Umeshawahi kurudiana na ex wako na penzi likanoga kama zamani?

Umeshawahi kurudiana na ex wako na penzi likanoga kama zamani?

Kuna pimbi mmoja nilimpiga kibuti (sijawahi kuachwa huwa naacha)baada ya miezi mitatu kupita tukajikuta tena pamoja sijui aliniloga au ni nyege tu,maana nilikuwa naumwa mara akaibuka kunitembelea bila taarifa sijui nani alimwambia tukajikuta mgonjwa mnara ukasoma kwa kasi ya 5G nikapiga kimoya [emoji28]
Mliachana tena
 
Mwanaume ukiacha kutafuta hela basi jua kinataka nini hiko kichwa cha chini itakusaidia kujua unarudi kwa lipi.

Maoni tu ya nyau
 
Back
Top Bottom