cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
Basi inakua shida tupu, [emoji23][emoji23][emoji23]Mingi kwenye ratiba inakuja wakati Mwanafunzi hajajiandaa vizuri
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Basi inakua shida tupu, [emoji23][emoji23][emoji23]Mingi kwenye ratiba inakuja wakati Mwanafunzi hajajiandaa vizuri
Unajua kuna ka ukweli katika hoja ya mleta mada? wengi wanaofanya vizuri wanaishia kuwa middle class (nyumba moja, gari moja, na vi-miradi vidogo vidogo hapa na pale). Na katika hili kundi unakuta wanahimiza watoto wao wasome kwa bidii. Katika wanaofeli darasani, wapo wanaofaulu kupata pesa, lakini wengi wanaishia daraja la chini. wakibahatika kupata pesa, baadhi wanazipata kiujanja ujanja au kwa kutumia nguvu nyingi sana (most are too mechanical). ingawa pia wapo wanaopasua mpaka kwenye pick ya juu kabisa. Kila kitu kina exception.😀😀 nimeandika nikafuta
Jifunze kubishana kwa hojaKupiga one so what! Siyo issue. Magenious wote duniani waliovumbua mambo hawakufanya vizuri darasani. Unaweza ukapata one kwa kudesa na yule aliyepata two ikawa ni halali na akawa mkali kuliko wewe!! Tunawapata hao wa one vyuoni mpaka huwa tunashangaa hizi kweli zilikuwa marks zao O level au A level? Kwenye real life hiyo one haitakusaidia chochote.
Shule ina umuhimu katika kila kitu mkuuUnajua kuna ka ukweli katika hoja ya mleta mada? wengi wanaofanya vizuri wanaishia kuwa middle class (nyumba moja, gari moja, na vi-miradi vidogo vidogo hapa na pale). Na katika hili kundi unakuta wanahimiza watoto wao wasome kwa bidii. Katika wanaofeli darasani, wapo wanaofaulu kupata pesa, lakini wengi wanaishia daraja la chini. wakibahatika kupata pesa, baadhi wanazipata kiujanja ujanja au kwa kutumia nguvu nyingi sana (most are too mechanical). ingawa pia wapo wanaopasua mpaka kwenye pick ya juu kabisa. Kila kitu kina exception.
In fact hata siku hizi hata aliyefeli shule au ambaye hakwenda kabisa anapambana mwanae aende shule nzuri na afaulu vizuri. Ukienda Moshi ISM au DAR IST wamejaa watoto wa wafanya biashara ambao hawakusoma!
Siku hizi kila mtu anajua umuhimu wa hiyo one. haya mengine ni kijifariji tuu. kama una pesa saidia mwanao aende shule nzuri.
Nyie ndo mlikuwa mnafanya mtihani kwenye karatasi za njano halafu font size 8?Huu uzi wa vijana…..maana naona vyeti vyote vilivyowasilishwa vimesainia na ndalichako…Sijaona hata kimoja kilichosainiwa na akina Charles Kabeho 👀 👨🦯
haikuhusuMngetuambia Kwasasa mko wapi ingependeza pia..all in all hongereni
Kwamba unadhan nawaonea donge? No..hata kidg.haikuhusu
Shule ina umuhimu katika kila kitu mkuu
Unatulazimisha tukidanganywa Mkuu? Sasa subiri uone Mrejesho wetu hapa.Kama uzi unavyojielezea,
Personally nilibahatika olevo mitihani ya CSEE, 2007View attachment 1794195
Tuko pamoja mkuuMie ni mzee wa three za mwisho na chuo mzee wa 2.5 .. ila maisha yanakwenda tu .. [emoji23][emoji23]
Hahaha I know mkuuUnatulazimisha tukidanganywa Mkuu? Sasa subiri uone Mrejesho wetu hapa.
Usichokijua ni kwamba JamiiForums ukiniondoa tu Mimi hutokuta Members wengine wanakuambia ama ni Choka Mbaya Kiuchumi au wamewahi Kufeli Kitaaluma tokea Kindagarten Level.
Hoja ndiyo hiyo. You don't defend your divisions in universities and colleges.Jifunze kubishana kwa hoja
Jamani si wapo jf....😂😂😂Mngetuambia Kwasasa mko wapi ingependeza pia..all in all hongereni
Status je😜Jamani si wapo jf....😂😂😂
Status: onlineStatus je😜