Statics
JF-Expert Member
- Dec 29, 2017
- 394
- 1,015
Unateseka ukiwa wapi mkuu ?Kwa jinsi cheti kilivyo kipya kinaonesha kabisa ni cha kipindi hiki cha A za kuanzia 75
Ulitaka nikitumie kufungia maandazi au ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unateseka ukiwa wapi mkuu ?Kwa jinsi cheti kilivyo kipya kinaonesha kabisa ni cha kipindi hiki cha A za kuanzia 75
wewe ni debe tupuUnateseka ukiwa wapi mkuu ?
Ulitaka nikitumie kufungia maandazi au ?
Dah! Labda Mtihani wa Mock "Advance"Kama uzi unavyojielezea,
Personally nilibahatika olevo mitihani ya CSEE, 2007View attachment 1794195
Kuna shosti angu zero form 6 sasa hivi ndo Don kwenye makundi yetu demu ana helaaa balaa!Waswahili wanasema kusoma kuelewa kukesha mbwembwe!Nina One ya Olevel na Advance lakini kitaa nimezungusha.
Baadhi ya classmate wangu waliofeli primary sasa ni madon
Kama uzi unavyojielezea,
Personally nilibahatika olevo mitihani ya CSEE, 2007View attachment 1794195
Mie ni mzee wa three za mwisho na chuo mzee wa 2.5 .. ila maisha yanakwenda tu .. [emoji23][emoji23]
Tata printMungu mkubwa Sana nilipata one Olevel.....Somo la kiswahili lilikua gumu sana, tuliomaliza 2009 wanajua, nilinosha kiswahili A ya kibabe sana.Somo la kiswahili nilikua wa 9 kitaifa,,nilipokea barua ya pongezi toka wizarani, nimeijengea sanamu geto.View attachment 1794604
18 siyo one mkuuNilipiga I ya Point 18 Ordinary Level Yombo Tech
Nilipiga I ya Point 09 Advanced Level HGL huko Kantalamba
Nilipiga GPA ya 3.2 Lower Second UDSM
.
.
Nimepoteza miaka 9 shuleni nilivyorudi kitaa waliofeli O' Level wamefanikisha yafuatayo;
1. Wana Biashara zilizoshamiri;
2. Wamejijenga kiuchumi na kimaisha;
3. Wamejijenga Kijamii;
4. Wamejijenga Kisiasa;
Kwa UFUPI;
Nimeajiriwa na Classmate wa STD VII ambaye hajui mlango wa darasa la Sekondari wala Chuo.
.
.
Nimezunguka na bahasha za khaki mpaka zikiniona tu zinalowa jasho;
.
.
Kila nikiwasikiliza wabunge wa JMT roho inamani kuchomoka!!
Kwenda shule hakukuzuia kufanya miradi yako mkuu.Nilipiga I ya Point 18 Ordinary Level Yombo Tech
Nilipiga I ya Point 09 Advanced Level HGL huko Kantalamba
Nilipiga GPA ya 3.2 Lower Second UDSM
.
.
Nimepoteza miaka 9 shuleni nilivyorudi kitaa waliofeli O' Level wamefanikisha yafuatayo;
1. Wana Biashara zilizoshamiri;
2. Wamejijenga kiuchumi na kimaisha;
3. Wamejijenga Kijamii;
4. Wamejijenga Kisiasa;
Kwa UFUPI;
Nimeajiriwa na Classmate wa STD VII ambaye hajui mlango wa darasa la Sekondari wala Chuo.
.
.
Nimezunguka na bahasha za khaki mpaka zikiniona tu zinalowa jasho;
.
.
Kila nikiwasikiliza wabunge wa JMT roho inamani kuchomoka!!
Wivu unakusumbua..wewe ni debe tupu
Bure kabisa!!
Kupiga one ni jambo la kawaida sana. Haiitaji mpaka uscreenshot kuutangazia umma. Anyway nilipiga one o level pia, komaa upige one pia ya kitaa. Kila la kheri!!Wivu unakusumbua..
Nikikutumia na matokeo yangu ya chuo nadhani ndo utazimia kabisa...
Hivyo ni vitu vya kawaida sana...
Kumbe na mie mkali 😀😀2.5 mbona nyingi ivyo watu tuna 2.0 tunavimba tyu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kuna shosti angu zero form 6 sasa hivi ndo Don kwenye makundi yetu demu ana helaaa balaa!Waswahili wanasema kusema kuelewa kukesha mbwembwe!
Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
Na mie nimeshangaa, nikajua labda zaman ilikua hivyo.18 siyo one mkuu