Umeshawahi kupotea Kariakoo? Juzi ilibaki nukta nipige mayowe

Hahahaha
 
HAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHA
 
Hahaha aisle nimecheka Sana 😀😀Pole Ndugu
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji28]
 
Nimewahi potea kkoo ila usiku[emoji23][emoji23]
Day time ni poa maana tumekua kkoo zaidi ya 20 years. Ila hutaamini, kkoo usiku ni sehemu nyingine kabisaa. Yaani nilikikuta nimefika karume[emoji23][emoji23] hapo ndo nilianzia moja. Sehemu napoteaga day time sometimes ni posta kuanzia mnazi mmoja mpaka posta hapa katikati. Yaan na kusoma kwangu posta 4 years haijawa msaada. Yaani napoteza mwelekeo kabisaa[emoji23][emoji23] kuna siku nikasema nitoke mnazi mpk posta vinjia vya kati lwa mguu. Nilikikuta mara 2 narudi mnazi palepale. Niliumiaaaa[emoji119][emoji119] sikutaka tena nikapanda daladala. Halaf nakua nimefika kamtaa ka posta kabisa hivi viroundabout vya ndani huko kama hindu mandal etc. Dar pa kijinga sana
 
Pole sana kiongozi.

Kariakoo inabadilika kwa kasi sana.
 
Mi pia natumia Google map, iliniokoa nisipotee pale Italia, Jiji la Genoa
 
Huyu jamaa Pantomath anaonekana ni wale watu wa mikoani waliozoea kuendesha taratibu kwa zao kwa njia za kijima. Ununuzi wa bidhaa wa kukariri namna hii ulikuwa unafnyika miaka hiyo wakati hakuna njia nzuri za mawasiliano au kuweka kumbukumbu. Eti unanunua mzigo maduka 9 halafu unang'ang'aniza yote uyakariri kwa kichwa!
 
Hahahaha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…