Umeshawahi kusaidiwa nini na mganga ukaona kabisa mganga wako fundi?

😂😂
 
Sasa boss mimi huwa najuulizaga mbona sasa watu wengi hawana yale mafanikio makubwa ya kutisha. Au ndo mpaka umwage damu?
Ni hivi mkuu.
haya mambo yana siri nying ambazo unaweza kujiuliza na usiwe na majibu.
Kunawatu wamewahi kuwa na utajiri wa kutishi kutokana na haya mambo ya kishirikina.

Ila kitokacho kwa shetani ni kivuli
 

Huyo atakuwa alichanganya dawa badala ya kukupa ya kazi akakupa ya mvuto
 
Uzi wa kumpigia upatu mganga kwangu nipate cha udalali
 
Tutaendelea kuwashuhudia watu weupe wakiishi maisha halisi mpaka mwisho wa Dunia.
Mtu mweusi linapokuja suala la msimamo ni ngumu saana kudumu. Atayumba tuu katikati.
Unafiki umetawala sana maisha ya mtu mweusi. Hayuko real hata.
Utajiri sio lelemama, upo kwa ajili ya watu makini na majasiri tuu.
 
Ulichoandika hakiendani na mada
 
Inaonekana mganga wako sio masihara. Anachecha mnyanga kweli kweli.

Huwezi tupalocation na sie ambao tuna maradhi ya muda mrefu.

Yumkini uzi huu ukawa nafuu kwetu mkuu
 
Asee nilikua nadaiwa kodi mwenye nyumba kidogo anitolee vyombo nje lakin mpaka leo nadunda tu.

Haji wala hanipigii simu ila mganga kanambia nitafute hela maana hiyo dawa haidumu mi namwambia ikiisha makali nakuja kuongezea
Mganga wako kiboko aisee
 
Nimeamini sehemu watu wanapenda sana dini si sehemu shwari kuishi.....Kilimanjaro watu ni washirikina mno sijapata ona jamani. Zamani nilikuwa naamini kuwa wachagga si wachawi kumbe ni kinyume na hivyo....Kina Harawa jamani ni noma hawa watu.
Uchagani ni dawa za miti mkuu dawa za utajiri mvuto nuksi limbwata sijui kama wapo ninchojua ni magonywa Zaidi mkuu
 
Please tunaomba hii story
 
Nakuona my 😜
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…