Umeshawahi kusaidiwa nini na mganga ukaona kabisa mganga wako fundi?

Umeshawahi kusaidiwa nini na mganga ukaona kabisa mganga wako fundi?

Nilienda kwa mganga ni sheikh yupo migo migo kusema ukweli hakunisaidia kupata ajira ndio kwanza mambo yalizidi kuwa meusi.

Ila dawa zake ukichoma na ukioga wanawake unafanya kuwakimbia simu zinaita kutwa nzima na mtaani mpaka unatongozwa. Demu alikupiga kibuti miaka imepita unaona annanzisha convo inbox

Sema ilinikuta sina nguvu nikawa nawapotezea ingekuwa enzi zangu nna mkwanja sijui ingekuwaje.
 
Shirk ni kiarabu, kiswahili chake ni kushirikisha ama ushirikina

Kwanini ushirikina unatokana na concept ya kushirikisha,

Ni kwamba huko lugha ya kiarabu ilipo tokea watu walio amini Mungu walifundishwa kumuabudu Mungu mmoja tu.

na wakafundishwa imani nyenginezo zote uongo ikiwemo kufanya matambiko nakuabudu miungu mengine kutatua matatizo ni dhambi kuwa suala la kuomba ni suala la Mungu mmoja tu hakuna mwengine kushirikisha maombi kwa Mungu huyo na ma vitu mengine ndio ushirikina
Shirk ni kiarabu, kiswahili chake ni kushirikisha ama ushirikina

Kwanini ushirikina unatokana na concept ya kushirikisha,

Ni kwamba huko lugha ya kiarabu ilipo tokea watu walio amini Mungu walifundishwa kumuabudu Mungu mmoja tu.

na wakafundishwa imani nyenginezo zote uongo ikiwemo kufanya matambiko nakuabudu miungu mengine kutatua matatizo ni dhambi kuwa suala la kuomba ni suala la Mungu mmoja tu hakuna mwengine kushirikisha maombi kwa Mungu huyo na ma vitu mengine ndio ushirikina
Ilikuwaje Bakwata ikamtambua sheikh yahya hussein
 
zipo zenye faida mkuu mfano bibi yangu kijijin anapoishi ikitokea mtu amepotea au mifugo hasa Ng'ombe akipotea huko malishoni
Wanakuja kwake kumwomba msaada na akifanya dawa zake withn 2days kilichoptea kinapatkana na huwa haomb hela ya mtu ni wanarudi wenyew kutoa shukrani
Nakuhakikishoa atakapokufa huyo Bibi yako hayo majini na mamizimu anayoyatumia yatawahangaisha sana nyie watoto na wajukuu zake!
Mtalipa sana kwa ajili ya hayo madude ya bibi
 
Nilienda kwa mganga ni sheikh yupo migo migo kusema ukweli hakunisaidia kupata ajira ndio kwanza mambo yalizidi kuwa meusi.

Ila dawa zake ukichoma na ukioga wanawake unafanya kuwakimbia simu zinaita kutwa nzima na mtaani mpaka unatongozwa. Demu alikupiga kibuti miaka imepita unaona annanzisha convo inbox

Sema ilinikuta sina nguvu nikawa nawapotezea ingekuwa enzi zangu nna mkwanja sijui ingekuwaje.
Migo migo pale sehemu gani
 
Ukinipa pesa chafu ya chuma ulete au ya kuharibu ridhiki yangu najua. Mikono inaanza kuuma, mikono inakuwa ya moto ghafla, kichwa kitauma, macho kuwa mazito , mikono kuwa na kigugumizi pia.

Ukija kuniwangia Lazima nikuone ndotoni na nishtuke kutoka usingizi

Nikikikanyaga uchawi Lazima miguu iwe mizito ghafla .
Aliyekutengenezea Yuko wapi
 
Nakuhakikishoa atakapokufa huyo Bibi yako hayo majini na mamizimu anayoyatumia yatawahangaisha sana nyie watoto na wajukuu zake!
Mtalipa sana kwa ajili ya hayo madude ya bibi
sijawai kusikia ana mizimu wala majini
Yeye hutuambia ni dawa za asili alifundishwa akiwa mdogo kusaidia kupata mifungo iliopotea , kuikinga mifugo dhidi ya wanyama wakali
na kujua mtu aliekwenda safari ya mbali kama bado yupo hai ama alishakufa

Dawa hizo pia hutumika kuwaita watoto waliokwenda mjini kutafta maisha na kusahau kurudi kijijn kusalmia wazee ,unambiwa ukifanyiwa hizo dawa utatafta kila njia urudi kwenu hata kwa mkopo ama kutembea kwa mguu

Na kuna ingine alinambia ikitokea hataki mtoto wake aende kutafuta maisha mbali na nyumban anachota unyayo wake anamix dawa na kwenda kuufunika na chungu
kuanzia hapo aliefunikwa hawez hata kufikiria kusafiri wala kwenda kuishi mbali na nyumbani.
 
Naomba Hapa Wale Watembea kwa Sangoma Mtoe Shuhuda Zenu Mliyokutana Nayo kwa Waganga na toka Umeanza kwenda Mganga Alikusaidia nini Ukaona kabisa shida Yako Imetatuliwa kwa nguvu ya Mganga , ikiwezekana mtaje Mganga Alipo nawengine wakauone uwezo wake
Aah ww nilimsindikiza rfk angu mganga kapandisha mashetani sijui madude gani nilikimbia vby mno weeeh hakuna cha mganga wala nin hapa duniani zaid ya Allah.
 
Hivi mkuu mfano tu nikaenda kufungua yard kisarawe ya magari kule wanapolima mihogo sana alafu nimwambie mganga anipatie dawa ya kuvuta wateja wanaweza kunifata mpaka huko[emoji23][emoji23] mana nasikia hizi dawa hatari

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] labda wakufate mizimu na majini ….hlo swal mganga angekuweka kibao [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Waganga wazushi tu niliibiwa simu ktk mazingira ya kutatanisha simu kala na gharama sn.

Ss mm sio mtu wa ulozi kama mshana jr, akaja mwanangu mmoja na kuniambia anipeleke kwa mganga hiyo simu aliyeiba atarudisha.

Tumefka kwa sangoma baada ya kuelezea shida zetu mixer akasaga majanimajani si jui ni ya aina gani akasema nichemshe ninywe simu itarudi.

Sasa nipo njiani najiuliza simu aibe mwingine mijani ya dawa ninywe mie, halafu kuna uhusiano gani Kati ya kurudi kwa simu na mm kunywa Yale majani

Aahh kudadeki niliitupilia mbali ile mijani na mpaka ss siamini ulozi na hiyo simu nishasamehe[emoji3061]



Sent from my itel W4001P using JamiiForums mobile app
😂😂😂😂nimecheka kweli yaan
 
Hivi mkuu mfano tu nikaenda kufungua yard kisarawe ya magari kule wanapolima mihogo sana alafu nimwambie mganga anipatie dawa ya kuvuta wateja wanaweza kunifata mpaka huko[emoji23][emoji23] mana nasikia hizi dawa hatari
Watakuja ilimradi kuna biashara zinafanyika wateja utapata tu, Matajiri wa mihogo ndiyo wateja wenyewe.
 
Back
Top Bottom