Umeshawahi kupiga One katika levo yoyote ya elimu? Tukutane hapa

Umeshawahi kupiga One katika levo yoyote ya elimu? Tukutane hapa

Huyo ni mmoja kati ya 200 wenye Phd. Kama mwarabu mmoja ni gaidi, hauwezi ukasema waarabu wote ni magaidi.

Jaribu kukusanya watu 1,000 randomly wenye maisha mazuri Tanzania kisha uchambue viwango vyao vya elimu ndio utagundua kuwa kusoma sana ni raha.
Yeah ukisoma Sana hutumii nguvu nyingi kupata basic needs,unaweza kuwa huna biashara kubwa wala hela nyingi ila ulizonazo hutoi jasho jingi Sana kuzipata ,zinaingia kwenye Account unakula zinaingia zingine hahaha
 
Nilipataga one miaka hiyo nina A ya kiswahili advance nikaenda PCB chuo nikasoma bachelor of Medicine and Sugery nikaacha nikahamia SUA saivi ata sijui niko wapi!!
 
Ukitaka kujua kuwa wewe peke yako hukupata one fuatilia Uzi huu.

Kuna jamaa nimesoma nae Azania akapata div zero nimeona reply yake page ya 16 kuwa alipata one Tena single digit
 
Hahah na One yangu ya 9 PCM ila mambo bado hayaeleweki acha Kazi iendelee chini ya Mama
 
Back
Top Bottom