AggerFirminho
JF-Expert Member
- Sep 17, 2019
- 2,318
- 4,106
Ben afleck kamchumbia tena JLO. Anyway kila mtu na abebe msalaba wake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabisa mkuuBen afleck kamchumbia tena JLO. Anyway kila mtu na abebe msalaba wake
....Labda kama kina Story Nzuri Sana!...Mkuu kitabu ulichokisoma unakirudia tena?
Kwa eksi wa kiume anaweza kujshape na kuwa normal....ila wa upande wa pili anarud kwa kuja kutaka kufanya revange..nlishajaribu kumrudia eksi wangu...ni kwel tulikuwa na good moments ambazo.ndo zilfanya kila mmoja aone umuhm wa kumrudia mwenzie..ila cku tu tunaonana...kaanza kuwasiliana na maboya zake mbele yangu...kwa kwel nliona ujinga...akala quenz 3 heavy za kichwa na nkachukua usafir na kusepa...Akienda kupuyanga huko akapigwa na kitu kizito kichwani akarudi kwa style kama aliyorudi nayo rajabu gregory (lakini asiwe kapuyanga na watoto wetu😆😆😆) anapokelewa🏃♀️🏃♀️🏃♀️
Inategemea kilichowaachanisha nininiHabari zenu je,uliwahi kurudiana na x wako wa zamani?
Hapana nimeuliza cjawahi kurudiana ila ni salamu hakuna kingineUnataka kufanya ivo?
Kwanini dada au kitu kizito kilikupiga?Ndio, ila ni upuuzi sitokaa nirudie.
Mimi nimeuliza sababu niweze kujua ahsante.Mbona mnarudiarudia kuuliza? Tulishasema ex harudiwi jaman[emoji849]
Ahsante mkuuInategemea kilichowaachanisha ninini
Bora ulishaona hapo dharau ya wazi umejiongeza.Kwa eksi wa kiume anaweza kujshape na kuwa normal....ila wa upande wa pili anarud kwa kuja kutaka kufanya revange..nlishajaribu kumrudia eksi wangu...ni kwel tulikuwa na good moments ambazo.ndo zilfanya kila mmoja aone umuhm wa kumrudia mwenzie..ila cku tu tunaonana...kaanza kuwasiliana na maboya zake mbele yangu...kwa kwel nliona ujinga...akala quenz 3 heavy za kichwa na nkachukua usafir na kusepa...
[emoji1][emoji1][emoji1]Kitu kizito.Akienda kupuyanga huko akapigwa na kitu kizito kichwani akarudi kwa style kama aliyorudi nayo rajabu gregory (lakini asiwe kapuyanga na watoto wetu[emoji38][emoji38][emoji38]) anapokelewa[emoji2088][emoji2088][emoji2088]
Kumbe wee ni faller 🤣🤣🤣🤣🤣Ndio, ila ni upuuzi sitokaa nirudie.
Umenipa matumaini kumbe naweza rudiana na huyu mrembo. Ebu nipe mbinu sasa za kurudiana nae maana dah nimetambua kuwa ni mwanamke wakuoa kabisa huyuAkienda kupuyanga huko akapigwa na kitu kizito kichwani akarudi kwa style kama aliyorudi nayo rajabu gregory (lakini asiwe kapuyanga na watoto wetu😆😆😆) anapokelewa🏃♀️🏃♀️🏃♀️