umeshawahi kupimwa imani, au kujaribiwa na mtu

umeshawahi kupimwa imani, au kujaribiwa na mtu

LA7

JF-Expert Member
Joined
Aug 26, 2019
Posts
655
Reaction score
2,369
umeshawahi kupimwa au kujaribiwa imani na mtu, kuna siku nimdenda zangu kununua earphone nilipo rudi jioni yake mdada wa kazi akaniomba asikilize radio,

nikampa akabaki nazo mpaka kesho asubuhi,

sasa kufika asubuhi nimeamka nafanya usafi akanifuata na kuniambia zile earphone alipitiwa na usingizi zikiwa masikioni amezikata bahati mbaya,

Mimi nikamjibu, ni mambo madogo tu hayo, wanakufa watu zitakuwa waya zina nini mpaka zisikatike huku usoni nikijitahidi kumuonesha kwamba sjali kuhusu hizo earphone, japo ukweli nilikuwa najali maana toka nazinunua halafu sijazitumia hata kidogo,

basi nikapotezea baadae tumekaa tunakunywa chai nikamwambia akazilete nione kama zitafaa kuziunga,

akaenda kuzileta akanipa kuzipokea mbona zipo sawa tu, akaniambia eti alikuwa ananijaribu tu ili ajue kama ninafaa kuombwa vitu vyangu,
 
umeshawahi kupimwa au kujaribiwa imani na mtu, kuna siku nimdenda zangu kununua earphone nilipo rudi jioni yake mdada wa kazi akaniomba asikilize radio,

nikampa akabaki nazo mpaka kesho asubuhi,

sasa kufika asubuhi nimeamka nafanya usafi akanifuata na kuniambia zile earphone alipitiwa na usingizi zikiwa masikioni amezikata bahati mbaya,

Mimi nikamjibu, ni mambo madogo tu hayo, wanakufa watu zitakuwa waya zina nini mpaka zisikatike huku usoni nikijitahidi kumuonesha kwamba sjali kuhusu hizo earphone, japo ukweli nilikuwa najali maana toka nazinunua halafu sijazitumia hata kidogo,

basi nikapotezea baadae tumekaa tunakunywa chai nikamwambia akazilete nione kama zitafaa kuziunga,

akaenda kuzileta akanipa kuzipokea mbona zipo sawa tu, akaniambia eti alikuwa ananijaribu tu ili ajue kama ninafaa kuombwa vitu vyangu,
Malizia vizuri Mkuu.

Na wewe ukampimaje imani?
 
umeshawahi kupimwa au kujaribiwa imani na mtu, kuna siku nimdenda zangu kununua earphone nilipo rudi jioni yake mdada wa kazi akaniomba asikilize radio,

nikampa akabaki nazo mpaka kesho asubuhi,

sasa kufika asubuhi nimeamka nafanya usafi akanifuata na kuniambia zile earphone alipitiwa na usingizi zikiwa masikioni amezikata bahati mbaya,

Mimi nikamjibu, ni mambo madogo tu hayo, wanakufa watu zitakuwa waya zina nini mpaka zisikatike huku usoni nikijitahidi kumuonesha kwamba sjali kuhusu hizo earphone, japo ukweli nilikuwa najali maana toka nazinunua halafu sijazitumia hata kidogo,

basi nikapotezea baadae tumekaa tunakunywa chai nikamwambia akazilete nione kama zitafaa kuziunga,

akaenda kuzileta akanipa kuzipokea mbona zipo sawa tu, akaniambia eti alikuwa ananijaribu tu ili ajue kama ninafaa kuombwa vitu vyangu,
Kwanini hukumpiga vibao sasa, huyo ni chizi tu sawa na kina Kajala. Anatafuta mwanamme wa kumchezea na kumuweka mjini.
 
umeshawahi kupimwa au kujaribiwa imani na mtu, kuna siku nimdenda zangu kununua earphone nilipo rudi jioni yake mdada wa kazi akaniomba asikilize radio,

nikampa akabaki nazo mpaka kesho asubuhi,

sasa kufika asubuhi nimeamka nafanya usafi akanifuata na kuniambia zile earphone alipitiwa na usingizi zikiwa masikioni amezikata bahati mbaya,

Mimi nikamjibu, ni mambo madogo tu hayo, wanakufa watu zitakuwa waya zina nini mpaka zisikatike huku usoni nikijitahidi kumuonesha kwamba sjali kuhusu hizo earphone, japo ukweli nilikuwa najali maana toka nazinunua halafu sijazitumia hata kidogo,

basi nikapotezea baadae tumekaa tunakunywa chai nikamwambia akazilete nione kama zitafaa kuziunga,

akaenda kuzileta akanipa kuzipokea mbona zipo sawa tu, akaniambia eti alikuwa ananijaribu tu ili ajue kama ninafaa kuombwa vitu vyangu,

[emoji848][emoji38][emoji38]
 
Kwaiyo mkuu alikuja kukuomba nini baada ya hapo?
Anyway tunakusubiri kimasihara kama unaona huku mapadre wengi
 
Back
Top Bottom