Umeshawahi kusaidiwa nini na mganga ukaona kabisa mganga wako fundi?

Umeshawahi kusaidiwa nini na mganga ukaona kabisa mganga wako fundi?

Enzi nilivyokuwa mdhambi kuna mganga alikuwa sio poa.. yeye ali-specialize kwenye mapenzi. Ilikuwa demu akinikataa kwa njia za kidiplomasia natumia njia za kimila kwa kumshirikisha mganga. Ilikuwa haipiti 24hrs demu hajanitafuta. Na msichana wangu akitishia kuniacha na kweli nikaona hapa yuko serious nilikuwa naenda chap kwa jamaa na masaa mawili tu mbele demu atanitafuta. Nilikuja kuachana na hayo mambo mwaka 2020 kwasababu nilitaka nipate kitu genuine kilichonipenda mwenyewe bila kumlazimisha.
 
Kuna dawa alinipa ya ku-deneutralize misala job, kila nikiharibu au ikiitishwa vikao naichoma asubuhi nikienda msala unawaangukia wengine tu wanachambwa vilivyo mm kimyaaa hakuna kima yeyote wa kutaja jina langu au wa kuniassociate na chochote hata kama nilishiriki, nikitoka hapo break ya kwanza bar napiga lite tano fasta huku nikitafakari maajabu ya miti aliyoiumba mnyazi Mungu.
[emoji2][emoji2][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Enzi nilivyokuwa mdhambi kuna mganga alikuwa sio poa.. yeye ali-specialize kwenye mapenzi. Ilikuwa demu akinikataa kwa njia za kidiplomasia natumia njia za kimila kwa kumshirikisha mganga. Ilikuwa haipiti 24hrs demu hajanitafuta. Na msichana wangu akitishia kuniacha na kweli nikaona hapa yuko serious nilikuwa naenda chap kwa jamaa na masaa mawili tu mbele demu atanitafuta. Nilikuja kuachana na hayo mambo mwaka 2020 kwasababu nilitaka nipate kitu genuine kilichonipenda mwenyewe bila kumlazimisha.
[emoji2][emoji1787]
 
Naomba hapa wale watembea kwa sangoma mtoe shuhuda zenu mliyokutana nayo kwa waganga na toka umeanza kwenda Mganga.

Alikusaidia nini ukaona kabisa shida yako imetatuliwa kwa nguvu ya mganga.

Ikiwezekana mtaje mganga alipo na wengine wakauone uwezo wake.
Nasubiri ushuhuda toka kwa watu wa mwamposa
 
Enzi nilivyokuwa mdhambi kuna mganga alikuwa sio poa.. yeye ali-specialize kwenye mapenzi. Ilikuwa demu akinikataa kwa njia za kidiplomasia natumia njia za kimila kwa kumshirikisha mganga. Ilikuwa haipiti 24hrs demu hajanitafuta. Na msichana wangu akitishia kuniacha na kweli nikaona hapa yuko serious nilikuwa naenda chap kwa jamaa na masaa mawili tu mbele demu atanitafuta. Nilikuja kuachana na hayo mambo mwaka 2020 kwasababu nilitaka nipate kitu genuine kilichonipenda mwenyewe bila kumlazimisha.
Usikute ulikuwa unawala hata tigo bila wao kujijua
 
Kwa kweli haya mambo Huwa nayasikiaga tu kwa watu,ila binafsi sikuwahi kuvutiwa nayo wala kuyaamini!

Nimekuwa nikipambana na nyakati zote mbaya,misukosuko,njaa,mahusiano nk

Nimekuwa nikijifariji nafsi yangu kwamba hapa duniani mateso ni sehemu ya maisha na Mimi sio hat mtu wa dini na wala sikumbuki mara ya mwisho kwenda kanisani!

Maisha nayoishi naona yananifaa sana
 
Trust me wapo sema nimeacha shirk sifanyi Tena kwanza ni kufuru kidini yangu Kwa Sasa niko100%kwa Mungu nikisema nikutajie ntarudi kule kule ila nshawahi saidiwa kuhama na mgangaa,Yaani mmeingia ofisini nilisainiwa bila kuulizwaa,nkatoka nkaipeleka mkoa Nako nikafanya the same bwana uchawi upooo na waganga wapo
Tena wa hapo hapo Dar
Tena Sasa NilIkua Kila nikienda wananikatalia au Bosi anakua hayupo,dogo mmoja akaniambia we sista una michezo ya kitoto Sanaa kesho twende kiwalani ,nikasitaa Mwisho nkaenda after a week nikaeleza shida angu,dogo mganga akasema ,"nipe jina la huyo boas",nkalitaja"akanipa karatasi imechorwa akasema"kesho nenda ila usiingie chooni na hiyo karatasi na ukitoka huko irudishe hapaa"mwamba huyooo shwaaaaa mpk Kwa boss ,sikuulizwa chochote na Mtu yeyote nkaingia nikasainiwa nkairudishwa Kwa mhusika
Nyie watuu wanaroga jamaniii
Dar?! Ukutozwa mamilion kweli
 
Naomba hapa wale watembea kwa sangoma mtoe shuhuda zenu mliyokutana nayo kwa waganga na toka umeanza kwenda Mganga.

Alikusaidia nini ukaona kabisa shida yako imetatuliwa kwa nguvu ya mganga.

Ikiwezekana mtaje mganga alipo na wengine wakauone uwezo wake.
Mganga wangu alinifanya nisiote kitambi
 
Kuna Dem alikula pesa Zangu alafu akakataa kutoa mzigo na mbaya zaidi akenda kuliwa na msela flani boya tu. Nikasema sio kesi ngoja tuoneshane makali. Nikaenda kwa jembe Langu moja tukamfinga chini ya jabali. Mpaka Sasa hajaolewa amefikisha 40 mpaka namuonea huruma.
 
Trust me wapo sema nimeacha shirk sifanyi Tena kwanza ni kufuru kidini yangu Kwa Sasa niko100%kwa Mungu nikisema nikutajie ntarudi kule kule ila nshawahi saidiwa kuhama na mgangaa,Yaani mmeingia ofisini nilisainiwa bila kuulizwaa,nkatoka nkaipeleka mkoa Nako nikafanya the same bwana uchawi upooo na waganga wapo
Tena wa hapo hapo Dar
Tena Sasa NilIkua Kila nikienda wananikatalia au Bosi anakua hayupo,dogo mmoja akaniambia we sista una michezo ya kitoto Sanaa kesho twende kiwalani ,nikasitaa Mwisho nkaenda after a week nikaeleza shida angu,dogo mganga akasema ,"nipe jina la huyo boas",nkalitaja"akanipa karatasi imechorwa akasema"kesho nenda ila usiingie chooni na hiyo karatasi na ukitoka huko irudishe hapaa"mwamba huyooo shwaaaaa mpk Kwa boss ,sikuulizwa chochote na Mtu yeyote nkaingia nikasainiwa nkairudishwa Kwa mhusika
Nyie watuu wanaroga jamaniii
Ujinga wa mwafrika ndo huu, unaacha nguvu inayokusaidia unakimbilia kusiko na msaada halafu unajipongeza.

Kibaya kudhuru
 
Nilikuwa nasafirisha mkaa mpaka dar bila vibali!

Nikikaa mbele ya gari trafiki na watu wa maliasili hawaioni gari mpaka Dar.

Kwa nin niliacha....with time mganga aliniambia kwa sasa nadaiwa sadaka ya damu ya mbuzi watatu, nikatoa
Baadae akaniambia nipate mimba niitoe nimpelekee.

NIKACHAPA LAPA ILA NILIZULUMIWA HELA, VIWANJA, GARI nikabaki kama mwanafunzi wa secondary

Namshukuru MUNGU nimeanza upya bila ndumba
Nyongeza: Kwa huyo mganga nilikutana na vigogo kadhaa wa mashirika na idara za serikali na NGO ...wakuu wa vyombo vya usalama.

UNAJUA KWA NIN WATU WANANUNUA VX?

UKIONA mtu ana Vx posta anatoka kazini saa 9:30 anakimbia kwa mganga , anajigangua asubuhi saa tisa ,kumi anaanza Safari kurudi kazini.

Nilishangaa kuona VX kibao zikiingia usiku nikawauliza hawa wote ni watoto wa hiki kijiji, mmebarikiwa...jibu hawa ni mabosi na vigogo wa posta.
Kama uongo flani hivi.
Hii umetupiga kimtindo,
 
Trust me wapo sema nimeacha shirk sifanyi Tena kwanza ni kufuru kidini yangu Kwa Sasa niko100%kwa Mungu nikisema nikutajie ntarudi kule kule ila nshawahi saidiwa kuhama na mgangaa,Yaani mmeingia ofisini nilisainiwa bila kuulizwaa,nkatoka nkaipeleka mkoa Nako nikafanya the same bwana uchawi upooo na waganga wapo
Tena wa hapo hapo Dar
Tena Sasa NilIkua Kila nikienda wananikatalia au Bosi anakua hayupo,dogo mmoja akaniambia we sista una michezo ya kitoto Sanaa kesho twende kiwalani ,nikasitaa Mwisho nkaenda after a week nikaeleza shida angu,dogo mganga akasema ,"nipe jina la huyo boas",nkalitaja"akanipa karatasi imechorwa akasema"kesho nenda ila usiingie chooni na hiyo karatasi na ukitoka huko irudishe hapaa"mwamba huyooo shwaaaaa mpk Kwa boss ,sikuulizwa chochote na Mtu yeyote nkaingia nikasainiwa nkairudishwa Kwa mhusika
Nyie watuu wanaroga jamaniii
Dini ya wageni unaita dini yako?
Utakufa maskini kwa utumwa wa tamaduni.
Dini ni utamaduni tu, kuna wa mwarabu, myahudi, muhindi, mzungu na mwafrika.
Utamaduni wa mwafrika wageni wakauita upagani.
 
Naomba usinifuatane PM

Niliambiwa sema chochote unachotaka... Utapata

Nikashindwa kusema na ile chance ime-nicost mpaka leo maana wengine waliambiwa waseme wanachotaka wakasema kweli wamepata...

Kuna waliosema wanataka ndoa wameoa na wengine wameolewa mpaka sasa,

Kuna waliosema wanataka kazi wamepata kazi na wanafanya kazi mpaka sasa,

Kuna waliosema wanataka biashara wamepata biashara na wana biashara zao mpaka sasa,

Mimi sikusema chochote maana sikua naamini katika kile kinachofanyika Ila sasa daaah haya Mambo yapo na watu wanafanikiwa kweli.. ukipuuza unakuja kujilaumu mbele
Ulikutana na shetani moja kwa moja ama?
 
Back
Top Bottom