Umeshawahi kupotea Kariakoo? Juzi ilibaki nukta nipige mayowe

Nini maana ya kumiliki mawasiliano
 
Tutawapeleka mji mkongwe Zanzibar, ili mpotee mazima!!
Nilitaka kuandika hii. Yaani ile sehemu huwezi kariri njia kwamba ninapopita wakati wa kwenda nipite mulemule wakati wa kurudi neva . Na hili si kwa mgeni tu hata wenyeji.
 
Kama ni wa kuja kupotea ni kawaida ila kama siyo hata usiku wa manane wa kiza hupotei.
 
Mm pia uwa inanitokea hasa ukipelekwa sehemu Kwa kupitishwa njia usizo zijua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…