Wengi huishia kuachana tena kwakuwa huwa na hulka za kukumbushiana sababu za kuachana kwaoHope mko poa,
Naomba kuuliza swali dogo, hivi ushawahi kurudiana na ex wako, afu penzi likanoga Kama zamani.
Two years ago, nilkuwa kwenye penzi zito Sana na mdada mmoja, yaani nilimpenda nae akanipenda kweli, basi tulikula maisha kwa furaha ya hali ya juu.
Baada ya muda tuliachana, japo mawasiliano ya kujuliana hali yalikuwepo, Sasa bi dada this year anaomba turudiane, nikikumbuka moments za nyuma natamani turudiane, Ila nahofia sitompenda Kama zamani.
Wakuu kwa walioweza kurudiana na ma ex wenu mliwezaje, na je penzi lenu lilinoga?
Unakijua kifo lakini ..unakichukulia wepesi sanaThem: Utamrudia Ex wako ama bora Kufa.
Me: Bora Kufaaaaaaaaaaaaaaa
Hakukua hata na la maana zaidi ya kuchoreshana tu.Kwanini dada au kitu kizito kilikupiga?
Usafiri wa maviKwa eksi wa kiume anaweza kujshape na kuwa normal....ila wa upande wa pili anarud kwa kuja kutaka kufanya revange..nlishajaribu kumrudia eksi wangu...ni kwel tulikuwa na good moments ambazo.ndo zilfanya kila mmoja aone umuhm wa kumrudia mwenzie..ila cku tu tunaonana...kaanza kuwasiliana na maboya zake mbele yangu...kwa kwel nliona ujinga...akala quenz 3 heavy za kichwa na nkachukua usafir na kusepa...
Kimoya[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kuna pimbi mmoja nilimpiga kibuti (sijawahi kuachwa huwa naacha)baada ya miezi mitatu kupita tukajikuta tena pamoja sijui aliniloga au ni nyege tu,maana nilikuwa naumwa mara akaibuka kunitembelea bila taarifa sijui nani alimwambia tukajikuta mgonjwa mnara ukasoma kwa kasi ya 5G nikapiga kimoya [emoji28]
Umetafsir usafir kama nin we nguchiro?hata kupanda uongo ni usafirUsafiri wa mavi
Huchukui round mtaitana Tena maex
Kuna mahusiano nilipitia niliumizwa Sana na yule dada nilihis Hadi kudata
Alikuwa wa kunizingua na kunirudia Mara kwa Mara ilikuw ndo tabia coz nlkuwa nampenda Sana na alijua Kama nampenda
Cha kuzingatia kwenye mahusiano yanayofufuliwa acha yeye ndo apiganie penzi/mapenzi yenu
Ucmpe mda wako Kam zaman ata utakuw na nyege sometime jfanye upo busy
Mpe mda usitoe ushirikiano wa kutosha Kam mwanzo Kam kwel atakuw na Nia atavumlia na atakupigania ili auwin moyo wko
Sasa jfanye kiherehere utajuta maana uyo manzi unaonekana unampenda
Jf kuna kuku mnakiki kumbe ni POOR INNOCENT VICTIMSUmetafsir usafir kama nin we nguchiro?hata kupanda uongo ni usafir
Nioneshe sehm niliyotafuta kiki kwny hyo reply...acha mihemko..nyie ndo mnakuwa na wivu+chuki kwa watu msiowajua...iv nikiita bodaboda kama means of transport c usafir huo?shirikisha ubongo kabla hujaandika kitu chochote hapaJf kuna kuku mnakiki kumbe ni POOR INNOCENT VICTIMS
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ndie mke kwa sasa lakin ndio kosa kubwa nililofanya na nalijutia maisha yangu yote [emoji17]
Kifo ni chepesi sanaa,Unakijua kifo lakini ..unakichukulia wepesi sana
Mimi huwa narudiana na ex wangu tunadumu miezi miwili mitatu tunabreak baadae tunarudiana Tena.Hope mko poa,
Naomba kuuliza swali dogo, hivi ushawahi kurudiana na ex wako, afu penzi likanoga Kama zamani.
Two years ago, nilkuwa kwenye penzi zito Sana na mdada mmoja, yaani nilimpenda nae akanipenda kweli, basi tulikula maisha kwa furaha ya hali ya juu.
Baada ya muda tuliachana, japo mawasiliano ya kujuliana hali yalikuwepo, Sasa bi dada this year anaomba turudiane, nikikumbuka moments za nyuma natamani turudiane, Ila nahofia sitompenda Kama zamani.
Wakuu kwa walioweza kurudiana na ma ex wenu mliwezaje, na je penzi lenu lilinoga?