Umeshawahi kusaidiwa nini na mganga ukaona kabisa mganga wako fundi?

Umeshawahi kusaidiwa nini na mganga ukaona kabisa mganga wako fundi?

Sasa hizi ndumba kwa nini tusiwaloge wazungu jamani na sie tutawale dunia au wao mganga wao hatari kuliko wetu

Kuna documentary nilikuwa nasikiliza wanasema kuna aina tofauti za uchawi,hata wazungu wanao uchawi ila wengi hutumia for positive outcome,wanasema aina ya uchawi uliopo africa ni wa kuumizana hauna faida na ndio uchawi mbaya sana hata wao hawapendi matumizi ya uchawi huu
So kwa huku africa usitarajie hayo unayo yawaza,wamejifunza uchawi mbaya na ndio wanao ujua huo tu,na huwezi kumroga mzungu maana nae anaujua vizuri tu,anakukalisha chini mapema sana
 
809403d0c00b141793615c47f0420e57.jpg
 
Naomba hapa wale watembea kwa sangoma mtoe shuhuda zenu mliyokutana nayo kwa waganga na toka umeanza kwenda Mganga.

Alikusaidia nini ukaona kabisa shida yako imetatuliwa kwa nguvu ya mganga.

Ikiwezekana mtaje mganga alipo na wengine wakauone uwezo wake.
Sisi kwetu Ludewa wapo tena in limited number,sasa mpaka uwapate ni shughuri,kwanza unaelekezwa na mizimu kupitia mtu either live au kwa ndoto na ukifuata kweli unafika ,balaa Lake ni hatari, kwetu ukipigwa tego utajuta,ukoo wetu sisi hauguswi kizembe ukigusa wakagundua wazee umekwisha
 
mimi nina babu yangu na uzuri anajulikana sana sana viunga vya mwahako,mwakidila,bagamoyo na mchukuuni hata mwarongo alikotokea mama kimbo wanamjua sana sana ni maarufu

Kisa chenyewe, nina ndugu zagu arusha walikua wana jirani yao anaumwa maradhi ya kuchanganyikiwa, yan vikipanda ni wa kufunga kamba,bas sjui ilikuaje mana ilitokea tu nilimpigia kaka angummoja akanambia sista niko tanga ila niko ndani ndani maramba huku nikimaliza nitakucheki nije nyumbani tukaongea kidogo tukaagana hapo hakunambia kilichomleta tanga bila taarifa ni nini

bas sku ya pili yake akanipigia akaniambia wamemleta mtoto wa jiran yao kwa mganga lakini wapo muda karibu wiki ila hawaoni nafuu yoyote zaidi ya kupoteza pesa hapo wazo la huyo babu yangu halikunijia nikamueleza mama yangu juu ya mkasa wao mama ndio kunikumbusha akanambia kwa nini usiwapeleke kwa babu yako wakajaribu mimi sasa nikamwambia mama mh wasipofanikiwa si yatakua yale yale lakini moyo ukanisukuma wasaidie kuwapeleka

nikampigia kaka nikamwambia kam vipi waje mjini tufunge safar kwa huyo babu kweli walikuja tukaenda tukiwa mimi, kaka zangu wawili,mgonjwa na mama yake,lakini kabla hatujatoka nikampigia babu nikamuuliza kama yupo kuna watu wana shida akanambia nipo njoo tukaenda

tulimkuta nje akatukaribisha ndani tukaingia kilingeni kwake, nikawatambulisha then wakaanza kujieleza shida yao bas babu alichukua tu karatas nakalam akawa anamuangalia yule kijana anaandika akanikabidhi list akanambia hizi ni dawa nazitaka lakini utakayokosa nipigie nendeni maduka ya dawa za asili tena akanambia ziko ghali lakini kazitafteni hizo dawa , tukarudi nyumbani mimi na kaka zangu hao had ngamiani sokoni kuna duka maarufu kwa dawa za asili katika ile list kulikua na mbegu za bangi na dawa kama mbili ambazo wao hawana muuzaji akanambia hizi hatuna, palepale nikampigia babu kumpa mrejesho akanambia nunueni zilizopo hizo nyingine ntazitafuta tukanunua tusirudi nyumbani straight had kwake tukaziacha akasema njoni kesho mje chukua dawa zenu

hio siku jioni yake vikapanda ambapp kesho ndio tukachukue dawa kaka wa watu katoka barabarani ikapita carry akaipanda kwa nyuma, ifahamike huyu kaka ni mgeni, hajawah kufika tanga yeye wala mama yake, hajui anaenda wapi lakini kulikua na watu walimuona wakatupigia kelele yule mgeni wenu amepanda gar inaelekea barabara ya pangani ikabidi kaka zangu wachukue boda kuiwah wakaikuta njiani wakaipigia honi wakasimam wakamchukua mgonjwa wao wakamleta ikabidi afubgiwe chumbani, ni alikua anaongea usiku kucha ukilala ukiamka unamsikia anaongea anaitaja majina yake matatu kwa kurudia rudia kulipokucha baada ya chai tukabebana had kwa babu akapwa za kupaka,za kujifusha za kuoga za kunywa

alitumia mchana na jioni hio siku alilala vibaya mno na kule kwa babu mimi ndio nikawa nauliza tatizo nn babu akajibu huyu ana mtoto wa kijini kichwani sasa alivuta bangi na huyo jini hapatan nazo ndio anamletea hizo shida hakutaka hata mia moja alichojibu akasema akimaliza hizo dawa babu apewe taarifa kuna watu hawana ustaarabu tangu waondoke kurudi arusha had leo kimyaaaaa
Dada nimejaribu kukutumia Pm lkn naona haikubali ila kiufupi nina mwanangu ana kama mwezi kapatwa na shida ya akili kachanganyikiwa ana kama wiki tatu tumempeleka hosp mpaka tumetok hali iko vile vile hatulii kabisa

Saizi kila mara anaomba arudi alikokua kila tukimuuliza alikokuwa ni wapi atuambie hawezi anang'anga'ana amechomwa dawa za hosp za kumtuliza na hata vidonge vya kunywa lkn wapi

Naomba msaada kwa huyo babu yako kama itawezekana
 
Dada nimejaribu kukutumia Pm lkn naona haikubali ila kiufupi nina mwanangu ana kama mwezi kapatwa na shida ya akili kachanganyikiwa ana kama wiki tatu tumempeleka hosp mpaka tumetok hali iko vile vile hatulii kabisa

Saizi kila mara anaomba arudi alikokua kila tukimuuliza alikokuwa ni wapi atuambie hawezi anang'anga'ana amechomwa dawa za hosp za kumtuliza na hata vidonge vya kunywa lkn wapi

Naomba msaada kwa huyo babu yako kama itawezekana
Pole sana
 
Kuna dawa alinipa ya ku-deneutralize misala job, kila nikiharibu au ikiitishwa vikao naichoma asubuhi nikienda msala unawaangukia wengine tu wanachambwa vilivyo mm kimyaaa hakuna kima yeyote wa kutaja jina langu au wa kuniassociate na chochote hata kama nilishiriki, nikitoka hapo break ya kwanza bar napiga lite tano fasta huku nikitafakari maajabu ya miti aliyoiumba mnyazi Mungu.
 
Kuomba nini sasa? Siendelezi sababu sio jambo la kufurahisha wala kujivunia, hapo kuna sehemu unaona kabisa sikufanya uungwana. Kwa mara yangu ya kwanza naiba, unadhani nilipenda kumuibia mganga Mkuu? Au ni sehemu ya maisha yangu? Hapana nilifanya upuuzi ule ambao umekuja nikost kwa Miaka, nimesema siendelei sababu najutia nilichokifanya na kinaniumiza mpaka leo hii. Sasa ni hivi kama unahisi ilikuwa ni rahisi kiivyo, baada ya boti kuzama kila tulichokuwa nacho kilibaki ndani ya maji. Na hata kuokoka humo ilikuwa ni miujiza tu. Unajua tulikuwa tukienda wapi? Ni safari iliyochukua zaidi ya miaka 3 kufika tulikotaka kufika. Sipendi kuendelea sababu kuna Mengi, ya kufurahisha, kusikitisha, kuchukiza na kuogopesha pia. Destination ilikuwa Canada imagine.
Aise!!!Dunia ina mapito mengi sana
 
Nilikuwa nasafirisha mkaa mpaka dar bila vibali!

Nikikaa mbele ya gari trafiki na watu wa maliasili hawaioni gari mpaka Dar.

Kwa nin niliacha....with time mganga aliniambia kwa sasa nadaiwa sadaka ya damu ya mbuzi watatu, nikatoa
Baadae akaniambia nipate mimba niitoe nimpelekee.

NIKACHAPA LAPA ILA NILIZULUMIWA HELA, VIWANJA, GARI nikabaki kama mwanafunzi wa secondary

Namshukuru MUNGU nimeanza upya bila ndumba
Nyongeza: Kwa huyo mganga nilikutana na vigogo kadhaa wa mashirika na idara za serikali na NGO ...wakuu wa vyombo vya usalama.

UNAJUA KWA NIN WATU WANANUNUA VX?

UKIONA mtu ana Vx posta anatoka kazini saa 9:30 anakimbia kwa mganga , anajigangua asubuhi saa tisa ,kumi anaanza Safari kurudi kazini.

Nilishangaa kuona VX kibao zikiingia usiku nikawauliza hawa wote ni watoto wa hiki kijiji, mmebarikiwa...jibu hawa ni mabosi na vigogo wa posta.
Mganga ndio alikujibu hivyo?
 
Niliacha kazi nikawa home tu sina mbele wala nyuma, maisha yameninyoosha kisawasawa. Nikawa mshkaji wa kijiweni tu nimenyonda atari, washkaji wananinyanyapaa usiombe.
Kuna jirani chinga kila akipita ananiona nimejiinamia mande to sande. Ikabidi aje tupige story. We si umesoma sana? Nikamwambia kawaida tu. Basi akawa rafiki yangu alinikubali tu na hali yangu. Ananipeleka sehemu tunamwagilia moyo kiroho safi kifupi akawa best.
Ndio siku akafunguka akanipa kontack na bibi Liwale. Nenda kaweke mambo sawa. Kwakua alishakua mshkaji sikutaka kumdissappoint na nauli alinipa. Nikapanga safari huyoo kwa bibi liwalee.
Bibi kafanya yake hakudai hata sumni ila kanichimba beat tu nikifanikiwa nisiporudi imekula kwangu.
Ndani ya wiki tu napigiwa simu niende sehemu nikafanyiwe intavyuu sikumbuki niliomba lini. Kufika intavyua anajigamba kabisaa kua ananijua ila sometimes anajistukia anasema umeletwa na Boss? Kumbe hata boss mwenyewe simjui.
Nikala shavu kimasikhara nikampigia bibi sikusubiri hata kumaliza mwezi nipate salary, nilikopa nikaenda kwa bibi nikampa asante yake nikarudi zangu.
Salary ilivyoingia nikamtafuta rafiki yangu chinga tulikunywa sanaaa siku ile nikajua itakua ni siku ile tu. Kumbe chinga naye kwa furaha akipata mkwanja lazima anicheki tukagambeke.
Maisha yakawa gambe ile deile, mpaka nilivyohama kazi nyingine mbali na rafiki yangu chinga.
Hao ndio marafiki wa faida
 
Mkuu ni hbri ndefu na mimi cyo story taller mzuri kwa maana ya maandishi na mda wangu pia ni mchache, nilimuuliza yule Mganga (Bibi) kwa nini nitembee kwa miguu mpka vijiji vyote hivyo na hela ninayo? Aliniambia inabidi nitembee! Nitakapokamilisha zoezi la kulala kwa wale mabinti wawili gari gari itanichukua kutokea hpo mpka ninapoenda! Na wala sitadaiwa nauli! Na itakua ni gari ndogo! ------ LKN NIKITHUBUTU KUFANYA MAPENZI NA WALE MABINTI YOTE NITAYAKOSA!-PMJA NA SHIDA ILIYONIPELEKA SITAFANIKIWA!
Bilaa shaka ulipiga mbupu[emoji16]
 
Back
Top Bottom