Shoga angu mmoja mzuri sana. Mumewe anapresha Sana. Na anapesa Sana huyo mume...
Ananiambiaga mama Edina wewe ni mzur Sana tatizo wewe unaweusi.
Mkewe mweupeeeee shida ni anapendwa Sana. Ananiambiaga Naomba nipoze uchungu. Nikamuuliza uchungu wa nini?? Baba j akadai anahisi anachapiwa Sana