Umeshawahi kupotea Kariakoo? Juzi ilibaki nukta nipige mayowe

Umeshawahi kupotea Kariakoo? Juzi ilibaki nukta nipige mayowe

Mimi niliagizwa nimpeleke dogo msimbazi center apige interview ya kuingia kidato cha tano mimi nikampeleka mtaa wa msimbazi kariakoo tukaanza kutafuta sasa sehenu ya kupigia interciew mpaka kwenye kituo cha polisi.
[emoji23][emoji23][emoji28][emoji28][emoji28][emoji23][emoji23][emoji28][emoji28]
 
Dar tu Hapo mnapotea.. Mkija Hapa Durban itakuaje
 
kwa upande wangu dar sijaenda Mara nyingi lakini kuna kipindi nilienda wakati naingia chuo. safari hii nilienda kubadilisha details za chuo pale tcu, maana nilikuwa nahama kutoka chuo kimoja kwenda kingine.

na pindi hiyo nilifikia huku picha ya ndege, so nilikuwa natoka pale picha ya ndege natembea mpaka maili moja kisha napanda gari kuelekea ubungo. nikifika ubungo nashuka naanza kutembea mpaka shekilango nakatisha naanza kuitafuta tcu.

nilipiga root kama siku mbili mfululizo, siku ya tatu wakati natoka kule tcu nikasema ngoja nitembee nione mji. Ukumbuke hii ilikuwa mara yangu ya kwanza kuingia dar yaani 2013 hiyo. Tofauti na hapo mara ya mwisho ilikuwa ni mwaka 2006, na kipindi hiki nilikuwa mdogo sana hivyo sikuwa najitambua.

basi bwana nikatoka pale tcu nikaanza kula mitaa nikibadilisha ule uelekeo wa kurudi shekilango.

muda si muda nikatokea sehemu fulani kuna mto. nikaanza kushangaa dar gani hii ina mito kama nipo mbalizi mbeya [emoji1787][emoji1787]
muda huo usha fika sinza boya wewe [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Nilikuwa na kawaida ya kutembea kutoka Muhimbili hadi posta kupita huku Hospitali ya Aghakhan. Nazurura, nakula samaki. Narudi jioni. Lakini wakati wa kurudi sipiti huko. Siku narudi usiku nikapotea, nikajikuta nimetokea wigo wa Gymkhana, naelekea baharini. Kunatisha sana usiku. Nilivyoona kumepoa akili ndiyo ikafunguka kuwa naenda upande tofauti. Ndiyo kugeuka.

Ila Kariakoo kupotea kitu kama duka ni rahisi sana.
 
Hii ni dharau sasa,kwani wanaoishi hizo sehemu hawawezi potea wakienda sehemu nyingine?! Hata hivyo Paris na NY pamepangika vizuri na data zake za location ni rahisi sana.Huyu unaemdharau Yes anaweza ishi hizo sehemu vizuri tu na asipotee.
Miji hiyo kila mtaa unapoanza na unapoishia kuna kibao kuonyesha jina. Ni vizuri Kariakoo napo waweke vibao vingi kuonyesha mitaa.
 
Hii mada inawalenga sana wale wenye mishe misheza manunuzi kariakoo.

Aisee kama huna uzoefu na ile mitaa, hasa ile ya nguo, nakushauri ukinunua mzigo wako ukiona huwezi tembea nayo bora utafute hoteli ulipie uwe unakusanyia mizigo yako hapo.

Mimi sio mgeni wa k.koo hata kidogo, ila juzi ni kama ndio nimefika kwa mara ya kwanza,

Ipo hivi
Nimefanya manunuzi yangu ya nguo za jumla, Ikawa kila ninapochukua mzigo sababu ni mkubwa na bado naendelea basi naufunga namwachia mwenye duka mpaka nitakapo maliza nazungukia kote nabeba.

Pasipo kuelewa jinsi ninavyoiacha ndio nazidi kuchanganya mambo, imefika saa 9 hivi nikawa nishamaliza, ni kuanza ku kusanya sasa.

Nilikua na location 9, nikaanza moja baada ya nyingine, Zikabaki 3, hizi sasa ndio kimbembeee.

Siku za nyuma ilikua kila nikiacha mzigo basi na kalili ule mtaa na duka ili iwe rahisi baadae, Sasa juzi kwa haraka niliyokua nayo na huku nikiamini sijawahi potea na nishakua mzoefu nika ignore hilo swala,

Aloo, Nilizunguka ile mitaaa huku machozi yakinilenga kadiri mda unavyopita,

Duka la kwanza kati ya yale matatu nililipata baada ya 2hrs, kumbuka hizo 2hrs zote nilikua natafuta bila kupumzika,
Na sio kama nililiona mwenywe ila nilikua napita lesi ndio jamaa akaniita akaniuliza "bro vipi bado sana maana ndio tunakaribia kufunga"?

Nikajifanya "Ahaaa basi poa ngoja tuu nitembee nao" nikachukua mzigo huku moyo ukiruka ruka kwa kushukuru, yaani pale ndio kabisaa nilikua sipawazi kama nilifanya manunuzi.

Sikutaka hata kuchelewa nikaupeleka guest, inshu ni hayo maduka mawili, Kazi ikaanza tena, hapo mda umeenda, watu washaanza kufunga, kila nikisikia wanashusha yale ma milango yao ya bati, napanick natoka nduki.

Nikatafutaweeeeee, inafika saa 12, nimechoka, nimepanick, nimekata tamaa, Jasho na kiu haviniishii Nishanunua maji kama katoni nzima na henganjifu za kutosha ila vyote kila ninapo simama nikiondoka nimesahau.

Ikafika saa moja, Hapo sasa wengi washafunga, nikawa natembea kinyonge, machozi yananilenga nikiona magrili yanashushwa tuu, nikakaa sehemu ilibakia nukta nipige mayoweee.

Sikua na la kufanya zaidi ya kusubiri kesho yake ambayo ni jana, Akili ilikua ishachoka, nikampigia Rafiki yangu aje tuu anitoe pale nilipokuwepo, maana niliona kabisa mwendokasi ikinivaa.

Asubuhi, nikaingia tena, Inafika saa 6, bila bila, hapa nikaanza kupiga hesabu namna ya ku compensate hasara ya kama 900k na usheee(almost 1M kasoro).

Nikakaa tena sehemu, hapa ndipo nikagundua kweli akili ya binadamu kuna mzingira inafanya kazi baadae ukikaa ukijiuliza ni wewe huamini.

Nilianza kuvuta kumbukumbu za kuanzia Mwanzo naingia k.koo ile jana asubuhi, nini nilianza nacho, wapi nilianzia, basi kuanzi hapo mtiririko wa mazingira ya nje ya kuanzia duka la kwanza mpaka la 9 ukanijia.

Hayo ni mazingira ya pale dukani, inshu ni mtaa na njia gani? Kwa kumbukumbu hivyo hivyo nikaja nikajua ni duka la ngapi na la ngapi katika ule mtiririko ndio nimeyapoteza.

Njia kila nikivuta kumbukumbu haziji, nikaona best option ni kwenda kuanzia duka la kwanza kutembea huku nikivuta kumbukumbu, ile ndio ilikua pona yangu, Mzigo wa kwanza nikaupata duka namba 4 mtaa wa Congo na agrrey, mzigo wa pili duka namba 7 Mchikichi na Nyamwezi.

Bahati nzuri ni waaminifu, nikakuta mizigo yangu salama, nikabeba, huyoooo.

Mpaka nikakumbukaga kale ka meme, watu wanakatumaga kiutani ila kumbe inaonesha wao yalishakuta.

"Ulishawahi kupotea kariakoo mpaka ukapita sehemu ukawauliza watu, mliniona nikipita hapa?"
Pole Sana ,kwenye henganjifu umeniachia kicheko.Kila ukiacha mzigo sehemu uwe na notebook unaandika details za duka na mtaa.Utakuja kunishukuru
 
Hii mada inawalenga sana wale wenye mishe misheza manunuzi kariakoo.

Aisee kama huna uzoefu na ile mitaa, hasa ile ya nguo, nakushauri ukinunua mzigo wako ukiona huwezi tembea nayo bora utafute hoteli ulipie uwe unakusanyia mizigo yako hapo.

Mimi sio mgeni wa k.koo hata kidogo, ila juzi ni kama ndio nimefika kwa mara ya kwanza,

Ipo hivi
Nimefanya manunuzi yangu ya nguo za jumla, Ikawa kila ninapochukua mzigo sababu ni mkubwa na bado naendelea basi naufunga namwachia mwenye duka mpaka nitakapo maliza nazungukia kote nabeba.

Pasipo kuelewa jinsi ninavyoiacha ndio nazidi kuchanganya mambo, imefika saa 9 hivi nikawa nishamaliza, ni kuanza ku kusanya sasa.

Nilikua na location 9, nikaanza moja baada ya nyingine, Zikabaki 3, hizi sasa ndio kimbembeee.

Siku za nyuma ilikua kila nikiacha mzigo basi na kalili ule mtaa na duka ili iwe rahisi baadae, Sasa juzi kwa haraka niliyokua nayo na huku nikiamini sijawahi potea na nishakua mzoefu nika ignore hilo swala,

Aloo, Nilizunguka ile mitaaa huku machozi yakinilenga kadiri mda unavyopita,

Duka la kwanza kati ya yale matatu nililipata baada ya 2hrs, kumbuka hizo 2hrs zote nilikua natafuta bila kupumzika,
Na sio kama nililiona mwenywe ila nilikua napita lesi ndio jamaa akaniita akaniuliza "bro vipi bado sana maana ndio tunakaribia kufunga"?

Nikajifanya "Ahaaa basi poa ngoja tuu nitembee nao" nikachukua mzigo huku moyo ukiruka ruka kwa kushukuru, yaani pale ndio kabisaa nilikua sipawazi kama nilifanya manunuzi.

Sikutaka hata kuchelewa nikaupeleka guest, inshu ni hayo maduka mawili, Kazi ikaanza tena, hapo mda umeenda, watu washaanza kufunga, kila nikisikia wanashusha yale ma milango yao ya bati, napanick natoka nduki.

Nikatafutaweeeeee, inafika saa 12, nimechoka, nimepanick, nimekata tamaa, Jasho na kiu haviniishii Nishanunua maji kama katoni nzima na henganjifu za kutosha ila vyote kila ninapo simama nikiondoka nimesahau.

Ikafika saa moja, Hapo sasa wengi washafunga, nikawa natembea kinyonge, machozi yananilenga nikiona magrili yanashushwa tuu, nikakaa sehemu ilibakia nukta nipige mayoweee.

Sikua na la kufanya zaidi ya kusubiri kesho yake ambayo ni jana, Akili ilikua ishachoka, nikampigia Rafiki yangu aje tuu anitoe pale nilipokuwepo, maana niliona kabisa mwendokasi ikinivaa.

Asubuhi, nikaingia tena, Inafika saa 6, bila bila, hapa nikaanza kupiga hesabu namna ya ku compensate hasara ya kama 900k na usheee(almost 1M kasoro).

Nikakaa tena sehemu, hapa ndipo nikagundua kweli akili ya binadamu kuna mzingira inafanya kazi baadae ukikaa ukijiuliza ni wewe huamini.

Nilianza kuvuta kumbukumbu za kuanzia Mwanzo naingia k.koo ile jana asubuhi, nini nilianza nacho, wapi nilianzia, basi kuanzi hapo mtiririko wa mazingira ya nje ya kuanzia duka la kwanza mpaka la 9 ukanijia.

Hayo ni mazingira ya pale dukani, inshu ni mtaa na njia gani? Kwa kumbukumbu hivyo hivyo nikaja nikajua ni duka la ngapi na la ngapi katika ule mtiririko ndio nimeyapoteza.

Njia kila nikivuta kumbukumbu haziji, nikaona best option ni kwenda kuanzia duka la kwanza kutembea huku nikivuta kumbukumbu, ile ndio ilikua pona yangu, Mzigo wa kwanza nikaupata duka namba 4 mtaa wa Congo na agrrey, mzigo wa pili duka namba 7 Mchikichi na Nyamwezi.

Bahati nzuri ni waaminifu, nikakuta mizigo yangu salama, nikabeba, huyoooo.

Mpaka nikakumbukaga kale ka meme, watu wanakatumaga kiutani ila kumbe inaonesha wao yalishakuta.

"Ulishawahi kupotea kariakoo mpaka ukapita sehemu ukawauliza watu, mliniona nikipita hapa?"

Umenifanya nimecheka sana mkuu
 
[QUOTE="Champagnee, post: 40197317, member: 533Kariakoo kila bidhaa najua mtaaa inakopatikana[emoji119]
Jibu ndo hili....sijawahi kupotea kariakoo na sitopotea...japokuwa Nina miaka miwili sijafika hapo!!![/QUOTE]Kupotea kkoo ni kujiendekeza tu.


Kama akili yako haijatulia imejaa mastress ya tozo unaweza ukapotea popote pale.
 
Nimewahi potea kkoo ila usiku[emoji23][emoji23]
Day time ni poa maana tumekua kkoo zaidi ya 20 years. Ila hutaamini, kkoo usiku ni sehemu nyingine kabisaa. Yaani nilikikuta nimefika karume[emoji23][emoji23] hapo ndo nilianzia moja. Sehemu napoteaga day time sometimes ni posta kuanzia mnazi mmoja mpaka posta hapa katikati. Yaan na kusoma kwangu posta 4 years haijawa msaada. Yaani napoteza mwelekeo kabisaa[emoji23][emoji23] kuna siku nikasema nitoke mnazi mpk posta vinjia vya kati lwa mguu. Nilikikuta mara 2 narudi mnazi palepale. Niliumiaaaa[emoji119][emoji119] sikutaka tena nikapanda daladala. Halaf nakua nimefika kamtaa ka posta kabisa hivi viroundabout vya ndani huko kama hindu mandal etc. Dar pa kijinga sana
Hilo jiji hata saa tisa ucku sipotei japo nlikaa 5 year,yani kariakoo,posta,gerezani,jangwani,upanga,kamata,ilala,migomigo...huko kote hata nikae miaka 7 sijafika sipotei dar mitaa haibadiliki ni majengo ndio yanabadilishwa
 
Miji hiyo kila mtaa unapoanza na unapoishia kuna kibao kuonyesha jina. Ni vizuri Kariakoo napo waweke vibao vingi kuonyesha mitaa.
Vibao vipo ila inabidi uwe na akili ya ziada kuving'amua...kampuni ya tronik wamejitahid kuweka matangazo yao na majina ya mtaa.
 
Back
Top Bottom