Demi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2016
- 40,466
- 88,695
Ulikuta wanachinja mbwa?😄Sana yaani kuna mtaa ni kaingia Jana usiku nikahisi nipo Nyololo kule Iringa
Jana usiku nilijuta mitaa yote imezubaa nikaishia kulala
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ulikuta wanachinja mbwa?😄Sana yaani kuna mtaa ni kaingia Jana usiku nikahisi nipo Nyololo kule Iringa
🤣 Kweli hiyo habari njema ya kusikitishaMimi niliambiwa nna uboo mzuri, mnene, mrefu na mtamu ila siwezi kuutumia
Vipi tena ndugu
Nimebaki mdomo waziVipi tena ndugu
Ni kweli kuna matukio unakutana nayo kwa uwezo wako huwezi kuyamudu kwa kipindi hicho Mungu anaingilia kati, hapo ndio unaona ukuu wake.Kuna bro mmoja alipata bahati ya kuwa na mapacha wakufanana wawili, lakini alikuwa na maisha magumu sana pesa ya kula ikawa mtihani kwake na mama watoto na watoto pia, watoto (vichanga) wakaanza kuumwaa sana na pesa hakuna. Bahati mbaya katoto kamoja kalifariki.
Msibani baada kuzika nakumbuka yule bwana alikuwa anaongea na bimkubwa mmoja kwamba anamshukuru sana Mungu kwa huo msiba wa mwanae maana alikuwa anaenda kuchanganyikiwa kwa jinsi majukumu yalivyomzidi msuli. Mimi kama mpenda watoto mapacha sikumuelewa kabisa. Labda ndio HABARI NJEMA YA kusikitisha.
Nimebaki mdomo wazi
Ikawaje sasaMimi niliambiwa nna uboo mzuri, mnene, mrefu na mtamu ila siwezi kuutumia
Pole sana KakaMiaka kadhaa iliyopita nilimpoteza mpwa wangu wa miaka mitatu kwa ajali ya moto, mwili wake uliungua kwa karibia 80%.
Zile siku 3 alizokuwa hospitali nililia sana kwa mateso aliyokuwa anapitia. Maumivu aliyopitia yalikuwa ni makali sana kwa umri aliokuwa nao.
Siku aliyofariki niliumia sana ila baadaye nilishukuru kwa maisha mafupi ya mpwa wangu na kuona ameachana na mateso ya Dunia.
Sasa hv nawapakia vumbi la Congo, n mwendo wa kuwasugua tuu 🔥Ikawaje sasa
Jana mitaa lilikuwa na mixed feelings yaani ile Kariakoo halafu Staz na mengine mengi ndio maana uliona hivyo.Ulikuta wanachinja mbwa?😄
Jana usiku nilijuta mitaa yote imezubaa nikaishia kulala
Wavulana wakianza kubalehe huwa wanawaza ngono sanaWeekend ndio hivyo imeshafika wandugu wa jukwaa hili habari zenu nyote.
kama tittle inavyosema umeshawahi kukutana na situation gani ukasema hii ni HABARI NJEMA YA KUSIKITISHA .
Miaka flani muda kidogo nilishawahi kuwa na mpenzi ambaye akapata mimba japo sikuihitajia kwa kipindi kile.
Lakini changamoto ilianza kwa nongwa ndogondogo zile mara mimba hivi mara vile mara nataka matikiti, mara pepsi nikaanza kuichoka mapema sana.
Kufupisha story siku hiyo alfajiri ananipigia tumbo limemshika na damu zinatoka kwenda hospital akaambiwa mimba imeharibika. Baada ya kupewa taarifa hizo nikasema alhamdulilah. Hizo ni habari njema za KUSIKITISHA vipi wewe ushawahi kukutana nazo changamoto hiyo. Karibu kwa kisa chako.
We jamaaa...eti habari njema za kusikitisha.Weekend ndio hivyo imeshafika wandugu wa jukwaa hili habari zenu nyote.
kama tittle inavyosema umeshawahi kukutana na situation gani ukasema hii ni HABARI NJEMA YA KUSIKITISHA .
Miaka flani muda kidogo nilishawahi kuwa na mpenzi ambaye akapata mimba japo sikuihitajia kwa kipindi kile.
Lakini changamoto ilianza kwa nongwa ndogondogo zile mara mimba hivi mara vile mara nataka matikiti, mara pepsi nikaanza kuichoka mapema sana.
Kufupisha story siku hiyo alfajiri ananipigia tumbo limemshika na damu zinatoka kwenda hospital akaambiwa mimba imeharibika. Baada ya kupewa taarifa hizo nikasema alhamdulilah. Hizo ni habari njema za KUSIKITISHA vipi wewe ushawahi kukutana nazo changamoto hiyo. Karibu kwa kisa chako.
Anapenda kuchakata Ila hayupo responsible for the outcome.Huyo mtoto angeteseka ila kuna watu wana dhambi sana, alifurahia kilichotokea.
Shida sana mkuuAnapenda kuchakata Ila hayupo responsible for the outcome.
Ukipata mzazi/baba wa aina hii ni shida yaan.