Umeshawahi kusaidiwa nini na mganga ukaona kabisa mganga wako fundi?

Umeshawahi kusaidiwa nini na mganga ukaona kabisa mganga wako fundi?

Watu wa Arusha na ustaarabu ni kushoto na kulia na kupitia hao watu waso na shukrani ndo maana waganga siku hzi wamekuja na gharama plus Uongo Uongo anakupa tibu nusu usipone

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
kupitia kaka zangu ndio nikawa nawauliza anaendeleaje wanajibu mzima sku hizi havijatibuka ikaishia hivyo lakini yeye na mama yake hakuna aliepiga sim hakuna alieuliza chochote na nachojiuliza waliambiwa kuna dawa zingine ajabu hawajaulizia hata na mimi nimepotezea ni muda mref umepita sasa
 
Inalogwa ila system ya kibenki iliasisiwa na Illuminati wa kiyahudi na ndio wanamiliki pamoja na zile familia nyingine za uingereza asilimia zaidi ya 90 ya uchumi wa Dunia nzima.

Hiyo familia iliyoanzisha Banking system inaitwa Rothschild. Tukirud kwenye suala lako la Bank hailogwi ni sawa na mchezaji wa timu ya Mkoa wowote Tanzania. Ambayo haijafuzu hata ligi kuu Ya Bara kutaka kucheza na Real madrid, ama Arsenal.

Dunia ina siri nzito sana sana sana.
Wewe umejuaje?
 
Naomba hapa wale watembea kwa sangoma mtoe shuhuda zenu mliyokutana nayo kwa waganga na toka umeanza kwenda Mganga.

Alikusaidia nini ukaona kabisa shida yako imetatuliwa kwa nguvu ya mganga.

Ikiwezekana mtaje mganga alipo na wengine wakauone uwezo wake
Kuna mtu mashuhuri kwlei enzi za magu aliletewa zengwe, mtadhani nawaseti ila ni true story alienda kwa mtaalam mmoja mimi kumuona sikuamini mama nakutana nae wakati nilizoea kumuona kwenye tv😂

Haikuchukua muda mrefu lile zengwe liliondoka jamani

Nimewashuhudia wakurugenzi na mke wa balozi mmoja akiwa kwa mtaalam kuset mambo yake😂
Sooo truee
 
Back
Top Bottom