Umeshawahi kusaidiwa nini na mganga ukaona kabisa mganga wako fundi?

Umeshawahi kusaidiwa nini na mganga ukaona kabisa mganga wako fundi?

True story ya rafiki yangu


Aliibiwa pikipiki,tv,simu na mazagazaga ya ndani hapo morogoro.

Basi akapiga simu kwao iringa mufindi huko...
Wakamwambia aende..basi alivyofika wakamuelekeza kwenye nyumba ya mzee mmoja hivi..

Kufika mzee yule,akamkuta anapalilia mahindi.

Kijana vip? fresh shikamoo,marhaba.

Mzee nimeibiwa vitu vyangu...

Unatakaje??virudi

Mzee akamwambia kanunue kuku mweusi au km hutaki usumbufu toA 6000 nikupe huyu wangu..

Jamaa akatoa 6000..

Mzee akakamata kuku pale pale nje,akamshikisha mkono..Akaongea maneno yake weeee badae akamchukua yule kuku akamshika yeye, Akaongea maneno yake weeee..

Akamrusha yule kuku akatua chini akafa hapo hapo..

Mzee akamwambia nenda siku utakayoona nyoka mkubwa nyumbani kwako basi ndo siku vitu vyako vitarudi...usimuue.. sawa sawa

Nikulipe nini,vikirudi utatuma shukrani kwenye namba hii ya mjukuu wangu....

Sasa jamaa njiani anawaza nimetoka morogoro halafu nakuja kuishia nje tu kwa mzee hata dawa hatujachanganya akawa anahisi uongo uongo..

Basi akarudi kwao then akaenda zake Moro..

Nyuma ya nyumba alikuwa anafuga kuku ,Kila asubuh anawalisha,siku ya 4 akiwa analisha kuku akaona bongee la nyoka ile kukimbia ndani kufuata zana za kazi ndo akakumbuka kuhusu Yale maneno ya mzee basi akaweka silaha chini kurudi nje nyoka hamuoni...

Mchana mchana madogo 4 wamekuja na pikipiki na vitu vyake vyote wanalia nakuomba msamaha basi akawapiga fine tu 300k Kila dogo..Yakaisha hivyo...
Bonge Boy Kivule hapo aliibiwa Pikipiki ikapelekwa Arusha baada SIKU kadhaa anapigiwa simu ,kaka we ndo bonge Boy tafadhali Kuna chalii wameiba Pikipiki wakapeleka Arusha wanaomba warudishe na faini unayotaka wewe
 
Aaaah bro tunaomba uendeleee mkuuu pliiiiiiiiiiz tunaomba.
Mkuu ni hbri ndefu na mimi cyo story taller mzuri kwa maana ya maandishi na mda wangu pia ni mchache, nilimuuliza yule Mganga (Bibi) kwa nini nitembee kwa miguu mpka vijiji vyote hivyo na hela ninayo? Aliniambia inabidi nitembee! Nitakapokamilisha zoezi la kulala kwa wale mabinti wawili gari gari itanichukua kutokea hpo mpka ninapoenda! Na wala sitadaiwa nauli! Na itakua ni gari ndogo! ------ LKN NIKITHUBUTU KUFANYA MAPENZI NA WALE MABINTI YOTE NITAYAKOSA!-PMJA NA SHIDA ILIYONIPELEKA SITAFANIKIWA!
 
Mkuu ni hbri ndefu na mimi cyo story taller mzuri kwa maana ya maandishi na mda wangu pia ni mchache, nilimuuliza yule Mganga (Bibi) kwa nini nitembee kwa miguu mpka vijiji vyote hivyo na hela ninayo? Aliniambia inabidi nitembee! Nitakapokamilisha zoezi la kulala kwa wale mabinti wawili gari gari itanichukua kutokea hpo mpka ninapoenda! Na wala sitadaiwa nauli! Na itakua ni gari ndogo! ------ LKN NIKITHUBUTU KUFANYA MAPENZI NA WALE MABINTI YOTE NITAYAKOSA!-PMJA NA SHIDA ILIYONIPELEKA SITAFANIKIWA!

angalia inbox yako
 
Niliacha kazi nikawa home tu sina mbele wala nyuma, maisha yameninyoosha kisawasawa. Nikawa mshkaji wa kijiweni tu nimenyonda atari, washkaji wananinyanyapaa usiombe.
Kuna jirani chinga kila akipita ananiona nimejiinamia mande to sande. Ikabidi aje tupige story. We si umesoma sana? Nikamwambia kawaida tu. Basi akawa rafiki yangu alinikubali tu na hali yangu. Ananipeleka sehemu tunamwagilia moyo kiroho safi kifupi akawa best.
Ndio siku akafunguka akanipa kontack na bibi Liwale. Nenda kaweke mambo sawa. Kwakua alishakua mshkaji sikutaka kumdissappoint na nauli alinipa. Nikapanga safari huyoo kwa bibi liwalee.
Bibi kafanya yake hakudai hata sumni ila kanichimba beat tu nikifanikiwa nisiporudi imekula kwangu.
Ndani ya wiki tu napigiwa simu niende sehemu nikafanyiwe intavyuu sikumbuki niliomba lini. Kufika intavyua anajigamba kabisaa kua ananijua ila sometimes anajistukia anasema umeletwa na Boss? Kumbe hata boss mwenyewe simjui.
Nikala shavu kimasikhara nikampigia bibi sikusubiri hata kumaliza mwezi nipate salary, nilikopa nikaenda kwa bibi nikampa asante yake nikarudi zangu.
Salary ilivyoingia nikamtafuta rafiki yangu chinga tulikunywa sanaaa siku ile nikajua itakua ni siku ile tu. Kumbe chinga naye kwa furaha akipata mkwanja lazima anicheki tukagambeke.
Maisha yakawa gambe ile deile, mpaka nilivyohama kazi nyingine mbali na rafiki yangu chinga.
Huyo mganga yuko wapi na anaitwa nani
 
Nilikuwa nasafirisha mkaa mpaka dar bila vibali!

Nikikaa mbele ya gari trafiki na watu wa maliasili hawaioni gari mpaka Dar.

Kwa nin niliacha....with time mganga aliniambia kwa sasa nadaiwa sadaka ya damu ya mbuzi watatu, nikatoa
Baadae akaniambia nipate mimba niitoe nimpelekee.

NIKACHAPA LAPA ILA NILIZULUMIWA HELA, VIWANJA, GARI nikabaki kama mwanafunzi wa secondary

Namshukuru MUNGU nimeanza upya bila ndumba
Nyongeza: Kwa huyo mganga nilikutana na vigogo kadhaa wa mashirika na idara za serikali na NGO ...wakuu wa vyombo vya usalama.

UNAJUA KWA NIN WATU WANANUNUA VX?

UKIONA mtu ana Vx posta anatoka kazini saa 9:30 anakimbia kwa mganga , anajigangua asubuhi saa tisa ,kumi anaanza Safari kurudi kazini.

Nilishangaa kuona VX kibao zikiingia usiku nikawauliza hawa wote ni watoto wa hiki kijiji, mmebarikiwa...jibu hawa ni mabosi na vigogo wa posta.
Duh...
 
Ilikuwa Ujiji. Nimepigika kinyama mimi na mwanangu Q. Ghafla mbele yangu naona bango la Uganga, kwa maelekezo hakukuwa mbali na pale. Tunafika tunapisha na wateja ( kama sikosei ni mtu na wakeze ).
Yule Mganga alikuwa ni mwanamke! Basi baada ya salam akaanza makeke yake, shida zetu akazipatia Mule mule toka mwanzo wa Safari yetu mpaka ile siku tunafika kwake! Shida ikawa moja tu! Anataka 40000, sasa nikajiuliza yaani huyu Bazazi ameona yoote lakini kashindwa kujua kama hatuna ata mia? Nikamwambia fresh Mmama we tufanyie kazi sisi tutakupa 60000 sio hiyo 40000, basi ile kainuka tu kuingia ndani kuchukua madubwana yake, mimi nikakusanya pesa 45000 zilikuwa pale kwenye ungo na kinokia Obama nikamwambia Q mwanangu hii nauli tusepe. Tukatokomea hivyo yaani mpaka Mwaloni. Tukauza kale kanokia 15000 jumla tukawa na 60, tukala 7000, tukalipia boti 6000 kwa kila mmoja. Kufika mbele mbele huko kuna kijiji kipo ndani ya Gombe, mida ya saa 1:30 ile Boti inazama, tunatumbukia kwenye lile ziwa, maji naanza kuyaona meusi mwanangu hajui kuogelea anakaba shingoni anaogopa kufa, hali inazidi kuwa tete kila nikijitahid anishike japo ukosi wa shati yule maaluni kakaza kabali......sitosahau. yule mama alitupiga kitu kizoto. Siiendelezi naishia hapa.
🤣🤣🤣
 
mimi nina babu yangu na uzuri anajulikana sana sana viunga vya mwahako,mwakidila,bagamoyo na mchukuuni hata mwarongo alikotokea mama kimbo wanamjua sana sana ni maarufu

Kisa chenyewe, nina ndugu zagu arusha walikua wana jirani yao anaumwa maradhi ya kuchanganyikiwa, yan vikipanda ni wa kufunga kamba,bas sjui ilikuaje mana ilitokea tu nilimpigia kaka angummoja akanambia sista niko tanga ila niko ndani ndani maramba huku nikimaliza nitakucheki nije nyumbani tukaongea kidogo tukaagana hapo hakunambia kilichomleta tanga bila taarifa ni nini

bas sku ya pili yake akanipigia akaniambia wamemleta mtoto wa jiran yao kwa mganga lakini wapo muda karibu wiki ila hawaoni nafuu yoyote zaidi ya kupoteza pesa hapo wazo la huyo babu yangu halikunijia nikamueleza mama yangu juu ya mkasa wao mama ndio kunikumbusha akanambia kwa nini usiwapeleke kwa babu yako wakajaribu mimi sasa nikamwambia mama mh wasipofanikiwa si yatakua yale yale lakini moyo ukanisukuma wasaidie kuwapeleka

nikampigia kaka nikamwambia kam vipi waje mjini tufunge safar kwa huyo babu kweli walikuja tukaenda tukiwa mimi, kaka zangu wawili,mgonjwa na mama yake,lakini kabla hatujatoka nikampigia babu nikamuuliza kama yupo kuna watu wana shida akanambia nipo njoo tukaenda

tulimkuta nje akatukaribisha ndani tukaingia kilingeni kwake, nikawatambulisha then wakaanza kujieleza shida yao bas babu alichukua tu karatas nakalam akawa anamuangalia yule kijana anaandika akanikabidhi list akanambia hizi ni dawa nazitaka lakini utakayokosa nipigie nendeni maduka ya dawa za asili tena akanambia ziko ghali lakini kazitafteni hizo dawa , tukarudi nyumbani mimi na kaka zangu hao had ngamiani sokoni kuna duka maarufu kwa dawa za asili katika ile list kulikua na mbegu za bangi na dawa kama mbili ambazo wao hawana muuzaji akanambia hizi hatuna, palepale nikampigia babu kumpa mrejesho akanambia nunueni zilizopo hizo nyingine ntazitafuta tukanunua tusirudi nyumbani straight had kwake tukaziacha akasema njoni kesho mje chukua dawa zenu

hio siku jioni yake vikapanda ambapp kesho ndio tukachukue dawa kaka wa watu katoka barabarani ikapita carry akaipanda kwa nyuma, ifahamike huyu kaka ni mgeni, hajawah kufika tanga yeye wala mama yake, hajui anaenda wapi lakini kulikua na watu walimuona wakatupigia kelele yule mgeni wenu amepanda gar inaelekea barabara ya pangani ikabidi kaka zangu wachukue boda kuiwah wakaikuta njiani wakaipigia honi wakasimam wakamchukua mgonjwa wao wakamleta ikabidi afubgiwe chumbani, ni alikua anaongea usiku kucha ukilala ukiamka unamsikia anaongea anaitaja majina yake matatu kwa kurudia rudia kulipokucha baada ya chai tukabebana had kwa babu akapwa za kupaka,za kujifusha za kuoga za kunywa

alitumia mchana na jioni hio siku alilala vibaya mno na kule kwa babu mimi ndio nikawa nauliza tatizo nn babu akajibu huyu ana mtoto wa kijini kichwani sasa alivuta bangi na huyo jini hapatan nazo ndio anamletea hizo shida hakutaka hata mia moja alichojibu akasema akimaliza hizo dawa babu apewe taarifa kuna watu hawana ustaarabu tangu waondoke kurudi arusha had leo kimyaaaaa
 
Naomba hapa wale watembea kwa sangoma mtoe shuhuda zenu mliyokutana nayo kwa waganga na toka umeanza kwenda Mganga.

Alikusaidia nini ukaona kabisa shida yako imetatuliwa kwa nguvu ya mganga.

Ikiwezekana mtaje mganga alipo na wengine wakauone uwezo wake
Upuuuuizi.. Huyo unayemuona fundi mwenyewe hawezi kujisaidia atakusaidiaje zaidi ya kutumia ujinga wako kukushawishi au kukaanga samaki kwa mafuta yake?
 
Liwale bwana waganga wakikupenda wanakusaidia ila kama wakikupenda majini Yao wanakusahaulisha kabisaa usiende kusema ahsantee Ili wakutoe kafara ya damu
Yeah nilikua naona ajabu alipokuwa anatoa ushuhuda kuna watu aliwasaidia halafu wakafanikiwa na wasirudi kusema asante .
Hili ni kweli kabisa.
Nb wanaozama pm. Mimi niliacha haya mambo, nilifanya tu once. Ila sasa nimeomba toba. Hata hivyo ni siku nyingi na nilishapoteza kontakt na huyo bibi.
 
mimi nina babu yangu na uzuri anajulikana sana sana viunga vya mwahako,mwakidila,bagamoyo na mchukuuni hata mwarongo alikotokea mama kimbo wanamjua sana sana ni maarufu

Kisa chenyewe, nina ndugu zagu arusha walikua wana jirani yao anaumwa maradhi ya kuchanganyikiwa, yan vikipanda ni wa kufunga kamba,bas sjui ilikuaje mana ilitokea tu nilimpigia kaka angummoja akanambia sista niko tanga ila niko ndani ndani maramba huku nikimaliza nitakucheki nije nyumbani tukaongea kidogo tukaagana hapo hakunambia kilichomleta tanga bila taarifa ni nini

bas sku ya pili yake akanipigia akaniambia wamemleta mtoto wa jiran yao kwa mganga lakini wapo muda karibu wiki ila hawaoni nafuu yoyote zaidi ya kupoteza pesa hapo wazo la huyo babu yangu halikunijia nikamueleza mama yangu juu ya mkasa wao mama ndio kunikumbusha akanambia kwa nini usiwapeleke kwa babu yako wakajaribu mimi sasa nikamwambia mama mh wasipofanikiwa si yatakua yale yale lakini moyo ukanisukuma wasaidie kuwapeleka

nikampigia kaka nikamwambia kam vipi waje mjini tufunge safar kwa huyo babu kweli walikuja tukaenda tukiwa mimi, kaka zangu wawili,mgonjwa na mama yake,lakini kabla hatujatoka nikampigia babu nikamuuliza kama yupo kuna watu wana shida akanambia nipo njoo tukaenda

tulimkuta nje akatukaribisha ndani tukaingia kilingeni kwake, nikawatambulisha then wakaanza kujieleza shida yao bas babu alichukua tu karatas nakalam akawa anamuangalia yule kijana anaandika akanikabidhi list akanambia hizi ni dawa nazitaka lakini utakayokosa nipigie nendeni maduka ya dawa za asili tena akanambia ziko ghali lakini kazitafteni hizo dawa , tukarudi nyumbani mimi na kaka zangu hao had ngamiani sokoni kuna duka maarufu kwa dawa za asili katika ile list kulikua na mbegu za bangi na dawa kama mbili ambazo wao hawana muuzaji akanambia hizi hatuna, palepale nikampigia babu kumpa mrejesho akanambia nunueni zilizopo hizo nyingine ntazitafuta tukanunua tusirudi nyumbani straight had kwake tukaziacha akasema njoni kesho mje chukua dawa zenu

hio siku jioni yake vikapanda ambapp kesho ndio tukachukue dawa kaka wa watu katoka barabarani ikapita carry akaipanda kwa nyuma, ifahamike huyu kaka ni mgeni, hajawah kufika tanga yeye wala mama yake, hajui anaenda wapi lakini kulikua na watu walimuona wakatupigia kelele yule mgeni wenu amepanda gar inaelekea barabara ya pangani ikabidi kaka zangu wachukue boda kuiwah wakaikuta njiani wakaipigia honi wakasimam wakamchukua mgonjwa wao wakamleta ikabidi afubgiwe chumbani, ni alikua anaongea usiku kucha ukilala ukiamka unamsikia anaongea anaitaja majina yake matatu kwa kurudia rudia kulipokucha baada ya chai tukabebana had kwa babu akapwa za kupaka,za kujifusha za kuoga za kunywa

alitumia mchana na jioni hio siku alilala vibaya mno na kule kwa babu mimi ndio nikawa nauliza tatizo nn babu akajibu huyu ana mtoto wa kijini kichwani sasa alivuta bangi na huyo jini hapatan nazo ndio anamletea hizo shida hakutaka hata mia moja alichojibu akasema akimaliza hizo dawa babu apewe taarifa kuna watu hawana ustaarabu tangu waondoke kurudi arusha had leo kimyaaaaa
Watu wa Arusha na ustaarabu ni kushoto na kulia na kupitia hao watu waso na shukrani ndo maana waganga siku hzi wamekuja na gharama plus Uongo Uongo anakupa tibu nusu usipone

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
mimi nina babu yangu na uzuri anajulikana sana sana viunga vya mwahako,mwakidila,bagamoyo na mchukuuni hata mwarongo alikotokea mama kimbo wanamjua sana sana ni maarufu

Kisa chenyewe, nina ndugu zagu arusha walikua wana jirani yao anaumwa maradhi ya kuchanganyikiwa, yan vikipanda ni wa kufunga kamba,bas sjui ilikuaje mana ilitokea tu nilimpigia kaka angummoja akanambia sista niko tanga ila niko ndani ndani maramba huku nikimaliza nitakucheki nije nyumbani tukaongea kidogo tukaagana hapo hakunambia kilichomleta tanga bila taarifa ni nini

bas sku ya pili yake akanipigia akaniambia wamemleta mtoto wa jiran yao kwa mganga lakini wapo muda karibu wiki ila hawaoni nafuu yoyote zaidi ya kupoteza pesa hapo wazo la huyo babu yangu halikunijia nikamueleza mama yangu juu ya mkasa wao mama ndio kunikumbusha akanambia kwa nini usiwapeleke kwa babu yako wakajaribu mimi sasa nikamwambia mama mh wasipofanikiwa si yatakua yale yale lakini moyo ukanisukuma wasaidie kuwapeleka

nikampigia kaka nikamwambia kam vipi waje mjini tufunge safar kwa huyo babu kweli walikuja tukaenda tukiwa mimi, kaka zangu wawili,mgonjwa na mama yake,lakini kabla hatujatoka nikampigia babu nikamuuliza kama yupo kuna watu wana shida akanambia nipo njoo tukaenda

tulimkuta nje akatukaribisha ndani tukaingia kilingeni kwake, nikawatambulisha then wakaanza kujieleza shida yao bas babu alichukua tu karatas nakalam akawa anamuangalia yule kijana anaandika akanikabidhi list akanambia hizi ni dawa nazitaka lakini utakayokosa nipigie nendeni maduka ya dawa za asili tena akanambia ziko ghali lakini kazitafteni hizo dawa , tukarudi nyumbani mimi na kaka zangu hao had ngamiani sokoni kuna duka maarufu kwa dawa za asili katika ile list kulikua na mbegu za bangi na dawa kama mbili ambazo wao hawana muuzaji akanambia hizi hatuna, palepale nikampigia babu kumpa mrejesho akanambia nunueni zilizopo hizo nyingine ntazitafuta tukanunua tusirudi nyumbani straight had kwake tukaziacha akasema njoni kesho mje chukua dawa zenu

hio siku jioni yake vikapanda ambapp kesho ndio tukachukue dawa kaka wa watu katoka barabarani ikapita carry akaipanda kwa nyuma, ifahamike huyu kaka ni mgeni, hajawah kufika tanga yeye wala mama yake, hajui anaenda wapi lakini kulikua na watu walimuona wakatupigia kelele yule mgeni wenu amepanda gar inaelekea barabara ya pangani ikabidi kaka zangu wachukue boda kuiwah wakaikuta njiani wakaipigia honi wakasimam wakamchukua mgonjwa wao wakamleta ikabidi afubgiwe chumbani, ni alikua anaongea usiku kucha ukilala ukiamka unamsikia anaongea anaitaja majina yake matatu kwa kurudia rudia kulipokucha baada ya chai tukabebana had kwa babu akapwa za kupaka,za kujifusha za kuoga za kunywa

alitumia mchana na jioni hio siku alilala vibaya mno na kule kwa babu mimi ndio nikawa nauliza tatizo nn babu akajibu huyu ana mtoto wa kijini kichwani sasa alivuta bangi na huyo jini hapatan nazo ndio anamletea hizo shida hakutaka hata mia moja alichojibu akasema akimaliza hizo dawa babu apewe taarifa kuna watu hawana ustaarabu tangu waondoke kurudi arusha had leo kimyaaaaa

pm yako umefunga __naomba connection yahuyo babu
 
Yeah nilikua naona ajabu alipokuwa anatoa ushuhuda kuna watu aliwasaidia halafu wakafanikiwa na wasirudi kusema asante .
Hili ni kweli kabisa.
Nb wanaozama pm. Mimi niliacha haya mambo, nilifanya tu once. Ila sasa nimeomba toba. Hata hivyo ni siku nyingi na nilishapoteza kontakt na huyo bibi.
Ndo ilivyo Sio Kwa akili zao ila ni kama wanasahaulishwa ,kulikua na Mzee mmoja mtwara,alikua anauza genge akaenda ngende alipofika akaambiwa akifanikiwa apeleke ahsantee Kwa muda aliopangiwa,ikawa Kila akitaka aende basi anasahaulishwa nafsi inamuambia ataenda ataenda ,ila pale gengeni alikua anaingiza pesa nyingi sana Kwa siku ,akajenga nyumba ,akannua Pikipiki ,muda wa wale kumtoa kafara ulipofika Sasa akaja Simba siku hyo akanguruma pale akazunguka nyumba akaondoka,mara ya pili akaja nguruwe ,mara ya mwisho akaja nyoka mkubwa akazunguka akaondoka walikua wanakuja usiku
Mwisho akaanza kuumwa akienda hosp hamna kitu,akahangaika sana mwisho akaenda Kwa waganga wa mwisho akawaambia Ndugu zake Ndugu yenu ameenda ng'ende huyu hatapona wanamchukua wenyewe,akasema kweli ikabidi waende liwale kufika akaambiwa kachelewa tayari,akafa yule baba na Kila kitu kikafa

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Niliacha kazi nikawa home tu sina mbele wala nyuma, maisha yameninyoosha kisawasawa. Nikawa mshkaji wa kijiweni tu nimenyonda atari, washkaji wananinyanyapaa usiombe.
Kuna jirani chinga kila akipita ananiona nimejiinamia mande to sande. Ikabidi aje tupige story. We si umesoma sana? Nikamwambia kawaida tu. Basi akawa rafiki yangu alinikubali tu na hali yangu. Ananipeleka sehemu tunamwagilia moyo kiroho safi kifupi akawa best.
Ndio siku akafunguka akanipa kontack na bibi Liwale. Nenda kaweke mambo sawa. Kwakua alishakua mshkaji sikutaka kumdissappoint na nauli alinipa. Nikapanga safari huyoo kwa bibi liwalee.
Bibi kafanya yake hakudai hata sumni ila kanichimba beat tu nikifanikiwa nisiporudi imekula kwangu.
Ndani ya wiki tu napigiwa simu niende sehemu nikafanyiwe intavyuu sikumbuki niliomba lini. Kufika intavyua anajigamba kabisaa kua ananijua ila sometimes anajistukia anasema umeletwa na Boss? Kumbe hata boss mwenyewe simjui.
Nikala shavu kimasikhara nikampigia bibi sikusubiri hata kumaliza mwezi nipate salary, nilikopa nikaenda kwa bibi nikampa asante yake nikarudi zangu.
Salary ilivyoingia nikamtafuta rafiki yangu chinga tulikunywa sanaaa siku ile nikajua itakua ni siku ile tu. Kumbe chinga naye kwa furaha akipata mkwanja lazima anicheki tukagambeke.
Maisha yakawa gambe ile deile, mpaka nilivyohama kazi nyingine mbali na rafiki yangu chinga.
Aliyekuja kwenye PM yako imekula kwake. Ila una kipawa kizuri sana cha usimulizi na utungaji wa hadithi
 
Back
Top Bottom