Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 86,410
- 169,862
Binadamu hatufanani dogo.Nataka Ni nilinganishe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Binadamu hatufanani dogo.Nataka Ni nilinganishe
Kabisa, sema hizi ex ukiwa na hamu na mbususu zinakupa freshMwache yeye ndio akutafute mkuu, ukimtafuta wewe itakula kwako..
Mliachana tenaKuna pimbi mmoja nilimpiga kibuti (sijawahi kuachwa huwa naacha)baada ya miezi mitatu kupita tukajikuta tena pamoja sijui aliniloga au ni nyege tu,maana nilikuwa naumwa mara akaibuka kunitembelea bila taarifa sijui nani alimwambia tukajikuta mgonjwa mnara ukasoma kwa kasi ya 5G nikapiga kimoya [emoji28]
Hamkuachana sasa mliwekeana viburi tuTuliachana japo kila mmoja uwa anajitahidi kutopoteza mawasiliano ya mwenzie
SawaInategemea mliachana vipi,na kwa sababu zipi,kama sababu zilizowatenga hazijakuwa solved mnaweza rudiana n msidumu kwenye huo uhusiano mkaachana tena
Safi sana umetoa mapajaNa kwanini mrudiane?...
Kaa kwa kutulia bro
Kuna ma ex wengine lazima uwaache wengine kuwaacha Ni shidaMe siachanagi na maex zangu yani tukikutana tu tunaanzia tulipoishia [emoji41]
Sent from my SM-G960U1 using JamiiForums mobile app
Hii safi sana....mbususu haisuswiMe siachanagi na maex zangu yani tukikutana tu tunaanzia tulipoishia [emoji41]
Sent from my SM-G960U1 using JamiiForums mobile app
Wee nae rudiana na baba mtoto wako bwana...Kurudianarudiana!
SawaWee nae rudiana na baba mtoto wako bwana...
Mpaka hapa hamkuachanaTuliachana japo kila mmoja uwa anajitahidi kutopoteza mawasiliano ya mwenzie