Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,197
- 128,160
Wote tuEm daud mchambuzi tuchambulie hapo ..washirki au washirikina?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wote tuEm daud mchambuzi tuchambulie hapo ..washirki au washirikina?
Halafu baadae umwambie atoe damu ya mwanaye au mke wake🤣🤣🤣njoo huku kwa wasukuma.... maswa, nikuoneshe konk, wateja watakuja kwenye biashara yako kama mvua, ukitoka dukani watakusubir. ukija niandalie pesa ya maji,maana naacha kaz zangu
Zipo Wapemba wanapenda sana kuzitumia kwenye biashara zaoHivi mkuu ni kweli kuna dawa za kuvuta wateja?
Njoo inbox. Utapata wateja hadi utawakimbiaHivi mkuu ni kweli kuna dawa za kuvuta wateja?
Hivi mkuu mfano tu nikaenda kufungua yard kisarawe ya magari kule wanapolima mihogo sana alafu nimwambie mganga anipatie dawa ya kuvuta wateja wanaweza kunifata mpaka huko😂😂 mana nasikia hizi dawa hatariZipo Wapemba wanapenda sana kuzitumia kwenye biashara zao
Sasa boss mimi huwa najuulizaga mbona sasa watu wengi hawana yale mafanikio makubwa ya kutisha. Au ndo mpaka umwage damu?Njoo inbox. Utapata wateja hadi utawakimb
Njoo inbox. Utapata wateja hadi utawakimbia
Sasa
Ndio Maana Unatumia Itel [emoji3][emoji3][emoji125]Waganga wazushi tu niliibiwa simu ktk mazingira ya kutatanisha simu kala na gharama sn.
Ss mm sio mtu wa ulozi kama mshana jr, akaja mwanangu mmoja na kuniambia anipeleke kwa mganga hiyo simu aliyeiba atarudisha.
Tumefka kwa sangoma baada ya kuelezea shida zetu mixer akasaga majanimajani si jui ni ya aina gani akasema nichemshe ninywe simu itarudi.
Sasa nipo njiani najiuliza simu aibe mwingine mijani ya dawa ninywe mie, halafu kuna uhusiano gani Kati ya kurudi kwa simu na mm kunywa Yale majani
Aahh kudadeki niliitupilia mbali ile mijani na mpaka ss siamini ulozi na hiyo simu nishasamehe[emoji3061]
Sent from my itel W4001P using JamiiForums mobile app
Sa nifanyeje[emoji51]Ndio Maana Unatumia Itel [emoji3][emoji3][emoji125]
Sent from my Redmi Note 5 using JamiiForums mobile app
Dawa ya kupoozesha jino tu!! Hapo salute Nampa mengine yote [emoji2781]!!Naomba Hapa Wale Watembea kwa Sangoma Mtoe Shuhuda Zenu Mliyokutana Nayo kwa Waganga na toka Umeanza kwenda Mganga Alikusaidia nini Ukaona kabisa shida Yako Imetatuliwa kwa nguvu ya Mganga , ikiwezekana mtaje Mganga Alipo nawengine wakauone uwezo wake
zipo zenye faida mkuu mfano bibi yangu kijijin anapoishi ikitokea mtu amepotea au mifugo hasa Ng'ombe akipotea huko malishoniNdumba hazina faida.
Uko seriousNjoo inbox. Utapata wateja hadi utawakimbia
Uchawi ni uchawi na shirki Wala ushirikina,ushirikina/shirki ni kukifanya kitu kuwa munguShirki au ushirikina
Subutu, ningemwambia naumwa tumbo sawa angalau ningetekeleza kwa kuchemsha na kunywa hayo majani
Ukinipa pesa chafu ya chuma ulete au ya kuharibu ridhiki yangu najua. Mikono inaanza kuuma, mikono inakuwa ya moto ghafla, kichwa kitauma, macho kuwa mazito , mikono kuwa na kigugumizi pia.Naomba Hapa Wale Watembea kwa Sangoma Mtoe Shuhuda Zenu Mliyokutana Nayo kwa Waganga na toka Umeanza kwenda Mganga Alikusaidia nini Ukaona kabisa shida Yako Imetatuliwa kwa nguvu ya Mganga , ikiwezekana mtaje Mganga Alipo nawengine wakauone uwezo wake