kengele maziwa
JF-Expert Member
- Jun 1, 2015
- 431
- 647
Weekend ndio hivyo imeshafika wandugu wa jukwaa hili habari zenu nyote.
kama tittle inavyosema umeshawahi kukutana na situation gani ukasema hii ni HABARI NJEMA YA KUSIKITISHA .
Miaka flani muda kidogo nilishawahi kuwa na mpenzi ambaye akapata mimba japo sikuihitajia kwa kipindi kile.
Lakini changamoto ilianza kwa nongwa ndogondogo zile mara mimba hivi mara vile mara nataka matikiti, mara pepsi nikaanza kuichoka mapema sana.
Kufupisha story siku hiyo alfajiri ananipigia tumbo limemshika na damu zinatoka kwenda hospital akaambiwa mimba imeharibika. Baada ya kupewa taarifa hizo nikasema alhamdulilah. Hizo ni habari njema za KUSIKITISHA vipi wewe ushawahi kukutana nazo changamoto hiyo. Karibu kwa kisa chako.
kama tittle inavyosema umeshawahi kukutana na situation gani ukasema hii ni HABARI NJEMA YA KUSIKITISHA .
Miaka flani muda kidogo nilishawahi kuwa na mpenzi ambaye akapata mimba japo sikuihitajia kwa kipindi kile.
Lakini changamoto ilianza kwa nongwa ndogondogo zile mara mimba hivi mara vile mara nataka matikiti, mara pepsi nikaanza kuichoka mapema sana.
Kufupisha story siku hiyo alfajiri ananipigia tumbo limemshika na damu zinatoka kwenda hospital akaambiwa mimba imeharibika. Baada ya kupewa taarifa hizo nikasema alhamdulilah. Hizo ni habari njema za KUSIKITISHA vipi wewe ushawahi kukutana nazo changamoto hiyo. Karibu kwa kisa chako.