Umeshawahi kusaidiwa nini na mganga ukaona kabisa mganga wako fundi?

Umeshawahi kusaidiwa nini na mganga ukaona kabisa mganga wako fundi?

sokoMchizi

Member
Joined
Oct 15, 2022
Posts
50
Reaction score
210
Naomba hapa wale watembea kwa sangoma mtoe shuhuda zenu mliyokutana nayo kwa waganga na toka umeanza kwenda Mganga.

Alikusaidia nini ukaona kabisa shida yako imetatuliwa kwa nguvu ya mganga.

Ikiwezekana mtaje mganga alipo na wengine wakauone uwezo wake.
 
Nilikuwa nasafirisha mkaa mpaka dar bila vibali!

Nikikaa mbele ya gari trafiki na watu wa maliasili hawaioni gari mpaka Dar.

Kwa nin niliacha....with time mganga aliniambia kwa sasa nadaiwa sadaka ya damu ya mbuzi watatu, nikatoa
Baadae akaniambia nipate mimba niitoe nimpelekee.

NIKACHAPA LAPA ILA NILIZULUMIWA HELA, VIWANJA, GARI nikabaki kama mwanafunzi wa secondary

Namshukuru MUNGU nimeanza upya bila ndumba
Nyongeza: Kwa huyo mganga nilikutana na vigogo kadhaa wa mashirika na idara za serikali na NGO ...wakuu wa vyombo vya usalama.

UNAJUA KWA NIN WATU WANANUNUA VX?

UKIONA mtu ana Vx posta anatoka kazini saa 9:30 anakimbia kwa mganga , anajigangua asubuhi saa tisa ,kumi anaanza Safari kurudi kazini.

Nilishangaa kuona VX kibao zikiingia usiku nikawauliza hawa wote ni watoto wa hiki kijiji, mmebarikiwa...jibu hawa ni mabosi na vigogo wa posta.
 
Nilikuwa nasafirisha mkaa mpaka dar bila vibali!
Nikikaa mbele ya gari trafiki na watu wa maliasili hawaioni gari mpaka Dar.

Kwa nin niliacha....with time mganga aliniambia kwa sasa nadaiwa sadaka ya damu ya mbuzi watatu, nikatoa
Baadae akaniambia nipate mimba niitoe nimpelekee....NIKACHAPA LAPA ILA NILIZULUMIWA HELA, VIWANJA, GARI nikabaki kama mwanafunzi wa secondary

Namshukuru MUNGU nimeanza upya bila ndumba[/QUOTE
 
Naomba Hapa Wale Watembea kwa Sangoma Mtoe Shuhuda Zenu Mliyokutana Nayo kwa Waganga na toka Umeanza kwenda Mganga Alikusaidia nini Ukaona kabisa shida Yako Imetatuliwa kwa nguvu ya Mganga , ikiwezekana mtaje Mganga Alipo nawengine wakauone uwezo wake

Asee nilikua nadaiwa kodi mwenye nyumba kidogo anitolee vyombo nje lakin mpaka leo nadunda tu.

Haji wala hanipigii simu ila mganga kanambia nitafute hela maana hiyo dawa haidumu mi namwambia ikiisha makali nakuja kuongezea
 
alinipa mafuta ya mvuto huyu jamaa, nikiongea na hizi pisi hazichomoi, nikamfuata tena nikamwambia nipe ya biashara akanambia ni hyohyo dogo we unachotakiwa ni kunuia tu unachotaka, aisee we acha tu hii dunia ina maajabu mengi sana
 
Em daud mchambuzi tuchambulie hapo ..washirki au washirikina?
Shirk ni kiarabu, kiswahili chake ni kushirikisha ama ushirikina

Kwanini ushirikina unatokana na concept ya kushirikisha,

Ni kwamba huko lugha ya kiarabu ilipo tokea watu walio amini Mungu walifundishwa kumuabudu Mungu mmoja tu.

na wakafundishwa imani nyenginezo zote uongo ikiwemo kufanya matambiko nakuabudu miungu mengine kutatua matatizo ni dhambi kuwa suala la kuomba ni suala la Mungu mmoja tu hakuna mwengine kushirikisha maombi kwa Mungu huyo na ma vitu mengine ndio ushirikina
 
Shirk ni kiarabu, kiswahili chake ni kushirikisha ama ushirikina

Kwanini ushirikina unatokana na concept ya kushirikisha,

Ni kwamba huko lugha ya kiarabu ilipo tokea watu walio amini Mungu walifundishwa kumuabudu Mungu mmoja tu.

na wakafundishwa imani nyenginezo zote uongo ikiwemo kufanya matambiko nakuabudu miungu mengine kutatua matatizo ni dhambi kuwa suala la kuomba ni suala la Mungu mmoja tu hakuna mwengine kushirikisha maombi kwa Mungu huyo na ma vitu mengine ndio ushirikina

Asante sana umejibu vema
 
Waganga wazushi tu niliibiwa simu ktk mazingira ya kutatanisha simu kala na gharama sn.

Ss mm sio mtu wa ulozi kama mshana jr, akaja mwanangu mmoja na kuniambia anipeleke kwa mganga hiyo simu aliyeiba atarudisha.

Tumefka kwa sangoma baada ya kuelezea shida zetu mixer akasaga majanimajani si jui ni ya aina gani akasema nichemshe ninywe simu itarudi.

Sasa nipo njiani najiuliza simu aibe mwingine mijani ya dawa ninywe mie, halafu kuna uhusiano gani Kati ya kurudi kwa simu na mm kunywa Yale majani

Aahh kudadeki niliitupilia mbali ile mijani na mpaka ss siamini ulozi na hiyo simu nishasamehe[emoji3061]

Sent from my itel W4001P using JamiiForums mobile app
 
Nilikuwa nasafirisha mkaa mpaka dar bila vibali!
Nikikaa mbele ya gari trafiki na watu wa maliasili hawaioni gari mpaka Dar.

Kwa nin niliacha....with time mganga aliniambia kwa sasa nadaiwa sadaka ya damu ya mbuzi watatu, nikatoa
Baadae akaniambia nipate mimba niitoe nimpelekee....NIKACHAPA LAPA ILA NILIZULUMIWA HELA, VIWANJA, GARI nikabaki kama mwanafunzi wa secondary

Namshukuru MUNGU nimeanza upya bila ndumba
Mwenzako kadakwa leo na gunia 19

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naomba Hapa Wale Watembea kwa Sangoma Mtoe Shuhuda Zenu Mliyokutana Nayo kwa Waganga na toka Umeanza kwenda Mganga Alikusaidia nini Ukaona kabisa shida Yako Imetatuliwa kwa nguvu ya Mganga , ikiwezekana mtaje Mganga Alipo nawengine wakauone uwezo wake
Waganga hawa hawa waliambiwa atakeye toa Fununu ya Alipo Mo Dewj familia itampa kitita cha 1bilnlion na wote wakala nduki🤣🤣

Matapeli hawa hawana msaada wowote.
 
Nilikuwa nasafirisha mkaa mpaka dar bila vibali!
Nikikaa mbele ya gari trafiki na watu wa maliasili hawaioni gari mpaka Dar.

Kwa nin niliacha....with time mganga aliniambia kwa sasa nadaiwa sadaka ya damu ya mbuzi watatu, nikatoa
Baadae akaniambia nipate mimba niitoe nimpelekee....NIKACHAPA LAPA ILA NILIZULUMIWA HELA, VIWANJA, GARI nikabaki kama mwanafunzi wa secondary

Namshukuru MUNGU nimeanza upya bila ndumba
Ndumba hazina faida.
 
Back
Top Bottom