Umeshawahi kusaidiwa nini na mganga ukaona kabisa mganga wako fundi?

Hizi shuhuda nyingi humu ni z kutunga na kama mna bisha jaribu kuomba connection yayote ......utaskia hayo mambo nlisha achaga sikunyingi as if sahv amekuwa mtakatifu acheni hizo bwana kama huwezi tupa connection bora utulie tu

Shuhuda ni za ma dalali wa waganga wajinga ndio waliwao.

Acha kuamini watu kwa urahisi. Dunia nyoko hii
 
Duh!!,Dada umepitia mengi sana,lkn pole kwa yote.Kumbe nikiona mtu anamiliki VX nisimuone gere Maana sijui kaipataje na sijui anapitia,hali gani.

Sent from my V1901A using JamiiForums mobile app
 
Asee nilikua nadaiwa kodi mwenye nyumba kidogo anitolee vyombo nje lakin mpaka leo nadunda tu.

Haji wala hanipigii simu ila mganga kanambia nitafute hela maana hiyo dawa haidumu mi namwambia ikiisha makali nakuja kuongezea
Huo sasa ni uonezi,kumbuka mwenye nyumba wako ametumia gharama Kujenga nyumba sasa Kwanini umfanyie hivyo?.Lipa kodi ya pango bhana!,sio fair kabisa.

Sent from my V1901A using JamiiForums mobile app
 
Mpe ukweli

Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
 
Mwana mwambie bibi aturudishie cousin wetu kazamia south mwaka wa 11 huu
 
Toa location please
 
Kaka tupe location please
 
Hahajaja hapa ni wapi boss
 
Nakumbuka nilianza kuumwa siwezi kula kulala kusimama hata mkuyenge ukagoma kusimama nikawa nawaza kufa tu kwani nilikuwa sioni faida ya kuishi mwili umegomea Kila kitu nywele zikaanza kupunyuka hovyo hovyo nikampigia simu broo kumueleza ndipo akaniita haraka akanipeleka sehem flani ndipo huyo mganga akasema zingepita siku 4 asingeweza kufanya chocchote kwani nilikuwa kwenye process za mwisho za kuchukuliwa msukule test alonipa ni kusimama juani na hakukua na kivuli changu kiukweli nilishangaa sana ndipo shughuli ya kunirejesha duniani ikaanza hatimae baada ya siku mbili nikaanza kula kulala kutembea Hadi Leo, Kuna wale wenye bahati ya mtende watasema hakuna uchawi au ushirikina wasiombe yawakute Kuna ushenzi mwingi sana hapa duniani
 
Hatarii mkuu.

Kuna watu walikufanyia ubaya??

Sent from my SM-A047F using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…