Ferruccio Lamborghini
JF-Expert Member
- Apr 15, 2020
- 1,667
- 2,595
CARRIER CORPSAiseee wewe acha tu Kupotea
Carrier call ni kawaida Kwa mgeni aiseee usipojua Ile mitaa inachanganya Sana!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
CARRIER CORPSAiseee wewe acha tu Kupotea
Carrier call ni kawaida Kwa mgeni aiseee usipojua Ile mitaa inachanganya Sana!
Pole sana, Pale ukijua namba unawin maana kila barabara ina namba.mimi #dodoma tu pale palinichanganya, zile sijui barabara ya sita sijui ya saba, huku kwetu tukuyu hazipo
Why are you offended so easily my dwag ?
Hapo Tandika usiku nilizunguka mpaka nikachoka natafuta kituo cha daladala na mfukoni nilikuwa na buku tu aseee!! Pamekaa vibaya! But now haiwezi kuwa tenaKwa asiyefika Tandika anaweza kushindwa kukuelewa lakini aliyewahi kufika, wala hashangai kusikia ulipotea!!
Hii ilinotokeaga kipindi niko 1st year pale Duce. mwanzoni nilikuwa nimefikia kwa ndugu yangu Kimara, sasa nilikuwa nimezoea kwenda Duce kwa kupanda magari ya Kimara-posta/ Kimara k/koo, nashukia Magomeni, kisha napanda magari ya kwenda mbagala nashukia Duce.Nimewahi poteana hapo Kariakoo mtaa wenyewe sio complicated
Lengo langu niende NMB nyuma ya kituo cha polisi msimbazi ,nimepanda costa natokea manzese ,badala ya Costa kupita fire ikakatisha mitaa ambayo siijui nadhan ni kwenye ofisi za mwendo kasi pale ila sikunote nilikuwa nimelala,
Tukaenda shushwa mitaa siko familiar nayo
Nikaona isiwe tabu nikachukua bodaboda nikampa maelekezo anishushe BIG BON
Nikapelekwa ila akili yangu ikagoma kbsa kuwa pale ni big bon ,
Petrol station naiona,na kituo cha polisi nakiona ,Ili viko upande tofauti na vinapotakiwa kuwa(KWA mujibu wa akili yangu)
Yaani mfano akili inaniambia kituo cha polisi kinatakiwa kiwe upande wa kushoto kwako mimi naona kiko Kulia kwangu ,nikadaka wenge
Najua kbsa Nmb wako nyuma ya kituo cha polisi ,ila akili yangu inageuza mazingira
Nikaamua kujiripua kwenda mtaa unaonipeleka huko nyuma ya kituo cha polisi Ndo kama nikawa nimeRESET akili
Vitu vyote vikarudi kama vinavyitakiwa kuwa.
Tuliozaliwa ilala na kariakoo tunasoma comment zenu na kucheeekaAcha tu haya mambo haya hayana mjanja. Nilienda Chuo cha DIT kumsalimia jamaa angu nilisomaga nae O level nilikuwa natokea mbagala sasa baada ya kushuka jamaa akanichukua tukaanza kutembea kwa miguu kwenda Chuo nikawa nakariri mitaa sasa tukamaliza kuongea akaniaga nikawa nasepa jamani Kurudi kwa migui kutafuta ile Stand ya Mbagala nilitamani kuliaaa[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] ubaya na njia ya kurudi chuo nimeipotea hata kumpigia simu mwana naogopa... Nilizurura kule posta mamaee mpaka nikakomaa. Mwisho wa siku nikamuuliza machinha flani akanipa mwanga nilijicheka sana.
Siku nyingine nimetoka Kigamboni kuja kkoo kupitia njia ta darajani sasa nikashushwaa stand flani maeneo ya kule karume jamani sijui walinishushia upande ganii sikuamini kama sipajui waliponishushiaa[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] ila karume lile jengo la soko naliona aisee shukuru Mungu nikaliona jenga la Machinga Complex ndo ikawa pona yangu nikaanza kulifata maana lengo langu ilikuwa kwenda msimbazi.[emoji3] Kkoo na Posta hazina mwenyeji yani.
safi mkuu nimekupataCARRIER CORPS
Inabidi uchague point ambayo ndo kituo chako Cha kukusanyia mzigo. Kila unaponunua unapeleka pale na Kila unapokata mitaa hakikisha haupotezi uelekeo wa hiyo point.Kwa staili liyofanya, ya kununua nguo halafu anaacha hapo hapo kisha anaenda sehemu nyingine na nyingine ili apitie baadae; my braza, hata kama unaifahamu vizuri mitaa lazima utachanganya madesa tu kwa sababu hapo issue ni zaidi ya kujua mitaa bali kujua nini ulinuua wapi!!!
KabisaWenye maduka tyu
KabisaWenye maduka tyu
Pole Sana aiseeNilikwenda kufanya manunuzi maduka matano. Kila nilipoingia na kufunga mzigo walinifata wahuni wakikusanya mzigo kwa kisingizio kwamba niliwatuma wauchukue, wale wahuni walinigawana, kila ukiingia unakuta umeingia naye..ukiondoka anatoa maelezo kama wewe anaoewa mzigo.
Jioni saa mbili Sina mzigo hata mmj wezi wakijibebea, masikini wa Mungu ilikuwa duka la mwisho walau ningeambulia ule mzigo kwa kuwa ndio nilikuwa nao mkonon yule mwiz wa mwisho alifanikiwa baada ya kwenda kuita usafir...
Nikaiyona kariakoo inastahili ipigwe Bomu tufe wote
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]ukawa unaona mapicha pichaKariakoo buana[emoji846], ukifika huwa mishale ya usiku inakuwaga kama sehemu nyingine kabisa, japo me nadhani ni kutokuwa na mazoea, Nilipofika DSM kwa mara ya kwanza, nilitamani nifahamu sehemu mbalimbali, Mungu si Athumani nikawa nimezifahamu sehemu nyingi,
One day nmefika Kariakoo kutoka mkoani,mida ya saa tatu usiku[emoji38] nilizunguka kutafuta stend ya daladala hadi saa tano usiku[emoji28], Just imagine masaa mawili, na begi lilikuwa zito kinouma nouma, mara nitokelezee mnazi moja, mara kama naenda Posta, mara nitokee hadi ilipo stend ya sahivi magerezani[emoji28][emoji28] Nikawa najiuliza hivi nipo siriaz kweli, [emoji1787][emoji1787][emoji1787]