Umeshawahi kusaidiwa nini na mganga ukaona kabisa mganga wako fundi?

Umeshawahi kusaidiwa nini na mganga ukaona kabisa mganga wako fundi?

Wee jamaa muongo sana kama yule wa igizo la MANENO KUMI
Nikuweke kundi lipi we jamaa?
Vyovyote unavyoona wewe ni sawa. Kwa sababu sikuandika kwa kutaka sifa na wala sijataka kuendelea kwa sababu niliyoyafanya ktk Maisha nayajua mwenyewe na bado naishi, haina Maana ya kukusimulia wewe kila kitu ama nikulazimishe nyuma ya keyboard uniamini, ili iweje? Kuniita Muongo na hujui Hustling za wengine ni Upuuzi..watu wana mavitu ya kishenzi, kibishi, kinyama, kipumbavu, ko akili, ufedhuli na kila aina ya ambayo hujawahi ata kujaribu kufanya, wameyazika na wametulia tuli wanakuchora tu. Watu hubadilika, usichukulie watu kirahisi inaweza kukuponza, labda kama utaishi na wazazi wako tu. Jiongeze
 
Nikuweke kundi lipi we jamaa?
Vyovyote unavyoona wewe ni sawa. Kwa sababu sikuandika kwa kutaka sifa na wala sijataka kuendelea kwa sababu niliyoyafanya ktk Maisha nayajua mwenyewe na bado naishi, haina Maana ya kukusimulia wewe kila kitu ama nikulazimishe nyuma ya keyboard uniamini, ili iweje? Kuniita Muongo na hujui Hustling za wengine ni Upuuzi..watu wana mavitu ya kishenzi, kibishi, kinyama, kipumbavu, ko akili, ufedhuli na kila aina ya ambayo hujawahi ata kujaribu kufanya, wameyazika na wametulia tuli wanakuchora tu. Watu hubadilika, usichukulie watu kirahisi inaweza kukuponza, labda kama utaishi na wazazi wako tu. Jiongeze
Mkuu acha kuchukulia vitu personal hiyo COMMENT ni ya utani kabisa kama umeelewa kiboyo ni wewe...

Mimi nishalala kwenye makaburi sana na kufukiwa nusu mwili afu fresh tu....


Nishakunywa damu ya mnyama unaemuogopa afu fresh tu


Unaweza ukahisi umepita mashimo mengi afu bado ukawa kilaza tu kwangu mjuba...
 
Mkuu acha kuchukulia vitu personal hiyo COMMENT ni ya utani kabisa kama umeelewa kiboyo ni wewe...

Mimi nishalala kwenye makaburi sana na kufukiwa nusu mwili afu fresh tu....


Nishakunywa damu ya mnyama unaemuogopa afu fresh tu


Unaweza ukahisi umepita mashimo mengi afu bado ukawa kilaza tu kwangu mjuba...
Hivyo vyote ulivyopitia ni vya kindezi still.
Damu ya mnyama😂, vipi damu ya mbilikimo? Vipi ili upate msosi unatakiwa upeleke pumb* mbili na Sub M? Ushapewa grenade kama nyongeza? Tulia dogo.
 
Hivyo vyote ulivyopitia ni vya kindezi still.
Damu ya mnyama😂, vipi damu ya mbilikimo? Vipi ili upate msosi unatakiwa upeleke pumb* mbili na Sub M? Ushapewa grenade kama nyongeza? Tulia dogo.
Dogo tulia hujui haya mambo......

Nishapewa mtihani wa kwenda kituo cha police niende nikaingie mapokezi na kutoka bila kusemezeshana na askali yeyote afu nirudi kwa mganga..

Nikafanya nikatoka askali walikuwa wananiangalia tu yani kama wamepigwa na butwaa nafika mbali ndio wanaanza kuniita....

Dogoooo mambo ya giza yaache tu
 
TRUE STORY

Miaka ya nyuma kidogo kipindi tupo secondary shule moja ya bweni. Siku moja tulikua tumeenda kukusanyika katika moja ya jengo la shule kulikua na kikao.

Kama unavyojua wale madoja hua hawakosekani. Sasa ile kurudi bwenini tumemaliza kikao tulikua tunatabia ya kuficha simu sehemu mbalimbali kwa sababu tulikua tunazitumia kwa magendo.

Bwana we wa kwanza akaanza kulalamika haoni simu yake ndipo kilamtu akaanza kuhakikisha kama je! Yake imesalimika? Kwakweli simu zote zilikua zimeibiwa nyuso zetu zikawa zenye huzuni sana.

Mmoja wetu akashauri twende kwa mganga kwa changamoto ile na umuhimu wa simu kwa wakati ule hakuna aliepinga lile wazo.

Safari ya kwenda kwa mganga inaanza kwa idadi tulikua takribani watu sita (6). Tukafika kwa mganga tukaambiwa wanaoruhusiwa kuingia ni watatu tu. (3)

Basi Mganga akatuamuru tueleze kilichotupeleka baada ya maelezo akatuuliza chumba chenu mnaishi watu wangapi tukampa idadi akatupa karatasi na peni akatuambia niandikieni majina ya watu wote wanaoishi katika hicho chumba.

Baada ya kumpatia karatasi ya majina akafanya mambo mambo pale baadae akatupa majibu kwamba simu zenu zipo salama sasa nendeni nyuma ya chumba chenu kunashimo limechimbwa usawa wa dirisha fukueni mtazikuta simu zenu zimetiwa kwenye mfuko.

Kabla hatujaondoka akatutajia jina la mtu aliefanya kitendo hicho lakini ONYO alilotupatia ni kwamba huyo mtu alofanya kitendo hiko tusithubutu kabisa kumpiga bali kesho yake turudi nae kwa mganga.

Hili ndo tukio langu pekee nililoshuhudia kutoka kwa Mganga.
 
Kuomba nini sasa? Siendelezi sababu sio jambo la kufurahisha wala kujivunia, hapo kuna sehemu unaona kabisa sikufanya uungwana. Kwa mara yangu ya kwanza naiba, unadhani nilipenda kumuibia mganga Mkuu? Au ni sehemu ya maisha yangu? Hapana nilifanya upuuzi ule ambao umekuja nikost kwa Miaka, nimesema siendelei sababu najutia nilichokifanya na kinaniumiza mpaka leo hii. Sasa ni hivi kama unahisi ilikuwa ni rahisi kiivyo, baada ya boti kuzama kila tulichokuwa nacho kilibaki ndani ya maji. Na hata kuokoka humo ilikuwa ni miujiza tu. Unajua tulikuwa tukienda wapi? Ni safari iliyochukua zaidi ya miaka 3 kufika tulikotaka kufika. Sipendi kuendelea sababu kuna Mengi, ya kufurahisha, kusikitisha, kuchukiza na kuogopesha pia. Destination ilikuwa Canada imagine.
Hpn sioni sababu kwa nzito kutotaka kuendelea Eti kiss iliogopesha na unasema. Kuwa umepata mizukozuko mingi tokeo hapo ulivyo iba Sasa nn unaficha kuendeleza Mbna hkn jipya juu ya. Jua hili

Sema nimekusoma Ni story hi umetunga vzr tu na Huna nyama za kujazia kwa vile ukileta chai Wana watakupiga maswal mazito na Huna

Chai hi Bila shaka

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
TRUE STORY

Miaka ya nyuma kidogo kipindi tupo secondary shule moja ya bweni. Siku moja tulikua tumeenda kukusanyika katika moja ya jengo la shule kulikua na kikao.

Kama unavyojua wale madoja hua hawakosekani. Sasa ile kurudi bwenini tumemaliza kikao tulikua tunatabia ya kuficha simu sehemu mbalimbali kwa sababu tulikua tunazitumia kwa magendo.

Bwana we wa kwanza akaanza kulalamika haoni simu yake ndipo kilamtu akaanza kuhakikisha kama je! Yake imesalimika? Kwakweli simu zote zilikua zimeibiwa nyuso zetu zikawa zenye huzuni sana.

Mmoja wetu akashauri twende kwa mganga kwa changamoto ile na umuhimu wa simu kwa wakati ule hakuna aliepinga lile wazo.

Safari ya kwenda kwa mganga inaanza kwa idadi tulikua takribani watu sita (6). Tukafika kwa mganga tukaambiwa wanaoruhusiwa kuingia ni watatu tu. (3)

Basi Mganga akatuamuru tueleze kilichotupeleka baada ya maelezo akatuuliza chumba chenu mnaishi watu wangapi tukampa idadi akatupa karatasi na peni akatuambia niandikieni majina ya watu wote wanaoishi katika hicho chumba.

Baada ya kumpatia karatasi ya majina akafanya mambo mambo pale baadae akatupa majibu kwamba simu zenu zipo salama sasa nendeni nyuma ya chumba chenu kunashimo limechimbwa usawa wa dirisha fukueni mtazikuta simu zenu zimetiwa kwenye mfuko.

Kabla hatujaondoka akatutajia jina la mtu aliefanya kitendo hicho lakini ONYO alilotupatia ni kwamba huyo mtu alofanya kitendo hiko tusithubutu kabisa kumpiga bali kesho yake turudi nae kwa mganga.

Hili ndo tukio langu pekee nililoshuhudia kutoka kwa Mganga.
Mganga wa wapi huyo
 
Waganga wazushi tu niliibiwa simu ktk mazingira ya kutatanisha simu kala na gharama sn.

Ss mm sio mtu wa ulozi kama mshana jr, akaja mwanangu mmoja na kuniambia anipeleke kwa mganga hiyo simu aliyeiba atarudisha.

Tumefka kwa sangoma baada ya kuelezea shida zetu mixer akasaga majanimajani si jui ni ya aina gani akasema nichemshe ninywe simu itarudi.

Sasa nipo njiani najiuliza simu aibe mwingine mijani ya dawa ninywe mie, halafu kuna uhusiano gani Kati ya kurudi kwa simu na mm kunywa Yale majani

Aahh kudadeki niliitupilia mbali ile mijani na mpaka ss siamini ulozi na hiyo simu nishasamehe[emoji3061]

Sent from my itel W4001P using JamiiForums mobile app
Upo nje ya mada wanatakiwa watoe ushuhuda waliofanikiwa
 
alinipa mafuta ya mvuto huyu jamaa, nikiongea na hizi pisi hazichomoi, nikamfuata tena nikamwambia nipe ya biashara akanambia ni hyohyo dogo we unachotakiwa ni kunuia tu unachotaka, aisee we acha tu hii dunia ina maajabu mengi sana
Nilipokuwa tanga Kuna dogo alikuwa nayo Sema yeye alipigwa kama chale ndogo hici kwenye paji LA uso....
Ilifika kipindi anawakimbia mademu.
 
Back
Top Bottom