyantuzu licha ya pesa zao maisha yao ya hovyo sana, yamejaa ushirikinaIla hawa wanamaisha ya hovyoo pamoja na hela walizonazo.
Ohh sidhan kama ni woteHao wanyantuzu unaowasema hapa, usisahau kasema na mambo yao ya kuwatoa kafala na kuuwa ndungu zao pia
YesMkuu unapafahamu Nyabulogoya?
Siyo nyegezi kwa ndani papo nearly to stend ya nyegezi ya sasa ni barabara tu inatenganishaYes
Ulipasua sana
Somewhere nyegezi kwa ndani
Ah...bas tu aisee!...ila naomba ujue hao watumishi waliopata div 1 wana maisha ya chini sana sana mkuu...sana sana!! Amini tu hivyo...
😀😀😀...nakuacha kama ulivyoNi raha sana kujitekenya, kwamba mliofeli tu ndo mna maisha mazuri!
Nilipiga one kidato Cha nne,1999,hiyo rekodi haijawahi kufikiwa mpaka leo,Kama uzi unavyojielezea,
Personally nilibahatika olevo mitihani ya CSEE, 2007View attachment 1794195
Kiuhalisia nilipiga one , O level na A level tena one nzuri tuuKama uzi unavyojielezea,
Personally nilibahatika olevo mitihani ya CSEE, 2007View attachment 1794195
Yeah ukisoma Sana hutumii nguvu nyingi kupata basic needs,unaweza kuwa huna biashara kubwa wala hela nyingi ila ulizonazo hutoi jasho jingi Sana kuzipata ,zinaingia kwenye Account unakula zinaingia zingine hahahaHuyo ni mmoja kati ya 200 wenye Phd. Kama mwarabu mmoja ni gaidi, hauwezi ukasema waarabu wote ni magaidi.
Jaribu kukusanya watu 1,000 randomly wenye maisha mazuri Tanzania kisha uchambue viwango vyao vya elimu ndio utagundua kuwa kusoma sana ni raha.
Nilipataga one miaka hiyo nina A ya kiswahili advance nikaenda PCB chuo nikasoma bachelor of Medicine and Sugery nikaacha nikahamia SUA saivi ata sijui niko wapi!!
Azania kuna mda wamesoma wehu wengi mnoUkitaka kujua kuwa wewe peke yako hukupata one fuatilia Uzi huu.
Kuna jamaa nimesoma nae Azania akapata div zero nimeona reply yake page ya 16 kuwa alipata one Tena single digit
Matokeo ya o level 2007 hawakua wanaweka comma katika subjects tatizo jf kila mtu ana div oneKama uzi unavyojielezea,
Personally nilibahatika olevo mitihani ya CSEE, 2007View attachment 1794195
Kwa jinsi cheti kilivyo kipya kinaonesha kabisa ni cha kipindi hiki cha A za kuanzia 75Huwa sijutii kabisa maisha ya shule nikiangalia cheti changu,, japokuwa hainisaidii kiviile huku kitaa
View attachment 1796088