Pang Fung Mi
JF-Expert Member
- Nov 10, 2022
- 6,653
- 13,919
Wasalaam, Umofia kwenu!
Eeh bana eeeh were were mwaka jana nilipata bonge la demu mtoto wa kipare bonge la pisi ukanda huu wa pwani alikuwa mdent wa chuo fulani anatokea kati ya Makanya, Same au Hedaru sina hakika, demu black beauty, trackoo hana mpinzani, kichwa kidogo dogo, hana tumbo kubwa, mguu kama malkia wa Ethiopia, ana lafudhi kama ya kikenya fulani hivi,sio demanding sana, she keeps simple profile.
Dadadadadeki toto ukimaliza shoo kama unaanza na ukianza kama ndio unaanza, kumtoa ghetto roho inakataa, nikiwa namsindikiza nikicheki hilo trackoo amazing kama lote, suruali ya jinsi inakaa kama kaumbiwa yeye.
Nikiwa namsindikiza ndio kama naenda nae ghetto.
Ana PR kubwa na wafanyabiashara wa bidhaa fulani miji hii maarufu ya pwani, mjanja mjanja kidogo kwenye elimu ya IT.
Akiongea mdomoni mjanja sana sana muda wote topic anaitaka ya pesa pesa, halafu bahili nikaona huyu mhuni tu.
Nikimcheki naona hii mashine sio yangu sijui hata nimeipataje siwezi hata kuelewa kama nilishushiwa tu na malaika wazinzi.
Pombe hanywi nikaona huyu sio ntapigiwa kiasi kwamba ntapasuka acha mimi niwe mwizi aendelee na bidhaa zingine.
Niliamua badala ya kuumiza kichwa mimi bora niwaunize akina J na wenzake hao wa mjini.
Bado ntaendelea nae nikiwa Side Buda.
Karibu kwa kushare kisa kama changu.
Wadiz a.k.a Side Buda wa mtoto wa kipare.
Eeh bana eeeh were were mwaka jana nilipata bonge la demu mtoto wa kipare bonge la pisi ukanda huu wa pwani alikuwa mdent wa chuo fulani anatokea kati ya Makanya, Same au Hedaru sina hakika, demu black beauty, trackoo hana mpinzani, kichwa kidogo dogo, hana tumbo kubwa, mguu kama malkia wa Ethiopia, ana lafudhi kama ya kikenya fulani hivi,sio demanding sana, she keeps simple profile.
Dadadadadeki toto ukimaliza shoo kama unaanza na ukianza kama ndio unaanza, kumtoa ghetto roho inakataa, nikiwa namsindikiza nikicheki hilo trackoo amazing kama lote, suruali ya jinsi inakaa kama kaumbiwa yeye.
Nikiwa namsindikiza ndio kama naenda nae ghetto.
Ana PR kubwa na wafanyabiashara wa bidhaa fulani miji hii maarufu ya pwani, mjanja mjanja kidogo kwenye elimu ya IT.
Akiongea mdomoni mjanja sana sana muda wote topic anaitaka ya pesa pesa, halafu bahili nikaona huyu mhuni tu.
Nikimcheki naona hii mashine sio yangu sijui hata nimeipataje siwezi hata kuelewa kama nilishushiwa tu na malaika wazinzi.
Pombe hanywi nikaona huyu sio ntapigiwa kiasi kwamba ntapasuka acha mimi niwe mwizi aendelee na bidhaa zingine.
Niliamua badala ya kuumiza kichwa mimi bora niwaunize akina J na wenzake hao wa mjini.
Bado ntaendelea nae nikiwa Side Buda.
Karibu kwa kushare kisa kama changu.
Wadiz a.k.a Side Buda wa mtoto wa kipare.