Hope urassa
JF-Expert Member
- Aug 22, 2017
- 4,230
- 10,650
Kwa Nini Tena unamtuhumu?Narudia tena Mshana Jr hana lolote na hatowahi kua na chochote kile ni yule aliye kwenye msafara wa mamba na kenge wapo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa Nini Tena unamtuhumu?Narudia tena Mshana Jr hana lolote na hatowahi kua na chochote kile ni yule aliye kwenye msafara wa mamba na kenge wapo
Miafrika ukiiambia story za ushirikika inaamini moja kwa moja no reasoning at all whatsoever.
View attachment 2495766
Mkuu Mimi bibi yangu mzaa mama alijitibu mwenyewe vidonda vya tumbo Sasa hivi anakula vyakula vyote na Hana vidonda tena yeye sio mganga Hana kibuyu Wala majini ila Kuna aina ya magonywa anaweza kuyatibu Tena Kwa mda mfupi sana Sasa ili kuwahakikishia Hilo nitatoa namba zake Kwa mwenye shida zifuatazo pumu watoto na watu wazima wadada wanaopata mimba zinatoka baada ya muda mfupi vidonda vya tumbo ngiri au mwenye shida ya korodani moja kuvimba vyote nilivyoeleza Nimeshuhudia akiwasaidia watu na wakapona kabisa ndani ya week moja mgonywa wa vidonda ataweza kula maharage week moja pia ishu ya mimba Nina ushahidi usio na shaka kama yupo humu mwenye shida moja wapo nilizotaja Niko tayari kumuungansha nae asipopona aje kunizodoa hapa hapa kwenye huu Uzi yeye anapatikana kilimanjaro ingependeza kama Kuna mtu aliko kilimanjaro nimwelekeze anako ishi Sababu ni maarufu kidogo Kwa ishu hizo note yeye hafanyi Bure anachaji kitu kinaitwa kinda pori sababu yeye ni mkulima anaacha kazi zake anaingia porini kutafuta dawa Hana dawa ya mvuto Hana dawa ya mapenzi Hana dawa ya nuksu hatoi majini Hana limbwata Hana dawa ya utajiri ila yeye ana tibu magonywa Zaid na Hana tamaaUpuuuuizi.. Huyo unayemuona fundi mwenyewe hawezi kujisaidia atakusaidiaje zaidi ya kutumia ujinga wako kukushawishi au kukaanga samaki kwa mafuta yake?
Hamna msaada kwa mganga w kienyejiNaomba hapa wale watembea kwa sangoma mtoe shuhuda zenu mliyokutana nayo kwa waganga na toka umeanza kwenda Mganga.
Alikusaidia nini ukaona kabisa shida yako imetatuliwa kwa nguvu ya mganga.
Ikiwezekana mtaje mganga alipo na wengine wakauone uwezo wake
Watakuja usijalinjoo huku kwa wasukuma.... maswa, nikuoneshe konk, wateja watakuja kwenye biashara yako kama mvua, ukitoka dukani watakusubir. ukija niandalie pesa ya maji,maana naacha kaz zangu
Navosumbuliwa na madonda anapatkana klmanjaro sehem ganMkuu Mimi bibi yangu mzaa mama alijitibu mwenyewe vidonda vya tumbo Sasa hivi anakula vyakula vyote na Hana vidonda tena yeye sio mganga Hana kibuyu Wala majini ila Kuna aina ya magonywa anaweza kuyatibu Tena Kwa mda mfupi sana Sasa ili kuwahakikishia Hilo nitatoa namba zake Kwa mwenye shida zifuatazo pumu watoto na watu wazima wadada wanaopata mimba zinatoka baada ya muda mfupi vidonda vya tumbo ngiri au mwenye shida ya korodani moja kuvimba vyote nilivyoeleza Nimeshuhudia akiwasaidia watu na wakapona kabisa ndani ya week moja mgonywa wa vidonda ataweza kula maharage week moja pia ishu ya mimba Nina ushahidi usio na shaka kama yupo humu mwenye shida moja wapo nilizotaja Niko tayari kumuungansha nae asipopona aje kunizodoa hapa hapa kwenye huu Uzi yeye anapatikana kilimanjaro ingependeza kama Kuna mtu aliko kilimanjaro nimwelekeze anako ishi Sababu ni maarufu kidogo Kwa ishu hizo note yeye hafanyi Bure anachaji kitu kinaitwa kinda pori sababu yeye ni mkulima anaacha kazi zake anaingia porini kutafuta dawa Hana dawa ya mvuto Hana dawa ya mapenzi Hana dawa ya nuksu hatoi majini Hana limbwata Hana dawa ya utajiri ila yeye ana tibu magonywa Zaid na Hana tamaa
Kilimanjaro wilaya ya Moshi mkuuNavosumbuliwa na madonda anapatkana klmanjaro sehem gan
Sjakupa namba mkuu?toa connection mkuu
Moshi bado kubwa mkuu kijiji kipiKilimanjaro wilaya ya Moshi mkuu
Umefunga Pm MadamMungu awafanyie wepesi
Moshi vijijini Kijiji kinaitwa shiaMoshi bado kubwa mkuu kijiji kipi
Wapi uko mzee?? Yaani ukiongelesha demu hachomoi?alinipa mafuta ya mvuto huyu jamaa, nikiongea na hizi pisi hazichomoi, nikamfuata tena nikamwambia nipe ya biashara akanambia ni hyohyo dogo we unachotakiwa ni kunuia tu unachotaka, aisee we acha tu hii dunia ina maajabu mengi sana
Kama unatoka Moshi mjini unaelekea kama ukuja DSM unashuka kituon kinaitwa mjohoroni au ufundi unapanda boda ya buku mpaka anako ishiDuh hapo sjui unafkia wapi unatokea wap
Mimi nina sheikh wangu mmoja hapo Magomeni Mwembe Chai, ni noma kishenzi. Yeye hakopeshi, ukitaka kuua mtu au kumpa mtu laana ya kuokota makopo anakuambia niletee kuku tu au nyama kilo mbili ale na familia yake.....anadedisha mtu bila hata huruma.Naomba hapa wale watembea kwa sangoma mtoe shuhuda zenu mliyokutana nayo kwa waganga na toka umeanza kwenda Mganga.
Alikusaidia nini ukaona kabisa shida yako imetatuliwa kwa nguvu ya mganga.
Ikiwezekana mtaje mganga alipo na wengine wakauone uwezo wake
Nimeamini sehemu watu wanapenda sana dini si sehemu shwari kuishi.....Kilimanjaro watu ni washirikina mno sijapata ona jamani. Zamani nilikuwa naamini kuwa wachagga si wachawi kumbe ni kinyume na hivyo....Kina Harawa jamani ni noma hawa watu.Kilimanjaro wilaya ya Moshi mkuu
Sema hujampata tu ambaye ni fundi siamini katika Ushirikina lakin uchawi upoWaganga ni takataka,
Humu Kuna mabingwa wa kujifanya wanaelewa Sana mambo. Ya waganga, hata kama ni nani wa humu ,jihadhari hawana lolote ni matapeli TU.
Hongera. Hicho ni kitu kizuri sana.Binafsi nimeacha nimekoka naamini Mungu Mmoja asiye na shaka ndani yake Kwa Sasa nikiambiwa nichague shirk na kufa ntachagua kufa kuliko shirk
Naona mganga ana Google majibu ya ramli huku akishushia kabia bariiidiiii