Tafuta Hela
JF-Expert Member
- Mar 15, 2022
- 1,546
- 2,983
Makosaaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna namna fulani mkiachana inakuwa ngumu kuachana na hata mkirudiana, it won't work sababu ya dirty past memories
Hainaga makombo bosssirudiagi matapishi
Mkuu una maneno weye....yaani Mara ya Kwanza umeona kabisa meli inazama...ukirudia Tena movie ile ile unakuwa hauamini kuwa itazama.....duuuu sasa hzo ndo illusions au nn mkuu...ushawah kuiona movie ya Titanic? Then ukarudia kuiangalia unaweza ukaamin ile meli haita zama? Think deep mzee mliachana kwasababu kuna vtu alvkosa kwako kaenda kuvtafuta kavkosa uko pia ndio karudsha kambi tena kwako Anyway mpe nafas kama moyo wako bado uanahis yeye ndio faraja yako
Weka mtazamo chanya japo kidogo mkuuHahahahahahahahahah nimeishia kucheka tu.....ngoja nikwambie kitu "Wakati mwingine kumpa mtu nafasi nyingine ni kama vile unampa risasi Tena Ili akumalize kwakua alikukosa mara ya kwanza"
Huo ni mtazamo wangu Mpwa, unaweza kuweka tu wa kwako pia.....Weka mtazamo chanya japo kidogo mkuu
Huchukui round mtaitana Tena maex
Kuna mahusiano nilipitia niliumizwa Sana na yule dada nilihis Hadi kudata
Alikuwa wa kunizingua na kunirudia Mara kwa Mara ilikuw ndo tabia coz nlkuwa nampenda Sana na alijua Kama nampenda
Cha kuzingatia kwenye mahusiano yanayofufuliwa acha yeye ndo apiganie penzi/mapenzi yenu
Ucmpe mda wako Kam zaman ata utakuw na nyege sometime jfanye upo busy
Mpe mda usitoe ushirikiano wa kutosha Kam mwanzo Kam kwel atakuw na Nia atavumlia na atakupigania ili auwin moyo wko
Sasa jfanye kiherehere utajuta maana uyo manzi unaonekana unampenda
Mie naona ukimpa nafasi penzi litakolea sana hadi itafika mahali mtajuta kwanini mlitengana kipindi kile mkuuHuo ni mtazamo wangu Mpwa, unaweza kuweka tu wa kwako pia.....
Ndiyo [emoji2099][emoji2099][emoji2099][emoji2099][emoji2099][emoji2099][emoji2099][emoji2099][emoji2099]Unataka kuishi kwa experience za wengine!!!
Nataka Ni nilinganisheUnataka kuishi kwa experience za wengine!!!
Tuliachana japo kila mmoja uwa anajitahidi kutopoteza mawasiliano ya mwenzieMliachana ama mlikuwa mmepeana likizo?
Sasa we si umeshindikana[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ndiyo [emoji2099][emoji2099][emoji2099][emoji2099][emoji2099][emoji2099][emoji2099][emoji2099][emoji2099]
Sent from my SM-G781U using JamiiForums mobile app
Cool, ata CCM imemrudisha Kinana[emoji3]Na kwanini mrudiane?...
Kaa kwa kutulia bro