kibobori mahoro
JF-Expert Member
- Dec 12, 2022
- 7,452
- 10,785
Tunaojitokeza mara nilisaidiwa, mara niliacha na kurudi kwa Mungu, ni mbwembwe tu, waliokaa kimya ndio wenyewe na Siri zao.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna rafiki yangu mwaka flan alikodi jiko la kupika supu, chips, na chakula bar uko manzese, sasa mwenyewe aliniambia alifungua hiyo biashara kichwa kichwa'' sasa akawa hapati mauzo biashara ngumu na hapo alipo kodi kuna Guest na ikifika usiku ombaomba wote wa mjini wanaenda kulala hapo gest lakini wakitaka kula wanaenda kula sehemu nyingine, jamaa alisema ombaomba wanapesa sana ikifika usiku wana gawana magawio pesa nyingi, Sasa huyo rafiki yangu ikabidi aende kwa mganga na mganga akamwambia apeleke kichwa cha mbuzi ili atengenezewe dawa baada ya kutengenezewa dawa ikabidi aende akakifukie saa saba usiku mbele ya biashara yake'' ugumu unakuja sehemu yenyewe watu wanashelewa kulala na tena wale ombaomba ndiyo wanakaa mpaka saa nane na yeye kaambiwa akafukie saa saba na isizidi muda huo, ikabidi jamaa afosi Kibishi achimbe afukie kichwa cha mbuzi, kuanzia hapo akawa anauza sana na wale ombaomba wakitoka kuomba uko mjini wananunua chakula sana. lakini Biashara za kuhusicha uganga siyo nzuri ukijisahau kwenda ku renew madawa biashara inakufa gani ukijifanya urudi kwenye mfumo wa kawaida wa biashara bila mganga biashara inakufa Fasta, yani maisha ya kutegemea waganga ni mateso na unaishi kwa hofu na mashaka ata ukikuta panya kafa tu kikawaida au ukute ata kitu kigeni maeneo ya biashara lazima utakumbilka kwa mganga. Kuna Mama mmoja mme wake hakuonekana nyumba wiki moja huyo mama ikabidi aende kwa mganga badala ya kwenda polisi au Hospitali.Acha uzwazwa. Ingekuwa hao waganga hawasaidii chochote wangekuwa wameshafunga shughuli zao maana wangekosa wateja. Ukiona duka linashamiri ujue wateja wapo na wanafurahia huduma za muuzaduka.
Nakubali kabisa maelezo yako. Ukishakuwa wa kwenda kwa waganga, kila tukio utalihusisha na ushirikina hata la kawaida. Mwisho wa yote utaharibikiwa. Lakini ni ukweli pia kuna waganga wa kweli ambao husaidia sana hata kwa tiba ya magonjwa na matapeli pia wapo. Kazi ngumu ni namna ya kuwatofautisha.Kuna rafiki yangu mwaka flan alikodi jiko la kupika supu, chips, na chakula bar uko manzese, sasa mwenyewe aliniambia alifungua hiyo biashara kichwa kichwa'' sasa akawa hapati mauzo biashara ngumu na hapo alipo kodi kuna Guest na ikifika usiku ombaomba wote wa mjini wanaenda kulala hapo gest lakini wakitaka kula wanaenda kula sehemu nyingine, jamaa alisema ombaomba wanapesa sana ikifika usiku wana gawana magawio pesa nyingi, Sasa huyo rafiki yangu ikabidi aende kwa mganga na mganga akamwambia apeleke kichwa cha mbuzi ili atengenezewe dawa baada ya kutengenezewa dawa ikabidi aende akakifukie saa saba usiku mbele ya biashara yake'' ugumu unakuja sehemu yenyewe watu wanashelewa kulala na tena wale ombaomba ndiyo wanakaa mpaka saa nane na yeye kaambiwa akafukie saa saba na isizidi muda huo, ikabidi jamaa afosi Kibishi achimbe afukie kichwa cha mbuzi, kuanzia hapo akawa anauza sana na wale ombaomba wakitoka kuomba uko mjini wananunua chakula sana. lakini Biashara za kuhusicha uganga siyo nzuri ukijisahau kwenda ku renew madawa biashara inakufa gani ukijifanya urudi kwenye mfumo wa kawaida wa biashara bila mganga biashara inakufa Fasta, yani maisha ya kutegemea waganga ni mateso na unaishi kwa hofu na mashaka ata ukikuta panya kafa tu kikawaida au ukute ata kitu kigeni maeneo ya biashara lazima utakumbilka kwa mganga. Kuna Mama mmoja mme wake hakuonekana nyumba wiki moja huyo mama ikabidi aende kwa mganga badala ya kwenda polisi au Hospitali.
Way back 2020 nilikua napitia msoto sijawahi ona katika maisha yangu hata kula ilikua tabu.
Kuna jamaa alinitapeli 200000 kwa makubaliano ya kuniingiza yapi merkezi sgr nikapige kazi .
Sina ishu yeyote mjini.
Mwenye nyumba alikua ananidai mpka mtaa mzima ulikua unajua afu alivyokua mshenzi alikua ananipigia simu kupita majirani unaona unaletewa tu simu ongea .
Ex wangu alikua ananitishia kuniroga kisa nimemchezea na kumuacha anitoge niwe maskini,nisipate mtoto na mashine isisimame.
Kuna jirani yangu alinishauri nikasafishe nyota na akanielekeza pa kwenda nilikataa mbele yake ila kiukweli nilufata ushauri wake bila yeye kujua.
Nilienda kwa mgaga kwa malengo matatu,ex wangu asiniroge na anisahau,mwenye nyumba asinidai kodi hadi nitakapoipata na mdeni wangu anilipe au anipe kazi.
Kiukweli hakuna nilichofanikiwa zaidi ya kuukimbia mji wa Morogoro
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Nisaidie kuniunganisha nipate ajira nateseka sana mwaka wa tatu huu sina kazi nna family na majukumumimi nina babu yangu na uzuri anajulikana sana sana viunga vya mwahako,mwakidila,bagamoyo na mchukuuni hata mwarongo alikotokea mama kimbo wanamjua sana sana ni maarufu
Kisa chenyewe, nina ndugu zagu arusha walikua wana jirani yao anaumwa maradhi ya kuchanganyikiwa, yan vikipanda ni wa kufunga kamba,bas sjui ilikuaje mana ilitokea tu nilimpigia kaka angummoja akanambia sista niko tanga ila niko ndani ndani maramba huku nikimaliza nitakucheki nije nyumbani tukaongea kidogo tukaagana hapo hakunambia kilichomleta tanga bila taarifa ni nini
bas sku ya pili yake akanipigia akaniambia wamemleta mtoto wa jiran yao kwa mganga lakini wapo muda karibu wiki ila hawaoni nafuu yoyote zaidi ya kupoteza pesa hapo wazo la huyo babu yangu halikunijia nikamueleza mama yangu juu ya mkasa wao mama ndio kunikumbusha akanambia kwa nini usiwapeleke kwa babu yako wakajaribu mimi sasa nikamwambia mama mh wasipofanikiwa si yatakua yale yale lakini moyo ukanisukuma wasaidie kuwapeleka
nikampigia kaka nikamwambia kam vipi waje mjini tufunge safar kwa huyo babu kweli walikuja tukaenda tukiwa mimi, kaka zangu wawili,mgonjwa na mama yake,lakini kabla hatujatoka nikampigia babu nikamuuliza kama yupo kuna watu wana shida akanambia nipo njoo tukaenda
tulimkuta nje akatukaribisha ndani tukaingia kilingeni kwake, nikawatambulisha then wakaanza kujieleza shida yao bas babu alichukua tu karatas nakalam akawa anamuangalia yule kijana anaandika akanikabidhi list akanambia hizi ni dawa nazitaka lakini utakayokosa nipigie nendeni maduka ya dawa za asili tena akanambia ziko ghali lakini kazitafteni hizo dawa , tukarudi nyumbani mimi na kaka zangu hao had ngamiani sokoni kuna duka maarufu kwa dawa za asili katika ile list kulikua na mbegu za bangi na dawa kama mbili ambazo wao hawana muuzaji akanambia hizi hatuna, palepale nikampigia babu kumpa mrejesho akanambia nunueni zilizopo hizo nyingine ntazitafuta tukanunua tusirudi nyumbani straight had kwake tukaziacha akasema njoni kesho mje chukua dawa zenu
hio siku jioni yake vikapanda ambapp kesho ndio tukachukue dawa kaka wa watu katoka barabarani ikapita carry akaipanda kwa nyuma, ifahamike huyu kaka ni mgeni, hajawah kufika tanga yeye wala mama yake, hajui anaenda wapi lakini kulikua na watu walimuona wakatupigia kelele yule mgeni wenu amepanda gar inaelekea barabara ya pangani ikabidi kaka zangu wachukue boda kuiwah wakaikuta njiani wakaipigia honi wakasimam wakamchukua mgonjwa wao wakamleta ikabidi afubgiwe chumbani, ni alikua anaongea usiku kucha ukilala ukiamka unamsikia anaongea anaitaja majina yake matatu kwa kurudia rudia kulipokucha baada ya chai tukabebana had kwa babu akapwa za kupaka,za kujifusha za kuoga za kunywa
alitumia mchana na jioni hio siku alilala vibaya mno na kule kwa babu mimi ndio nikawa nauliza tatizo nn babu akajibu huyu ana mtoto wa kijini kichwani sasa alivuta bangi na huyo jini hapatan nazo ndio anamletea hizo shida hakutaka hata mia moja alichojibu akasema akimaliza hizo dawa babu apewe taarifa kuna watu hawana ustaarabu tangu waondoke kurudi arusha had leo kimyaaaaa
Wewe mkuu si umesema mambo ya waganga uliachaNisaidie kuniunganisha nipate ajira nateseka sana mwaka wa tatu huu sina kazi nna family na majukumu
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]waje na jogoo mweupe na Mchele ulionyooka na sadaka wasisahau
Nataka kurudiàWewe mkuu si umesema mambo ya waganga uliacha
[emoji1418]Mxiyuuu! Hebu kunywa maji ulale huko!
Eti utasikia mtu nilienda kwa mganga ila saivi nimeokoka, wakati unaendelea kufanya upumbavu na matakataka yako ya ujuaji kwa kujifanya wao ndio wao eti watoto wa mjini. Hawa watu wa namna hii ni wapumbavu tu halafu wanakipawa cha kutunga stori ili akulengeshe uingie PM ujae akupige, mimi nasema hawa wote wanaofanya hivi ni makubwa jinga tu na wataendelea kubaki makubwa jinga tu kama imekuuma fanya chochote unachotaka mfyuu Mshana JrTunaojitokeza mara nilisaidiwa, mara niliacha na kurudi kwa Mungu, ni mbwembwe tu, waliokaa kimya ndio wenyewe na Siri zao.
[emoji1787]Way back 2020 nilikua napitia msoto sijawahi ona katika maisha yangu hata kula ilikua tabu.
Kuna jamaa alinitapeli 200000 kwa makubaliano ya kuniingiza yapi merkezi sgr nikapige kazi .
Sina ishu yeyote mjini.
Mwenye nyumba alikua ananidai mpka mtaa mzima ulikua unajua afu alivyokua mshenzi alikua ananipigia simu kupita majirani unaona unaletewa tu simu ongea .
Ex wangu alikua ananitishia kuniroga kisa nimemchezea na kumuacha anitoge niwe maskini,nisipate mtoto na mashine isisimame.
Kuna jirani yangu alinishauri nikasafishe nyota na akanielekeza pa kwenda nilikataa mbele yake ila kiukweli nilufata ushauri wake bila yeye kujua.
Nilienda kwa mgaga kwa malengo matatu,ex wangu asiniroge na anisahau,mwenye nyumba asinidai kodi hadi nitakapoipata na mdeni wangu anilipe au anipe kazi.
Kiukweli hakuna nilichofanikiwa zaidi ya kuukimbia mji wa Morogoro
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Way back 2020 nilikua napitia msoto sijawahi ona katika maisha yangu hata kula ilikua tabu.
Kuna jamaa alinitapeli 200000 kwa makubaliano ya kuniingiza yapi merkezi sgr nikapige kazi .
Sina ishu yeyote mjini.
Mwenye nyumba alikua ananidai mpka mtaa mzima ulikua unajua afu alivyokua mshenzi alikua ananipigia simu kupita majirani unaona unaletewa tu simu ongea .
Ex wangu alikua ananitishia kuniroga kisa nimemchezea na kumuacha anitoge niwe maskini,nisipate mtoto na mashine isisimame.
Kuna jirani yangu alinishauri nikasafishe nyota na akanielekeza pa kwenda nilikataa mbele yake ila kiukweli nilufata ushauri wake bila yeye kujua.
Nilienda kwa mgaga kwa malengo matatu,ex wangu asiniroge na anisahau,mwenye nyumba asinidai kodi hadi nitakapoipata na mdeni wangu anilipe au anipe kazi.
Kiukweli hakuna nilichofanikiwa zaidi ya kuukimbia mji wa Morogoro
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Angalizo mapema sanaAtalizwa mtu soon kwa atakaedai no. Ya simu ya Mganga
Madam naomba ni pm mawasiliano yake maana kuja mambo nahitaji kuyatatua ni magumu sana kwakwelimimi nina babu yangu na uzuri anajulikana sana sana viunga vya mwahako,mwakidila,bagamoyo na mchukuuni hata mwarongo alikotokea mama kimbo wanamjua sana sana ni maarufu
Kisa chenyewe, nina ndugu zagu arusha walikua wana jirani yao anaumwa maradhi ya kuchanganyikiwa, yan vikipanda ni wa kufunga kamba,bas sjui ilikuaje mana ilitokea tu nilimpigia kaka angummoja akanambia sista niko tanga ila niko ndani ndani maramba huku nikimaliza nitakucheki nije nyumbani tukaongea kidogo tukaagana hapo hakunambia kilichomleta tanga bila taarifa ni nini
bas sku ya pili yake akanipigia akaniambia wamemleta mtoto wa jiran yao kwa mganga lakini wapo muda karibu wiki ila hawaoni nafuu yoyote zaidi ya kupoteza pesa hapo wazo la huyo babu yangu halikunijia nikamueleza mama yangu juu ya mkasa wao mama ndio kunikumbusha akanambia kwa nini usiwapeleke kwa babu yako wakajaribu mimi sasa nikamwambia mama mh wasipofanikiwa si yatakua yale yale lakini moyo ukanisukuma wasaidie kuwapeleka
nikampigia kaka nikamwambia kam vipi waje mjini tufunge safar kwa huyo babu kweli walikuja tukaenda tukiwa mimi, kaka zangu wawili,mgonjwa na mama yake,lakini kabla hatujatoka nikampigia babu nikamuuliza kama yupo kuna watu wana shida akanambia nipo njoo tukaenda
tulimkuta nje akatukaribisha ndani tukaingia kilingeni kwake, nikawatambulisha then wakaanza kujieleza shida yao bas babu alichukua tu karatas nakalam akawa anamuangalia yule kijana anaandika akanikabidhi list akanambia hizi ni dawa nazitaka lakini utakayokosa nipigie nendeni maduka ya dawa za asili tena akanambia ziko ghali lakini kazitafteni hizo dawa , tukarudi nyumbani mimi na kaka zangu hao had ngamiani sokoni kuna duka maarufu kwa dawa za asili katika ile list kulikua na mbegu za bangi na dawa kama mbili ambazo wao hawana muuzaji akanambia hizi hatuna, palepale nikampigia babu kumpa mrejesho akanambia nunueni zilizopo hizo nyingine ntazitafuta tukanunua tusirudi nyumbani straight had kwake tukaziacha akasema njoni kesho mje chukua dawa zenu
hio siku jioni yake vikapanda ambapp kesho ndio tukachukue dawa kaka wa watu katoka barabarani ikapita carry akaipanda kwa nyuma, ifahamike huyu kaka ni mgeni, hajawah kufika tanga yeye wala mama yake, hajui anaenda wapi lakini kulikua na watu walimuona wakatupigia kelele yule mgeni wenu amepanda gar inaelekea barabara ya pangani ikabidi kaka zangu wachukue boda kuiwah wakaikuta njiani wakaipigia honi wakasimam wakamchukua mgonjwa wao wakamleta ikabidi afubgiwe chumbani, ni alikua anaongea usiku kucha ukilala ukiamka unamsikia anaongea anaitaja majina yake matatu kwa kurudia rudia kulipokucha baada ya chai tukabebana had kwa babu akapwa za kupaka,za kujifusha za kuoga za kunywa
alitumia mchana na jioni hio siku alilala vibaya mno na kule kwa babu mimi ndio nikawa nauliza tatizo nn babu akajibu huyu ana mtoto wa kijini kichwani sasa alivuta bangi na huyo jini hapatan nazo ndio anamletea hizo shida hakutaka hata mia moja alichojibu akasema akimaliza hizo dawa babu apewe taarifa kuna watu hawana uustaar