Umeshawahi kupiga One katika levo yoyote ya elimu? Tukutane hapa

Umeshawahi kupiga One katika levo yoyote ya elimu? Tukutane hapa

One ya makaratasi ina saidia nin!!! Kuna one ya maisha wanazo wakinga kibao awajui ata kusoma!!!!

Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
Una akili sana wewe Mzee!!!!
nitafute ule Bata!! unatumia kinywaji gani Kwani???

any way chukua unavoweza kwa Mangi hapo Mt. wa sikukuu/Msimbazi!! ntakuja kulipa!! mwambie nimekutuma mimi....
 
Elimu hii ni sawa na Mbuzi...hufugwa kwa kupewa majani na maji ya kutosha..kisha Sikukuu Watu wanasheherekea kwa kula nyama yake na kumwagwa damu yake

Buhahahahahaha
 
O-level nilipiga 2 ya 18, niliumia sana maana ilibaki kidogo tu ningepiga 1 ya 17. Mungu si athumani Advance nikapiga 1 ya 7.
 
Kama uzi unavyojielezea,
Personally nilibahatika olevo mitihani ya CSEE, 2007View attachment 1794195
Mungu fundi, mwisho wa siku wote tutakufa, mvua ikinyesha leaching inatokea madegree, madiploma, ma certificate, madivision yoteee yote yanasombwa na maji kutoka ardhini yanakuwa deposited baharini na maziwa, shida kweli kweli...tumche Mungu
 
Mm nimekutana na dogo ana 23 yrs ana 1b! Ana elimu ya std 4!
Ana utitiri wa mitumbwi ya kuvulia acha kbs .yaan kijiji kizima wanamtegemea yeye! Narudia ana 1b...alinionesha akaunt nikarudi gheto kulala!
Kuna jamaa amesomeaga dit ni kichwa balaa... alikua kampuni fulan.maarufu...nimewah kaa naye kama 8mths migodini akisoma mchezo ajabu yulr jamaa ana maisha ya kimaskini kbs...mm nilikua nikifeli mishe zangu ile nna stress yy ndo alikua ananisovia fasta mambi yananyooka[emoji38][emoji38]!
Anakupa idea anakuchorea kila.kitu kwa kitabu anakuambia hebu ifanye utatoka..ila yy kila kitu walaaa...nikaja gundua ni mwathirika wa forex...yaan anahitaji sana maombi...anachoma hela balaa forex...! Haya maisha mm siyaelewagi pia[emoji1787]!
Kifupi ushukuru tu kwa kidogo unachopata
Kwa Hali ya kawaida tu jua Ni hela za manyoka .

Za akina mwandulami .

Hizo kiuhalisia hata wewe unaweza zipata ,unatoa mwanao kafara unazipata

Hapa kitaa kwetu Kuna jamaa ana miliki godown kubwa Sana na mashine za kusaga Ni hustler kweli kweli kwa macho ya nje .

Ila amedanja hivi juzi Kati na mkewe inasemekana wamekosea masharti ya "babu"

Room kwake wamekutana pesa kwenye viroba just pesa kwenye viroba zimejaa huyu utajua tu pesa za masharti
 
Kwa Hali ya kawaida tu jua Ni hela za manyoka .

Za akina mwandulami .

Hizo kiuhalisia hata wewe unaweza zipata ,unatoa mwanao kafara unazipata

Hapa kitaa kwetu Kuna jamaa ana miliki godown kubwa Sana na mashine za kusaga Ni hustler kweli kweli kwa macho ya nje .

Ila amedanja hivi juzi Kati na mkewe inasemekana wamekosea masharti ya "babu"

Room kwake wamekutana pesa kwenye viroba just pesa kwenye viroba zimejaa huyu utajua tu pesa za masharti
Hahahaa sozi? Yaan nimeiona ajali yake sikujua kama ndo wao..nilikua safarini to Mafinga...dah naskia mwanaye wa form2 hatak tena kusoma!..mie too ni family friends wetu na ni majirani too
 
O-level, nikapelekwa vipaji PCB,
Kwa mara ya kwanza nilijuta kufaulu kwa shughuli niliyokutana nayo kule.

Matokeo nayo yalivyotoka....[emoji84][emoji84][emoji83][emoji83]
Sitaki mazoea humu.

Anyway
Nasajili laini kwa alama za vidole,
Naunganisha Line za chuo,
Narudisha line zilizopotea,
Naweka liquid protector
Nabadilisha ringtones,
Nasafisha nyota,
Nasahaulisha madeni na kodi.
Duh[emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom