Umeshawahi kupitia situation gani ukasema hii ni habari njema ya kusikitisha?

Ni kweli kuna matukio unakutana nayo kwa uwezo wako huwezi kuyamudu kwa kipindi hicho Mungu anaingilia kati, hapo ndio unaona ukuu wake.
 
Tuna mtoto wa miezi 8 wife akapata mimba, tulifadhaika kwa kweli ila ilipofika miezi miwili ikaharibika. Ilikuwa ni

HABARI NJEMA YA KUSIKITISHA​

 
Pole sana Kaka
 
Siku nikisikia Bibi Nyau amepata ajali ya ungo huko mawinguni na ameteketea kabisa hiyo ndiyo itakuwa Habari njema ya kusikitisha kwangu maana ndiyo utakuwa mwisho wa kuwatesa Watanganyika kwa wanga wake.
 
Ulikuta wanachinja mbwa?πŸ˜„
Jana usiku nilijuta mitaa yote imezubaa nikaishia kulala
Jana mitaa lilikuwa na mixed feelings yaani ile Kariakoo halafu Staz na mengine mengi ndio maana uliona hivyo.
 
Wavulana wakianza kubalehe huwa wanawaza ngono sana
 
We jamaaa...eti habari njema za kusikitisha.
 
Honestly umekosea sana ulichoandika.... You could have kept it with you ... Umenisikitisha mnooo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…